icc

The ICC Champions Trophy is a One-Day International (ODI) cricket tournament organised by the International Cricket Council. The 2013 tournament was intended to be the final edition of the Champions Trophy, but it was extended to 2017 due to its widespread popularity. In 2018, the ICC decided to replace the tournament with the World Twenty20 championship to be held every two years, and no Champions Trophy was contested in 2021. However, as part of the 2021 Future Tour Programme, the event was reinstated for the 2025 cycle onwards. In November 2021, the ICC confirmed the tournament would next take place in 2025 in Pakistan, with India hosting the tournament in 2029.

View More On Wikipedia.org
  1. The Father of All

    Hivi Mwigulu na 'PhD' yake, kama kweli anayo, anajua ICC?

    Naona kama bwana Mkumbo Madelu aka Mwigulu Nchemba anaitwa ICC soon. Sijui kasomea nini lini na wapi hadi awe zoba na zwazwa hivi? Hivi, kwanini haoni kuwa amemua kujitupa kwenye tanuri alilokoka Samuya na Kikwkwekwe? Msaidieni jamani wenzake mliomo humu. Niwasilishe.
  2. Emekha Ikhe

    PostGE2025 Ijue safari ya ufunguaji kesi katika Mahakama ya Kimataifa ya uhalifu (ICC) kwa muktadha wa hali ya Tanzania

    UFUNGUAJI WA KESI KATIKA MAHAKAMA YA KIMATAIFA YA UHALIFU ICC KWA MUKTADHA WA HALI YA TANZANIA Naomba nitumie lugha rahisi kwa Ufafanuzi ambayo hata asiye mwanasheria aelewa ili kuendelea kutoa Ushirikiano wa taarifa za uhalifu wa Haki za Binadamu uliotokea Kabla, Wakati na baada ya Kilichoitwa...
  3. aise

    Kwa jinsi ICC inavyofanya kazi, wahusika wa mauaji ya Oktoba 29, 2025 hawatafikishwa kwenye hiyo mahakama

    Habari za jioni wakuu! Mauaji yaliyotokea October 29 2025 hapa nchini, wengi wetu matumaini ya kupata haki yako ICC, ila kwa jinsi mahakama hiyo inavyofanya kazi, ni ngumu kupata haki huko. Kwanza ICC haina 'Jeshi wala Polisi' Inategemea majeshi ya nchi husika kumkamata mtu, sasa kwa jeshi...
  4. Q

    PostGE2025 Viongozi 10 wa Afrika waliowahi kufikishwa ICC

    BBC. 1. Uhuru Kenyatta (Kenya) Uhuru Kenyatta Rais mstaafu wa Kenya. Alifunguliwa mashitaka Machi 2011 kwa makosa matano ya uhalifu dhidi ya ubinadamu. Kenyatta alidaiwa "kulidhibiti kundi la Mungiki" na kulielekeza kufanya mauaji, uhamisho, ubakaji na aina nyingine za unyanyasaji wa...
  5. Emekha Ikhe

    The Laws and Core Legal Text Governing the International Criminal Court (ICC)

    THE LAWS AND CORE LEGAL TEXT GOVERNING INTERNATIONAL CRIMINAL COURT (ICC) Alphonce Lusako (Adv) Following the fact that, The International Criminal Court (ICC) has been asked to investigate alleged mass killings as part of grave Human Rights Violations during a crackdown on post-General...
  6. Agent-47

    Kwanini Rais wa Zanzibar hayupo kwenye list ya ICC?

    Kwa mujibu wa katiba ya Zanzibar, rais wa Zanzibar ndiye amir jeshi mkuu wa vyombo vya usalama Zanzibar. Ndiye mwenye mamlaka kwa vyombo hivi. Ndio maana vyombo vinampigia Mwinyi mizinga na siyo Samia. Kwa maana hiyo, rais wa Zanzibar ndiye aliyetoa order ya vyombo vya Zanzibar, KMKM kuja bara...
  7. figganigga

    Baada ya kuangallia picha na Video zilizopelekwa ICC, nina Maswali Kadhaa

    Kuna baadhi ya picha ni Screenshot za Watu walipost Twitter(X), Instagram Facebook nk. 1). Je, wale waliopost hizo Picha Mtandaoni ndo Watakuwa Mashahidi? 2. ICC wanapokea Ushahidi wa Screeshot? Bila link husika? 3). Je, hawa waliopost hizo Picha ambazo zimekuwa screeshot, wakifuta ushahidi...
  8. Cannabis

    Mambo machache usiyoyafahamu kuhusu jela ya ICC

    Mambo machache usiyoyafahamu Kuhusu Kituo cha Kuwazuilia washitakiwa wa ICC 1. Ni jela Ndani ya jela: Jengo kuu ni gereza la Uholanzi linalofanya kazi kikamilifu, na ndani yake kuna kitengo chenye wafungwa wa kimataifa wenye sheria na kanuni zake. Muonekano wa lango kuu la jela hiyo 2...
  9. R

    PostGE2025 Naomba elimu kuhusu kesi iliyofunguliwa ICC dhidi ya Samia et al

    Imefunguliwa kesi na wanasheria wa ulaya, je wanasheria wetu au UMMA wa TANZANIA utahusikaje katika kuendesha kesi hiyo in terms of kutoa ushahidi
  10. Criss

    ICC wakishatoa hukumu utekelezaji utakuwaje?

    Wazee tukubaliane tu Maza na wenzake ndiyo wameenda hivyo, hiyo imeisha . Waandishi wa yale mashtaka wanaweza kuwa ni majini au viumbe wa ajabu iabisa coz siyo kwa mpangilio ule aagh!🫢 Ukitaka kuelewa angalia Mpangilio wa makosa yanayomkabili yeye na wenzake kisha gawanya na viwango vya...
  11. S

    PostGE2025 Mashtaka ya ICC: Wakichomoka kwenye kesi ya maandamano, bado watakabiliwa na kesi ya enforced disappearance. Wana wakati mgumu sana

    Baada ya kusoma mashitaka waliofunguliwa katika Mahakama ya kimataifa ya ICC, huu ndio ukweli wanaokwenda kukabililiana nao na hapo sijataja kosa la kuwaondoa wamasai kwa nguvu kule Loliondo mkoani Arusha. Tukumbuke kwenye hayo mashitaka ya enforced disappearance ambayo ni mashitaka yanayohusu...
  12. B

    Serikali ya Chama cha Mwalimu, Chama cha ukombozi wa Afrika, Chama cha kijamaa, leo imeshtakiwa ICC. Julius Nyerere anabingirika kaburini

    ROSTAM AZIZ, Mweka Hazina Mstaafu wa CCM, anasema alipoanza mishe zake chamani, alikuta fomu za CCM hazina mahala pa kujaza MFANYABIASHARA. Chama kiliundwa kwa raison detre (SABABU YA UWEPO) ya kupigania wanyonge, masikini wa kutupwa, wakulima na wafanyakazi. Yeye anasema akasukuma...
  13. Lord Denning

    Watanganyika tutawapa ushirikiano wa kila hali na namna Mahakama ya ICC hadi wafuatao muishie jela na iwe fundisho milele

    1. Samia Suluhu Hassan 2. DGIS Selemani Mombo 3. IGP Camilius Wambura 4. CDF Jacob Mkunda 5. Mkuu wa Operesheni TISS Fadhili 6. CP Awadhi 7. SACP Mafwele 8. Mshauri wa Rais Siasa Bw. Kheri 9. Mohamed Mchengerwa 10. Abdul Ameir 11. Mkuu wa CMI Meja Jenerali Mkeremi. 12. Chief of Staff...
  14. Lord Denning

    PostGE2025 Wameua watu wengi hadi wanaogopa kutaja idadi wa watu. Tukutane ICC

    Walianza na singeli kuwa waandamanaji ni watu wa nje Wakaja na singeli kuwa waliahawishiwa Wakamalizia na singeli kuwa wamelipwa. Mara eti wamechoma mali, mara wameua polisi. Wanaulizwa swali moja tu. Mmeua wangapi ? Wanashindwa kujibu. Uzuri mshaelekea kibra na ICC wanawasubiri kwa hamu...
  15. L

    Mataifa ya Nje na Jumuiya za Kimataifa ili zituelewe ni lazima IGP apelekwe ICC kushitakiwa

    Ili Jumuiya za Kimataifa na Mataifa ya Nje ziweze kutuelewa ni vyema IGP aweze kupelekwa The Hague - ICC kufunguliwa mashitaka ya mauaji yaliyofanyika. Hii itasaidia Sana IGP wajao wasiweze kutoa AMRI kama hizi katili za kuua watanganyika na kutoa AMRI za Curfew za kibabe. Chao
  16. B

    PostGE2025 Wakili Revocatus Kuuli: Hakuna nchi yoyote Mwanachama wa ICC inaweza kukwepa kuchunguzwa

    Akiongea na Wakili TV Revocatus Kuuli wakili wa mahakama ya ICC amesema "Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu (ICC) inaweza kumshtaki hata Rais akiwa madarakani" Afafanua hali hiyo, je wafungwa waliopatikana na hatia wanapelekwa jela ipi Fedha za kuendesha kesi ICC hutoka wapi Mawakili wa...
  17. Fbn

    Siku ICC ikiomba google itaje wasiojulikana walikuwa wanatumia google map location kujua makazi mtabaki midomo wazi. Nawapa stori ya kweli

    Hii ni kweli kuwa dunia unaweza kujiona umejificha kumbe hupo uchi. Kuna kijana mmoja huko Marekani mwenye asili ya asia raia wa Marekani, ni kijana mdogo wale vijana wanaopitia ujuaji na ujanja wa UVCCM mfano tu. Wakati wa matembezi alitokea kibaka na kupora simu yake ya iphone na ile simu...
  18. Lord Denning

    ICC yazidi kunukia kwa Samia na Wakuu wa Vyombo. Mbunge wa Congress Marekani ataka Uchunguzi huru Mauaji ya raia Tanzania

    Nilisema na nitasema tena. Huwezi ua maelfu ya watu alafu Dunia ikakuacha. Mbunge wa Bunge la Congress Marekani Ayanna Pressley ametoa tamko kudai uchunguzi huru wa Kimataifa kuhusu mauaji maelfu ya Watanzania yaliyofanywa na vyombo vya Ulinzi wa Usalama wakati na baada ya uchaguzi. Ikumbukwe...
  19. L

    Kwa mara ya kwanza nitashuhudia watawala wetu na wakuu wa Usalama wakitakiwa kutii amri ya ICC bila shuruti

    Naamini ICC itawaita Mahakamani kiungwana TU huko the Hague. Hivyo naamini watatii amri ya ICC bila shuruti. Sisi raia wa kawaida hayo ndio maisha yetu ya Kila siku,pale tunapokamatwa na Mapolisi wetu. Uki over speed TU,unaombwa leseni,ukibisha unaambiwa tii amri bila shuruti. Kama namuona...
  20. Lord Denning

    Tucheke pamoja (UTANI): Utetezi wa Samia, DGIS, CDF na IGP mbele ya Majaji Mahakama ya ICC

    Samia- Waheshimiwa Majaji, mimi sikutoa maelekezo yeyote kipindi cha Uchaguzi. Nchi ilikuwa chini ya mwanangu Abdul na Msaidizi wangu Kheri. Hawa ndo walikuwa wanawasiliana na DGIS, IGP na CDF DGIS- Waheshimiwa Majaji. Mimi sijui lolote. Hata kwenye Taasisi yangu hakukuwa na chain of comand...
Back
Top Bottom