Halafu mnaoingia Kumuona Mgonjwa wa Serikali tafadhali mkiwa mnatoka acheni Kulia kwani mnatutisha wengine wenye Mioyo myepesi. Kwani nasikia hata wale mlioenda St. Thomas tarehe 14 Oktoba, mwaka 1999 na wale mlioenda kwa Mzena tarehe 17 Machi, 2021 mlifanya hivi hivi na baadae Majonzi yakaanza...
Hadi kufikia asubuhi ya leo Ijumaa Februari 11, 2022 mwili wa aliyekuwa bondia wa ngumi za kulipwa nchini, Vincent Mbilinyi umeshindwa kutolewa katika Hospitali ya Taifa Muhimbili kwa ajili ya mazishi kutokana na kile kilichoelezwa kuwa kuna deni la Sh milioni sita za matibabu yake.
Mbilinyi...
Madaktari na wafanyakazi wa Taasisi ya Tanzania Occupational Health Services (T.O.H.S) maarufu kama Dar Group Hospital wanatarajia kuanza mgomo na kuishinikiza Serikali kupitia wizara zake husika kutoa muafaka na hitimisho kuhusu kadhia ya muda mrefu iliyop ktk hospital hiyo isiyo na mmiliki...
Wakuu,
Kwa taarifa za uhakika, Waziri Mkuu wa zamani, Ndg. Edward Lowassa ni mgonjwa na amelazwa Hospitali ya Taifa, Muhimbili.
========
UPDATE:
Waziri Mkuu Mstaafu, Edward Lowassa amelazwa katika hospitali ya Taifa ya Muhimbili baada ya kufanyiwa upasuaji wa tumbo.
Taarifa kutoka kwa...
Kipindi cha awamu ya tano Mheshimiwa Rais Magufuli alipiga marufuku sana ya maduka yaliyo nje ya hospitali za Serikali, kwani ilionekana kuwa hayo maduka ndo chanzo cha Kukosekana dawa ndani ya hospitali hizi za serikali.
Wengi tulishuhudia huduma nzuri pamoja na upatikanaji wa dawa ndani ya...
Jana nimeenda hospital moja hapa Tegeta kibaoni, na imeshajijua maana ipo peke yake pele kibaoni. Waanapiga bei kubwa sana wateja wao, kujiandikisha tu pale ni 7,500/= na sijui ni yanini maana hata file hupewi mambo yote yapo kwenye system za computer. Baada ya hapo anakwambia inachofuata...
Igweeeee
Kwanza nipongeze kwa huduma bora.
Nakuomba mnamo tarehe tatu mwezi january nilikuja ulinifanyia vipimo vya xray kwa weredi mkubwa nimdada mweupe mnene kiasi ulikuwa umevaa kigauni min
Natamani nikupe zawadi kwa huduma zako bora nimeamua kutokutaja hospital yako but ni hospital...
Habari zenu ndugu zanguni watanzania,
Napenda kuuliza mie nina kadi ya NSSF kwa ajili ya matibabu, wife ni mjamzito sasa je napenda kuuliza ni hospital gani nzuri kwa hapa Dar kwa ajili ya uzazi kwa kadi za NSSF.
Nafikiri kuhanzisha hospital ya dawa za asili Yaani kutibu kwa dawa za asili.
Maana Kuna magonjwa mengi Ambayo yanashindikana kutibiwa hospitali kabisa na wanawaza kabisa kukupa dawa Lakini ukakuta ni ya kupunguza kabisa ugonjwa.
Na mengine yanatibika kabisa hospitali Lakini garama yake ni...
Queen Elizabeth II spent a night at the hospital for 'preliminary investigations,' says palace spokesperson
By David Wilkinson and Max Foster, CNN
Updated 6:37 PM ET, Thu October 21, 2021
Queen Elizabeth cancels trip to Northern Ireland
London (CNN)Queen Elizabeth II spent Wednesday night...
PRIME MINISTER Kassim Majaliwa has suspended Karagwe District Procurement Officer Mr. Yesse Kaganda after being dissatisfied with the quality standards of the construction of Karagwe District Hospital which has been built at a cost of 2.5 billion shillings.
The Prime Minister said President...
President Uhuru Kenyatta is shown the conceptual model of the KNRR hospital on Tuesday, August 31. PSCU
President Uhuru Kenyatta on Tuesday, August 31, presided over the groundbreaking ceremony of the construction of the Kenya National Research and Referral Hospital (KNRRH) at the Kabete Army...
POST: HEALTH ASSISTANT II – 12 POST
POST CATEGORY(S): HEALTHCARE AND PHARMACEUTICAL
EMPLOYER: Muhimbili National Hospital
APPLICATION TIMELINE: 2021-08-19 2021-09-02
JOB SUMMARY N/A
DUTIES AND RESPONSIBILITIES
To clean wards, compounds, halls and equipments
To clean and disinfect the mortuary...
Alipokufa Hayati Rais Dkt. Magufuli na Kuhifadhiwa hapo kwa Siku kama Mbili au Tatu hivi barabara ambayo si tu hutumiwa na Wanajeshi lakini hata Raia ( akina GENTAMYCINE ) ilifungwa huku 'Makomandoo' wakirandaranda japo baadhi yao mida ya Usiku tulikuwa tukipishana nao mno tu katika 'Korido' za...
Bado najiuliza huyo mwanasiasa aliyetajwa na Dr. Anthony Diallo kwamba alikuwa na jalada hospitali ya Mirembe ni nani?
Na kwanini mifumo ilimruhusu kugombea?
Nawasalimu kwa jina la JMT!
=========
KWA UFUPI
Mahojiano kati ya Mhe Anthony Diallo Mwenyejiti wa CCM Mkoa wa Mwanza na Mtozi Alloyce...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.