humphrey polepole

Humphrey Polepole is a Young Tanzanian politician presently serving as the Chama Cha Mapinduzi's Ideology and Publicity Secretary. Before being appointed Humphrey Polepole was a District Commissioner for Ubungo district

View More On Wikipedia.org
  1. Waufukweni

    GE2025 Polepole: Nipo hapahapa Bongo lakini sitaonekana kwenye kituo cha kupiga Kura

    Akizungumza kwa njia ya mtandao Septemba 30, 2025, Humphrey Polepole alithibitisha kuwa yupo nchini Tanzania, lakini hatoonekana kwenye kituo chochote cha kupiga Kura, akisisitiza kuwa hakuna uchaguzi bila muafaka wa kitaifa kwanza.
  2. Waufukweni

    Kaka yake Humphrey Polepole athibitisha kutekwa kwa ndugu yake (Polepole) na mtu anayefahamika kama Mafwele

    Augustino Polepole, ambaye ni kaka yake Humphrey Polepole, amethibitisha kuwa ndugu yake ametekwa na kumtaja afisa wa polisi aitwaye Mafwele, ZCO wa Jeshi la Polisi Tanzania, kuwa anahusishwa na tukio hilo usiku wa kuamkia leo Oktoba 6, 2025. ‎Aidha, Agustino ameeleza kuwa mdogo wake ana kifaa...
  3. DuaZaMama

    Humphrey Polepole atekwa usiku wa kuamkia leo Oktoba 6

    Kupitia ukurasa wake wa Instagram Mange ameandika.... "Hi guys nimetumiwa hii ni mtu ana insist ni ndugu yake na Polepole. I don’t know what to think, Mimi nilidhani Polepole hayuko TZ. I’m posting ili Polepole mwenyewe ku confirm kama yuko Okay, Ila mimi kama sijui niipe uzito gani hii...
  4. a sinner saved by Christ

    GE2025 Mfanano uliopo kati ya Lyatonga Mrema na Polepole

    Wote Mrema na Polepole walijiuzulu kutoka nafasi zao za juu ndani ya chama na serikali. Wote baada ya kujiuzulu nafasi zao ndani ya chama na serikali wakawa wakosoaji wakuu wa chama na serikali hiyo hiyo waliyokuwa wanafanya kazi awali. Wote Mrema na Polepole wakateka hisia za wananchi wanyonge...
  5. Cute Wife

    GE2025 Polepole kukiwasha muda mfupi ujao, kuongelea jinsi pesa zinavyopigwa na wanamtandao

    Wakuuu, Haya muamke tupate maji yenye pilipili kutoka kwa Polepole🌚
  6. W

    Kumbukizi: Polepole alisema polisi siyo kwamba wananyanyasa watu kwa kupenda ila wamejawa shida na msongo wa mawazo, alitaka waongezewe maslahi

    Wakuu leo kwenye pitapita zangu huko nikakutana na video ya Bwana Polepole kipindi hiko akiwa anapambani katiba mpya mwaka 2014. Wakati akizungumza alisema kuwa wakati wanakusanya maoni ya katiba mpya aliambiwa kuwa Polisi wana shida nyingi sana, hali zao za kimaisha si nzuri sana. "Polisi...
  7. H

    GE2025 Polepole: Samia anaahidi vitu vidogo vinavyoweza kufanywa na mkuu wa wilaya

    Kwenye press aliyofanya aliyowahi kuwa balozi wa Tanzania kutoka Cuba anayejulikana Kama Humphrey Pole pole amesema ameshangazwa na sera anazoahidi mgombea wa uraisi wa CCM Rais Samia kuwa ni sera ambazo hazikutakiwa kuahidiwa na Taasisi kubwa Kama ya uraisi. Huwezi kuahidi wananchi kuwa...
  8. DuaZaMama

    GE2025 Polepole: Jamaa aliniuliza maisha yangu baada ya uchaguzi yatakuwaje, nikamwambia hakuna uchaguzi hii ni kiini macho tu

    Majibu yangu kwa jamaa yangu wa Idarani na nitumie fursa hii kuwajibu wote wenye mashaka mashaka juu ya dhamira yetu ya kuikomboa hatima ya nchi yetu ambayo iko kwenye giza nene muda huu, bado muda kidogo na kama Mungu aishivyo haki itatamalaki katika nchi yetu, niwatie moyo siku hiyo inakuja...
  9. Mkalukungone Mwamba

    GE2025 Polepole: Rais Samia, wananchi hawakukubali, na wanahisi unawakosea sana, makosa unafanya wewe hasara wanabeba CCM

    Polepole: Wananchi awakukubali, na wanahisi unawakosea sana, makosa unafanya wewe hasara wanabeba CCM na wahanga ni Tanzania nzima Nikusihi usirudie tena kuwatisha waTanzania kwa dhamana waliyokupa.
  10. B

    Mazungumzo ya Ndg. Humphrey Polepole - Kuhusu kutowatisha viongozi wa dini 25 Septemba 2025

    Mtaa wa Kajificheni Mazungumzo ya Ndg. Polepole - Kuhusu kutowatisha viongozi wa dini 25 Septemba 2025 https://m.youtube.com/watch?v=DdrvgHstRPw
  11. Chamoto

    GE2025 Polepole: Tarehe 29 sitaonekana kwenye kituo chochote cha kupiga kura kwa sababu hakuna Uchaguzi ni kiini macho

    Anaandika Humphrey Polepole kupitia ukurasa wake wa Instagram: "Ukiona ukiwasikiliza ndani ya moyo wako hawakupi amani ya moyo, ukiona wanatumia nguvu kubwa kukushawishi hata kwa mambo ya kawaida na bado unahisi na kuona kutokuwaamini, ukiona wakitajwa unahofia usalama wako, ukiona hauwezi...
  12. covid 19

    GE2025 Humphrey Polepole: Kuna siku kidogo tuzichape Ikulu

    Aliyekuwa balozi wa Tanzania nchini cuba amesema kuna siku ilibaki kidogo tu wachamane au wapigane ikulu kutokana na hali ya uzembe ya baadhi ya watumishi wenzake. My take: kama hadi watumishi yaani viongozi wanataka kuchapana ngumi ikulu hapohapo basi Rais wetu anadharauriwa sana sana na hawa...
  13. Mto wa mbu

    Polepole kuleta mashahidi wa Siri, ni kuthibitisha kikundi kinachoteka watu-Tanzania

    Ukweli mchungu CCM na Samia wanaumia mno yaani mnoo juu ya madai yanayoibuliwa na Hamphley Polepole. Machawa wanataka kutuaminisha kuwa Polepole kapuuzwa,ila ukweli Serikali inatamani imdake ata Leo. Jana Polepole katoa madai kuwa Mtoto wa Rais ,bwana Abdul, ana genge la kuteka watu, na...
  14. Waufukweni

    GE2025 Polepole: Nilivamiwa na Majambazi 15 wenye Silaha, niliposali Sala fupi wakaondoka

  15. PAYE

    Polepole: Polisi walisema Mzee Mangula alilishwa sumu, waulizwe uchunguzi uliishia wapi?

    Humphrey Polepole ameibua tena sakata la kupewa Sumu kwa aliyekuwa Makamu Mwenyekiti wa CCM, Mzee Philip Mangula ambapo amemtaka aliyekuwa Kamanda wa Polisi Kanda ya Dar es Salaam wakati huo, Lazaro Mambosasa kueleza umma nani alifanya tukio hilo. Amesema matukio ya Viongozi kudhurika yaliwahi...
  16. Waufukweni

    Polepole: Polisi mtafuteni Sativa, ni mhanga wa utekaji, chukueni maelezo bila kumtisha

  17. Waufukweni

    Polepole: Polisi mjitafakari, imani ya Wananchi kwenu inazidi kuondoka kwa namna mnavyowajibika kwao

    Humphrey Polepole ameushauri uongozi wa Jeshi la Polisi kutazama upya mwenendo wake, akibainisha kuwa uaminifu wa wananchi kwa jeshi hilo unazidi kudhoofika kadri siku zinavyosonga. Ameeleza kuwa hali ya wananchi kupuuza maagizo ya polisi na hata kuingia kwenye migongano ya wazi nao ni ishara...
  18. Waufukweni

    Humphrey Polepole: Niliambiwa Rais Samia ameagiza nifukuzwe kazi nikiwa Cuba na mafao yangu yote nisipewe

    Kada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Balozi aliyejiuzulu, Humphrey Polepole, akizungumza kwa njia ya mtandao, Septemba 18, 2025, amesema amesikia kuhusu kuitwa na Jeshi la Polisi lakini bado kuna tatizo Serikalini kwa sababu walipaswa kuihoji Serikali kwanini haijanirejesha nchini baada ya mimi...
  19. Heparin

    Humphrey Polepole: Leo Septemba 18, 2025 nitajibu barua ya wito wa Polisi, unganeni nami kupambana na wahuni

    Ndugu zangu leo 18 Septemba 2025 muda wowote kutoka sasa tunapanda hewani mjulishe na mwenzio. Niko na majibu ya waraka wa Jeshi la Polisi na mengine yahusianayo! NB: Naomba Jeshi la Polisi muungane nami wakati wowote kutoka sasa kazi ya kupambana na wahuni na genge la Mtandao ni yetu sote!
  20. Tajiri wa kinyankole

    Je, Polepole yupo salama post aliyoiachia Mohamed Kawaida huko mtandaoni inatia mashaka huku wengine wakisema done

    Kwa siasa za Tanzania na mambo ambayo amekuwa akiyatolea taarifa polepole kwa nyakati tofauti tofauti lazima kuwepo kwa mashaka makubwa. kwani huyu mtu amekuwa akilalamika kutafutwa kwa lengo la kumdhuru mara nyingi na watu ambao binafisi yeye hakusema ni vyombo vya dola, post kama ya mohamed...
Back
Top Bottom