huru

The Chronicle of Huru (Romanian: Cronica lui Huru) was a forged narrative, first published in 1856–1857; it claimed to be an official chronicle of the medieval Moldavian court and to shed light on Romanian presence in Moldavia from Roman Dacia and up to the 13th century, thus offering an explanation of problematic issues relating to the origin of the Romanians and Romanian history in the Dark Ages. Publicized and endorsed by the Romantic nationalist intellectuals Gheorghe Asachi (who edited the published version) and Ion Heliade Rădulescu, it was argued to have been the work of Paharnic Constantin Sion (or another member of his family) or that of Gheorghe Săulescu, Asachi's friend and lifelong collaborator.

View More On Wikipedia.org
  1. Kwanini Iran na Ukraine haziachwi zijiamulie mambo yao wenyewe kwa maslahi yao kama mataifa huru?

    Kwa nini Ukraine na Iran haziachawi zijiamulia mambo yake wenyewe kama kumiliki silaha za nyuklia na kujiunga na jumuiya zinazoona zina maslahi kwao kama mataifa huru?
  2. Mnaonaje tuache uchama na tuwe na fikra huru

    Kwa mtazamo wangu tangu nimeanza kufatilia siasa nimeona kwamba watanzania wengi wamejaa kwenye uchama na sio Fikra zao binafsi Kila jambo litakalosemwa na kiongozi wa chama alichochagua kukifuata basi anakishangalia bila kujali fikra yake, Na wakati mwingine kiongozi wa vyama hivyo wanaongea...
  3. Ukweli, uwazi humuweka mtu huru

    Shikamooni wakubwa wote wa JamiiForums Leo ni siku nzuri kabisa ya jumatatu ikiwa inaishia,poleni na majukumu ya hapa na pale,Mimi binafsi nimechoka na hekaheka za daladala haswa baada ya kujikuta nimesimama kutoka kariakoo kibaruani kwangu hadi nyumbani Kinyerezi. Leo kuna Jambo niulize...
  4. Ameimaliza Tanganyika, Amekamilisha Zanzibar Huru. Mkileta za Kuleta anarudi kwao Zanzibar

    Zamani Watalii wakija Tanzania kwenye viwanja vyote vya ndege mapato yalikuwa yanakusanywa na kupelekwa Mfuko Mkuu wa Hazina na baadae Benki Kuu ya Tanzania ambapo zilikuwa zinagawanywa wa pande mbili za muungano kwa shughuli za Maendeleo. Kwa sasa mapato ya Watalii wanaoshukia Zanzibar yanabaki...
  5. Mnaosema Afrika hatupo huru upande wa kiimani/ kidini,je mfumo wa Kisiasa tumeweza kubaki kuwa huru?

    Almost we depend on everything from White Hatujaweza kubaki au kuanzisha mifumo yetu katika nyanja zote Siyo kiimani tu hata kisiasa hatupo huru. We are pure socialism lakini imebakia nadharia na tupo kwenye utumwa Siasa za magharibi, Demokrasia za mchongo,uhuru usiyo wa mipaka leo ukienda...
  6. Hakuna jambo nzuri kama kuwa huru, usikubali kuwa Mbuzi wa kafara

    Salaam jamiiAfrica. Unataka kuwa huru? Unataka kuwa na Amani? Unataka watoto wako uwalee na wafurahie uwepo wako? Unataka kufaidi mema ya Dunia,japo asilimia 0.01? Jitenge na siasa,kaa mbali na wanasiasa. Acha kuiongelea siasa. Kaa kimya fanya mambo yako ,usifanye vitu Kwa kutafuta sifa...
  7. Je baada ya kuwepo tume huru CHADEMA watakuwa na pendekezo jengine la kupigania?

    No Reform No Election ni dhamira ya fujo na Machafuko,nauliza tu ikiwa CCM ikakubali kuanzishwa tume huru je,CHADEMA itakuwa la lengine la kunadi sera zake?? Kuna nadharia tunaaminishwa lakini ukweli halisi hauendani na kinachozungumzwa. UZITAYAri
  8. A

    Kwa hizi hotuba za Rais wetu, CHADEMA ni vyema mjiandae kimkakati kuelekea 2030, uchaguzi wa mwaka huu ni wazi hata kwa 0% hautakuwa wa huru na haki.

    Nawasikitikia sana wale wanaosema watapambana wakiwa uwanjani, kiukweli mtachakazwa na kila aina ya rafu hadi mtakimbia kabla hata ya dakika 90. Wale walioahidiwa ubunge wa bure sahauni, simuoni mwana ccm yeyote wa kukubali kuachia jimbo kizembe eti kisa wewe mpinzani. Chadema mwaka huu...
  9. PreGE2025 Tausi Likokola: Serikali iwajibike kutoa majibu kuhusu matukio ya utekaji na watu wanaopotea hasa wale wanaoikosoa

    Mwanamitindo wa Tanzania anayeishi nchini Marekani, Tausi Likokola ametoa ujumbe mitandaoni akiitaka Serikali kuwajibika kutoa majibu kuhusu matukio ya utekaji na watu wanaopotea hasa wale wanaokosoa Serikali. Sikiliza video yake hapo chini
  10. Kwanini CHADEMA kinaomba Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi kukijumuisha Chama hicho kwenye Uchaguzi Mkuu wa kihistoa Oktoba 2025 sasa?

    Chadema wameungundua nini sasa hata kiwatume viongozi wa dini na jumuiya ya kimataifa kuwaomba tume huru ya Taifa ya uchaguzi kuijumuisha chadema kwenye mchakato wa uchaguzi uliosalia kwa maana ya kwamba chadema nayo iwepo kwenye karatasi ya kupigia kura, hali ya kua chama hicho hakina sifa na...
  11. Kwa jeuri hii bodi ya ligi na TFF hawako huru, hawako peke yao

    Bodi ya ligi na TFF hawajali timu na wadau wanasema nn kuhusu mechi zinavyochezeshwa. Nijuavyo mm bodi ya ligi na TFF hawana ubavu wa kuahirisha mechi ya derby kihuni namna ile. Timu hata za jeshi kuonewa uwanjani kwa kuchezeshwa kihuni hakuwezi kufanikishwa na bodi ya ligi pekee.
  12. Mjadala huru: Ushawahi mpaka kufikia hatua ya kuchanganikiwa

    Wakuu, Mapenzi ni ugonjwa,Kuna wakati unaweza ukapenda mpaka ukaona Bora watu wote wafe ⚰️ili Dunia yote iwe Yako peke yako Kuna kipindi nilimpenda mdada mmoja hivi black 🖤 ❤️ sana nilikuwa nahsi kama ndipo nimefika,hata kama nikiambiwa mabaya yake hakika nilikuwa naenda kumwambia Nilikuwa...
  13. Ni ipi sauti huru ya walimu?

    Ni ipi hasa sauti ya walimu katika taifa letu? Je, ni sauti inayosikika, inayoheshimiwa, inayotetewa? Au ni sauti iliyozimwa kwa hofu, ukimya, na matumaini hewa? Walimu ndio wanaochonga maisha ya kila kada ya jamii – wanasheria, madaktari, wahandisi, hata viongozi wa kisiasa – wote walipitia...
  14. Trending :Kurejeshwa kwa Martha Karua na muitikio wa media huru za Kenya

    Inaonekana Ujumbe Sahihi umefika kwa nyakati sahihi. KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!
  15. N

    PreGE2025 Mpaka sasa Uchaguzi nchini 2025 sio huru na haki!

    Tundu Lissu ameshafanikiwa big time. Historia kashaiandika kwa kupitia kuelimisha UMMA kuhusu NRNE - a big move! Watoto wengi wa Chuoni wanaosoma Sheria na Utawala wameshapewa desa, limewaingia. Hakuna atakayebadilisha principles za muundo wa Tume Huru za Chaguzi zetu. Wameshaeleweshwa dosari...
  16. Ukweli wa kukuweka huru ni huu

    KUKATAA MAARIFA NI KUMKATAA MUNGU ✝️✝️✝️✝️✝️✝️✝️✝️ Kuanzia wiki hii unapopiga simu hakikisha pia umeandika semina kama alama ya kumtaka Mungu Hii ni kwa faida Yako Ili hata Mungu akikuponya uwe na maarifa ya kutunza ulichopokea Moja ya sababu ya baadhi ya watu kuutukana ukristo ni kwasababu...
  17. R

    Mfungwa wa mauaji aachiwa huru baada ya kukaa jela miaka 38 kwa mauaji ya Diane Sindall 21 baada ya ushahidi wa DNA kuthibitisha kuwa hakuhusika

    Sio wote walio magereza wana hatia. Uingereza: Peter Sullivan alihukumiwa kwenda gerezani kwa kosa la kumuua mfanyakazi wa bar ( barmaid) Diane Sindall mnamo 1 August 1986. Ushahidi wa DNA umeneosha kuwa hakuhusika Peter Sullivan has murder conviction quashed after 38 years in jail Hearing...
  18. Rai huru:: Warembo pendeni kula mlo wenye ndizi mtanishukuru baadae

    Baada ya miaka mingi ya utafiti nimegundua vitabu vya hawa wanaopenda kula ndizi vinalainika na kufunguka mapema tena bila shida na maandishi husomeka kwa uzuri sana ukilinganisha na hawa wenzao wasiotumia ndizi. Kuna vitabu unakuta kurasa zake ni kavu kama kaukau inakuwa mtihani sana kufungua...
  19. D

    Ndo kusema hawa wanaohama CHADEMA wenyewe hawataki kabisa kusikia kitu kinaitwa "uchaguzi huru, wa haki na kuheshimu kura?" Au kuna kitu nyuma yake?

    Chadema chini ya Lisu wanatete maskini na kura zao kuheshimiwa pindi wanapopiga kura na mshindi aliyeshinda ndo atangazwe tofauti na sasa ambapo kura huwa zunapinduliwa aliyeshindwa na anatangazwa mshindi mfano Nape, gwajima, majaliwa nk walitangazwa bila kushinda Kwahiyo hao wanaohama wanataka...
  20. Ajira Tume Huru ya Uchaguzi ni kweli au utapeli?

    Salamu naomba wajuvi wa mambo mtusaidie hili kuna jumbe zina sambaa kwenye mitandao ya kijamii zikiwa na link ya ajira za tume huru ya uchaguzi nimejaribu kuingia kwenye link tajwa ila naona kama inakuwa na utaratibu ambao sio wa kawaida kwani kuna sehemu inasema share to your contacts...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…