Hivi ni kwanini Huwa hivi??

Hivi ni kwanini Huwa hivi??

Whackiest

JF-Expert Member
Joined
Sep 13, 2020
Posts
1,309
Reaction score
1,782
Kwanini matajiri huwa hawashiriki moja kwa moja kufanya ubaya badala yake vijakazi wake
Je waogopa Karma ?
Je wanaogopa lawama

Tuchukulie hii scenerio
Au naomba kutapa ufumbuzi
mfano kwnye kampuni X Tajiri amegundua kuna wizi umefanyika na aliyefanya anabainika .
Boss anamwamuru kijakazi wake kutekeleza majukumu mfano
1.Kuua
2.Kumfungulia shitaka dhidi ya hatia
3.Kumfukuza kazini.
 

Attachments

  • 5c17c010-c93b-4d9d-82da-393eb5640bd0.png
    5c17c010-c93b-4d9d-82da-393eb5640bd0.png
    2.1 MB · Views: 9
It's a game called Leila but it still backfires
What goes around comes around
 
Back
Top Bottom