PreGE2025 Mpaka sasa Uchaguzi nchini 2025 sio huru na haki!

PreGE2025 Mpaka sasa Uchaguzi nchini 2025 sio huru na haki!

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla)

NewPage

JF-Expert Member
Joined
Mar 22, 2021
Posts
1,380
Reaction score
2,236
Tundu Lissu ameshafanikiwa big time. Historia kashaiandika kwa kupitia kuelimisha UMMA kuhusu NRNE - a big move!

Watoto wengi wa Chuoni wanaosoma Sheria na Utawala wameshapewa desa, limewaingia. Hakuna atakayebadilisha principles za muundo wa Tume Huru za Chaguzi zetu. Wameshaeleweshwa dosari za Tume ya sasa na hamna anayebishia hizo dosari.

Huwezi kubishia dosari za Marekebisho ya Sheria ya Uchaguzi ya kuwaweka watumishi wa Umma waandamizi kama MaDED kuwa wasimamizi wa Uchaguzi kwa kumtia mwelimishaji kizuizini eti ni Mhaini.

Hili ni lenu, mmeliona limezeni mtoboe kidhambi dhambi hivyo hivyo!
 
Watawala bado wameshupaza shingo, hawataki kusikia chochote kile kuhusu "equal levelled ground"

Wanapenda ku "maintain the status quo" kwa kuwa refa ni mwenzao na anawahakikishia ushindi wa kishindo kama vile 2019, 2020 & 2024.

Sheria na kanuni zilizopo pia zinawahakikishia ushindi. Mifumo ya usalama pia ipo nyuma katika kuchangia ushindi wao hata kama ni kwa gharama ya wizi wa kura na umwagaji mkubwa wa damu.

Kwa kifupi ni kuwa CHURA KIZIWI anazidi kusonga mbele, kelele za maumivu na damu za dhuluma zimwagikao za wadau muhimu wala hazimbabaishi wala kumsumbua.
 
Kwa kifupi ni kuwa CHURA KIZIWI anazidi kusonga mbele, kelele za maumivu na damu za dhuluma zimwagikao za wadau muhimu wala hazimbabaishi wala kumsumbua.
Hili ndilo tunatakiwa waTanzania tulikatae. Tusikubali damu ya waTanzania imwagike kwa sababu ya mtu asiye na uwezo kutuongoza.
Njia ya kwanza kumkatalia kumwaga damu yetu ni sisi wenyewe kukataa kutumiwa kuuana sisi kwa sisi. Anawategemea polisi wawauwe ndugu zao, kwa manufaa yake mwenyewe na genge linalomshikilia.

Ni lazima tuwatambue kila mmoja wao wa hao waliomo kwenye Genge la uhalifu. Polisi wengi wanatii amri tu; hawaui waTanzania wenzao kwa utashi wao. Wanaotoa amri ni hao waliomo kwenye genge; viongozi alio wateuwa yeye Samia na kuwaweka kwenye vitengo maalum, ili wamfanyie kazi chafu ya kumbakiza madarakani kwa nguvu; kwa kuua waTanzania.

Hilo genge la watu wachache, tukilitambua; kila muhusika, ni rahisi kulidhibiti, na kuzuia umwagaji wa damu.

Hawa ni watu wanao fahamika, ni rahisi kuwashughulikia hawa, kuliko kushughulika na jeshi zima la polisi, ambalo wao wanafuata tu amri wanazopewa na wakubwa wao.
Tukilidhibiti Genge la Samia, tutakuwa tumemdhibiti Samia mwenyewe, na maafa ndani ya nchi yetu yataepukika.
 
Hili ndilo tunatakiwa waTanzania tulikatae. Tusikubali damu ya waTanzania imwagike kwa sababu ya mtu asiye na uwezo kutuongoza.
Njia ya kwanza kumkatalia kumwaga damu yetu ni sisi wenyewe kukataa kutumiwa kuuana sisi kwa sisi. Anawategemea polisi wawauwe ndugu zao, kwa manufaa yake mwenyewe na genge linalomshikilia.

Ni lazima tuwatambue kila mmoja wao wa hao waliomo kwenye Genge la uhalifu. Polisi wengi wanatii amri tu; hawaui waTanzania wenzao kwa utashi wao. Wanaotoa amri ni hao waliomo kwenye genge; viongozi alio wateuwa yeye Samia na kuwaweka kwenye vitengo maalum, ili wamfanyie kazi chafu ya kumbakiza madarakani kwa nguvu; kwa kuua waTanzania.

Hilo genge la watu wachache, tukilitambua; kila muhusika, ni rahisi kulidhibiti, na kuzuia umwagaji wa damu.

Hawa ni watu wanao fahamika, ni rahisi kuwashughulikia hawa, kuliko kushughulika na jeshi zima la polisi, ambalo wao wanafuata tu amri wanazopewa na wakubwa wao.
Tukilidhibiti Genge la Samia, tutakuwa tumemdhibiti Samia mwenyewe, na maafa ndani ya nchi yetu yataepukika.
Commercial activists mnapata taabu sana na Samia. Hakuna damu iliyomwagwa; vyombo vya usalama havijaanza awamu ya sita kushughulika na wavunjifu wa amani.

Ukikusudia kuvunja amani, utadhibitiwa tu.
 
Mama sijui ana-panic?
Ila kazingua sana aisee,image yake imechafuka sana mpaka namuonea huruma.
Kuna haja aangalie Tolerance kwenye siasa.Au alichukizwa na kushindwa kwa FAM?
 
Commercial activists mnapata taabu sana na Samia. Hakuna damu iliyomwagwa; vyombo vya usalama havijaanza awamu ya sita kushughulika na wavunjifu wa amani.

Ukikusudia kuvunja amani, utadhibitiwa tu.
Nyie ndiyo mapimbi mnaotukwamisha na mmebaki wachache tu.Tutaka usawa na haki kwenye uchaguzi ni kuvunja amani na kuteke na kuua raia wako(Mzee Kibao) ni kulinda amani.
 
Commercial activists mnapata taabu sana na Samia. Hakuna damu iliyomwagwa; vyombo vya usalama havijaanza awamu ya sita kushughulika na wavunjifu wa amani.

Ukikusudia kuvunja amani, utadhibitiwa tu.
Mzee kibao alivunja amani hipi?.hivi nyie mna ofisi CCm ya wajinga
 
Commercial activists mnapata taabu sana na Samia. Hakuna damu iliyomwagwa; vyombo vya usalama havijaanza awamu ya sita kushughulika na wavunjifu wa amani.

Ukikusudia kuvunja amani, utadhibitiwa tu.
Anaye "kusudia" kuvunja amani ni Samia Suluhu Hassan na nyinyi wachache (Genge), mnaofaidika na uwepo wake madarakani. Yeye na nyinyi (Genge), ndio mtakaodhibitiwa na waTanzania msimwage damu zao.

Safari hii elewa hivyo.
Angalia mnavyo mdanganya mama yenu asiye na uwezo wa kufikiri; eti "---vyombo vya usalama havijaanza awamu ya sita---"!
Kwa hiyo kwa sababu havijaanza awamu ya sita kumwaga damu, ndiyo ihalalishe kuendelea kumwaga damu?

Ni wazi kuwa damu mnayotafuta kuimwaga ni kwa dhumuni moja tu, la kulazimisha Samia Suluhu Hassan kubaki madarakani kwa nguvu; bila ridhaa ya waTanzania. Anayevunja amani ni Samia Suluhu Hassan na Genge lenu mliodhamiria kuwatawala waTanzania kwa nguvu.
Hili safari hii halikubaliki.

Kama ni damu kumwagika, itakuwa ni yenu; na siyo ya kuwatumia "vyombo vya usalama" kumwaga damu ya waTanzania wenzao wasiokuwa na hatia. Kutafuta HAKI ya kumchagua kiongozi tunayemtaka haiwezi kuwa ni kuvunja amani.
 
Tundu Lissu ameshafanikiwa big time. Historia kashaiandika kwa kupitia kuelimisha UMMA kuhusu NRNE - a big move!

Watoto wengi wa Chuoni wanaosoma Sheria na Utawala wameshapewa desa, limewaingia. Hakuna atakayebadilisha principles za muundo wa Tume Huru za Chaguzi zetu. Wameshaeleweshwa dosari za Tume ya sasa na hamna anayebishia hizo dosari.

Huwezi kubishia dosari za Marekebisho ya Sheria ya Uchaguzi ya kuwaweka watumishi wa Umma waandamizi kama MaDED kuwa wasimamizi wa Uchaguzi kwa kumtia mwelimishaji kizuizini eti ni Mhaini.

Hili ni lenu, mmeliona limezeni mtoboe kidhambi dhambi hivyo hivyo!
uchaguzi mkuu wa kihistoria Tanzania ni october mwaka huu2025,
usipange kukosa kushiriki kuandika historia ya Tanzania mwezi October my friends, ladies and gentlemen :NoGodNo:
 
Commercial activists mnapata taabu sana na Samia
'Terminology' hii umejifunza hivi karibuni, na unaona ukiitumia hapa itaongeza thamani ya utakayo yaeleza huko chini?

Kama sisi tunaokataa kuvurugwa na nyinyi mnaotaka kututawala bila ya ridhaa ya waTanzania tutakuwa tunafanya hivyo kwa kuwa ni "Commercial activists", basi acha na iwe hivyo; kuliko kuongozwa na Genge la watu mnaojali maslahi binafsi.
 
Commercial activists mnapata taabu sana na Samia. Hakuna damu iliyomwagwa; vyombo vya usalama havijaanza awamu ya sita kushughulika na wavunjifu wa amani.

Ukikusudia kuvunja amani, utadhibitiwa tu.
Kwa kuteka na kuuawa? Soka na Mdude kwanini hamkuwaonesha mlikowapotezea na mzee Kibao ndivyo mlivyomdhibiti?
 
uchaguzi mkuu wa kihistoria Tanzania ni october mwaka huu2025,
usipange kukosa kushiriki kuandika historia ya Tanzania mwezi October my friends, ladies and gentlemen :NoGodNo:
No reform No election, unatetea tumbo lako tu. Hatudanganyiki ng'o
 
Anaye "kusudia" kuvunja amani ni Samia Suluhu Hassan na nyinyi wachache (Genge), mnaofaidika na uwepo wake madarakani. Yeye na nyinyi (Genge), ndio mtakaodhibitiwa na waTanzania msimwage damu zao.

Safari hii elewa hivyo.
Angalia mnavyo mdanganya mama yenu asiye na uwezo wa kufikiri; eti "---vyombo vya usalama havijaanza awamu ya sita---"!
Kwa hiyo kwa sababu havijaanza awamu ya sita kumwaga damu, ndiyo ihalalishe kuendelea kumwaga damu?

Ni wazi kuwa damu mnayotafuta kuimwaga ni kwa dhumuni moja tu, la kulazimisha Samia Suluhu Hassan kubaki madarakani kwa nguvu; bila ridhaa ya waTanzania. Anayevunja amani ni Samia Suluhu Hassan na Genge lenu mliodhamiria kuwatawala waTanzania kwa nguvu.
Hili safari hii halikubaliki.

Kama ni damu kumwagika, itakuwa ni yenu; na siyo ya kuwatumia "vyombo vya usalama" kumwaga damu ya waTanzania wenzao wasiokuwa na hatia. Kutafuta HAKI ya kumchagua kiongozi tunayemtaka haiwezi kuwa ni kuvunja amani.
Upo very correct!
 
Back
Top Bottom