Import Duty Tax kwenye Vifaa vya Kielectroniki, Kama ilivyosemwa na Mh Nape Mnauye(Simba wa Vita) mnamo tarehe 14th March 2022, Siku 365 za Rais Samia

init

Senior Member
Mar 22, 2021
114
107
Awali ya yote nipende kuwashukuru,
Siku ya leo Nimepata maswali kidogo mara Baada ya DHL kunipa invoice ya 33% ya bei ya bidhaa (Import Duty Tax) ya Tarakilishi mpakato ama Computer,

Nilijaribu kurejea Hotuba ya Mh Nape,Tarehe 14 ya mwezi Marchi katika maadhimishi ya Wizara ya Teknolojia ya Habari na mawasiliano.

Tafadhali Rejea pia:

Ambapo alisema Serikali Katika Bunge lililopita ilifuta Ushuru wa kuingiza Vifaa vya Kieletroniki ikiwemo Computers.

Je ikiwa serikali imefuta ushuru huo na DHL kunipa invoice ya 33% ya bei ya bidhaa inamaana gani kati ya haya yafuatayo:

  1. Mh Nape alidanganya ?.
  2. Mh Nape Alisema kweli ila Serikali husema na kutekeleza vingine ?.
  3. Mh Nape alisema sawa na ndivyo ilivyo ila DHL wanatuibia ?.
Ikiwa Mh Nape alidanganya sawa lakini pia ushuru wa maingizo ndio 33% ?

Na ikiwa DHL wanatuibia, ninaomba msaada wa andiko elekezi lililo rasmi (TRA au wizara) kuhusu kufutwa au ushuru elekezi kwenye bidhaa hizo.
 
Awali ya yote nipende kuwashukuru,
Siku ya leo Nimepata maswali kidogo mara Baada ya DHL kunipa invoice ya 33% ya bei ya bidhaa (Import Duty Tax) ya Tarakilishi mpakato ama Computer,

Nilijaribu kurejea Hotuba ya Mh Nape,Tarehe 14 ya mwezi Marchi katika maadhimishi ya Wizara ya Teknolojia ya Habari na mawasiliano.

Tafadhali Rejea pia:

Ambapo alisema Serikali Katika Bunge lililopita ilifuta Ushuru wa kuingiza Vifaa vya Kieletroniki ikiwemo Computers.

Je ikiwa serikali imefuta ushuru huo na DHL kunipa invoice ya 33% ya bei ya bidhaa inamaana gani kati ya haya yafuatayo:

  1. Mh Nape alidanganya ?.
  2. Mh Nape Alisema kweli ila Serikali husema na kutekeleza vingine ?.
  3. Mh Nape alisema sawa na ndivyo ilivyo ila DHL wanatuibia ?.
Ikiwa Mh Nape alidanganya sawa lakini pia ushuru wa maingizo ndio 33% ?

Na ikiwa DHL wanatuibia, ninaomba msaada wa andiko elekezi lililo rasmi (TRA au wizara) kuhusu kufutwa au ushuru elekezi kwenye bidhaa hizo.

mmh
 
Kuweka mambo sawa computer haina import duty bali inalipiwa VAT 18%
 
Awali ya yote nipende kuwashukuru,
Siku ya leo Nimepata maswali kidogo mara Baada ya DHL kunipa invoice ya 33% ya bei ya bidhaa (Import Duty Tax) ya Tarakilishi mpakato ama Computer,

Nilijaribu kurejea Hotuba ya Mh Nape,Tarehe 14 ya mwezi Marchi katika maadhimishi ya Wizara ya Teknolojia ya Habari na mawasiliano.

Tafadhali Rejea pia:

Ambapo alisema Serikali Katika Bunge lililopita ilifuta Ushuru wa kuingiza Vifaa vya Kieletroniki ikiwemo Computers.

Je ikiwa serikali imefuta ushuru huo na DHL kunipa invoice ya 33% ya bei ya bidhaa inamaana gani kati ya haya yafuatayo:

  1. Mh Nape alidanganya ?.
  2. Mh Nape Alisema kweli ila Serikali husema na kutekeleza vingine ?.
  3. Mh Nape alisema sawa na ndivyo ilivyo ila DHL wanatuibia ?.
Ikiwa Mh Nape alidanganya sawa lakini pia ushuru wa maingizo ndio 33% ?

Na ikiwa DHL wanatuibia, ninaomba msaada wa andiko elekezi lililo rasmi (TRA au wizara) kuhusu kufutwa au ushuru elekezi kwenye bidhaa hizo.

Kama DHL kakupa invoice maana yake ni garama ya huduma yake na siyo kodi sababu kwenye kodi hakuna invoice kuna control Number ya kulipia kodi na ni kweli kama mdau hapo kasema ni 18% VAT ndiyo kodi iliyopo. Hii fatilia vizuri DHL nao ni biashara wanafanya ukumbuke
 
Back
Top Bottom