Lakasa chika7
JF-Expert Member
- Jan 7, 2017
- 454
- 1,261
Helicobacter pylori (H. pylori) huu ugonjwa dawa zake bei zake ni kuanzia elfu 80. Hospital ya Kairuki hasa polyclinic Kairuki ya Mbezi Magufuli kila mgonjwa atakayepima choo wote wanaambiwa wana H. pylori. Ukiwa na Bima ya afya lazma uambiwe una H. pylori.
Nilipeleka mtoto wangu akaanbiwa hivyo mtoto wa miaka 3, wakampa madawa mengi aina km 5 afu zote za kumeza siky 14 hadi 30.
Shem wangu naye ambaye hatuishi nyumba 1 na yeye aliambiwa na H. Pylori, rafiki yangu hivyo hivyo.
Mimi mwenyewe jana nilipima nilikuwa siumwi chochote nikasema ngoja niwapime wakasema nina H. pylori.
Nikamchukua mtoto na mimi tukaenda kupima bochi na Kairuki kote tulikutwa hatuna hiyo H. pylori mtoto wangu amekutwa na matosi yanayompa homa basi.
Je, nyie hospitali ya Kairuki mmeamua kufanya biashara na miili yetu au?? Je, pesa ya bima ndiyo chanzo chenu cha mapato.
Serikali fatilieni hili swala. Wagonjwa wa bima kupewa madawa mengi na kuambiwa wanaumwa magonjwa mengi ili hospital wauuze dawa siyo fair.
Nilipeleka mtoto wangu akaanbiwa hivyo mtoto wa miaka 3, wakampa madawa mengi aina km 5 afu zote za kumeza siky 14 hadi 30.
Shem wangu naye ambaye hatuishi nyumba 1 na yeye aliambiwa na H. Pylori, rafiki yangu hivyo hivyo.
Mimi mwenyewe jana nilipima nilikuwa siumwi chochote nikasema ngoja niwapime wakasema nina H. pylori.
Nikamchukua mtoto na mimi tukaenda kupima bochi na Kairuki kote tulikutwa hatuna hiyo H. pylori mtoto wangu amekutwa na matosi yanayompa homa basi.
Je, nyie hospitali ya Kairuki mmeamua kufanya biashara na miili yetu au?? Je, pesa ya bima ndiyo chanzo chenu cha mapato.
Serikali fatilieni hili swala. Wagonjwa wa bima kupewa madawa mengi na kuambiwa wanaumwa magonjwa mengi ili hospital wauuze dawa siyo fair.