hiv

The human immunodeficiency viruses (HIV) are two species of Lentivirus (a subgroup of retrovirus) that infect humans. Over time, they cause acquired immunodeficiency syndrome (AIDS), a condition in which progressive failure of the immune system allows life-threatening opportunistic infections and cancers to thrive. Without treatment, average survival time after infection with HIV is estimated to be 9 to 11 years, depending on the HIV subtype. In most cases, HIV is a sexually transmitted infection and occurs by contact with or transfer of blood, pre-ejaculate, semen, and vaginal fluids. Research has shown (for both same-sex and opposite-sex couples) that HIV is untransmittable through condomless sexual intercourse if the HIV-positive partner has a consistently undetectable viral load. Non-sexual transmission can occur from an infected mother to her infant during pregnancy, during childbirth by exposure to her blood or vaginal fluid, and through breast milk. Within these bodily fluids, HIV is present as both free virus particles and virus within infected immune cells.
HIV infects vital cells in the human immune system, such as helper T cells (specifically CD4+ T cells), macrophages, and dendritic cells. HIV infection leads to low levels of CD4+ T cells through a number of mechanisms, including pyroptosis of abortively infected T cells, apoptosis of uninfected bystander cells, direct viral killing of infected cells, and killing of infected CD4+ T cells by CD8+ cytotoxic lymphocytes that recognize infected cells. When CD4+ T cell numbers decline below a critical level, cell-mediated immunity is lost, and the body becomes progressively more susceptible to opportunistic infections, leading to the development of AIDS.

View More On Wikipedia.org
  1. upupu255

    SI KWELI Bei elekezi ya ARV ni Tsh. 76,000 baada ya USAID kusitisha misaada

    Wakuu Nimeona taarifa inayoeleza kuwa bei elekezi ya ARVs ni shilingi elfu sabini na sita kwa mujibu wa wizara ya afya. je, ni kweli?
  2. Braza Kede

    UNAIDS inakaribisha uamuzi wa Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani kuendelea kutoa matibabu ya HIV yanayookoa maisha

    Haya sasa tuendelee kukata viuno The United States Secretary of State, Marco Rubio, has approved an “Emergency Humanitarian Waiver”, which will allow people to continue accessing HIV treatment funded by the US across 55 countries worldwide. More than 20 million people living with HIV...
  3. relis

    Hofu ya HIV inanitesa

    Habari wakuu! Niende Moja Kwa moja katika story niliyopitia mwaka 2009 nilibatika kuanza kazi mkoa fulani Kwa kweli sikuwa mtu wa maneno mengi ni kazi tu Basi akatokea Binti mmoja. Tukapendana kijana nikajiweka. Bila tabu,nilikuwa muoga sana wa HIV Mimi na mwenzangu kabla ya kupelekeana moto...
  4. toriyama

    HOJA HURU: Mimi Hadi Sasa sikuelewa umuhimu wa kuleta ARV, ARV zisingekuwepo HIV Sasa isingekuwepo walio na maambukizi wangekuwa wameshakufa wote

    Mimi Hadi Sasa sikuelewa umuhumu wa kuleta ARV, ARV zisingekuwepo HIV Sasa isingekuwepo walio na maambukizi wangekuwa wameshakufa wote wakabaki wasio na maambukizi badala yake idadi ya walionao imekuwa kubwa tunategeshea takwimu za watu ambao wanatumia dawa ipasavyo ili wasiambukize ona Sasa...
  5. J

    Profesa Tibaijuka: Trump kusitisha misaada ARVs zitaadimika Afrika. African Union iitishe kikao maalum kuweka mkakati

    Mbunge wa zamani wa Muleba, Prof Tibaijuka amesema kitendo cha Rais Trump wa US kusimamisha msaada ya kimataifa kitaleta Kiama Tanzania na Afrika Pia soma > Trump asimamisha misaada kwa nchi nyingine kwa siku 90 ili kupitiwa upya. Tanzania nayo kuathirika Trump amezuia misaada ya sekta za afya...
  6. Uwesutanzania

    Faida za kuathirika na HIV (UKIMWI

    Ni mimi wako UWESUTANZANIA ✍️ Ndugu yangu leo ngoja nije na faida za kuwa muathirika wa HIV. Kama wewe ni muathirika wa HIV basi tafadhali soma hadi mwisho itakusaidia. Pia kama ulikuwa ukichukua tahadhari juu ya HIV (UKIMWI), yaani bado haujaathirika basi endelea kuchukua tahadhali maana...
  7. Brojust

    Ajali za mwisho wa mwaka, Je ni Africa peke yake au hata nchi zilizoendelea ? Je ni dhana ya ulozi au Uzembe tuu ? Mbona watu wanapotea kizembe hivi ?

    Salaam Case study: Tanzania, Hizi ni coache tu, kagera 15, Mikese 18, hapo bado majeruhi watakao kuwa vilema wa maisha, Sina data kamili ila kuanzia mwezi wa 10 mpaka huu wa 12 inawezekana death toll kwenye ajari pekee inafika 50, hapo bado sijazungumzia pale songwe mlima mbalizi nasikia tena...
  8. Introvert Music

    Nikiweka billioni 5 UTT Amis napata gawio bei gani?

    Wazee chukulia nina billion 5 kutoka kwenye biashara zangu mbalimbali. Nimeona tangazo la UTT Amis kwamba wanagawa gawio zuri kwa mwaka ndio nikataka kuwauliza nyie rafiki zangu wa humu JamiiForums. Je, hawa jamaa nikiweka pesa inakua salama? Nikiweka Bilioni 5 napata gawio Bei Gani Kila...
  9. 90sgeneration

    Ushauri:Mtu mwenye HIV+ anahofia kufanyiwa surgery anaogopa Madakta watamnyanyapaa wasimfanyie vizuri, au wakamuua!

    Wakuu habari zenu. Najua kuna madr humu, nahitaji ushauri wenu, cas sijui ethics au pricedures za wataalamu wa afya nisije shauri vibaya. kuna kijana tunafahamiana ni HIV+, japo tofauti na ndugu zake na watu wa karibu sana wengine hawajui, hata ofisini kwake hawajui.Ameomba ushauri, ameniambia...
  10. kimsboy

    Itakuaje Iran ikitumia kombora la Hypersonic?

    Masaa yanakaribia, Itakuaje Iran wakitumia makombora ya hypersonic kumbuka lile Kombora sifa yake huwa halitunguliki yana Speed kuliko sauti. Maana nimeona Israel anavyohaha kuweka raia kwenye mahandaki, leo ni siku ya nne watu wamelala kwenye mahandaki kama Panya!! Jamaa wanahaha kuactivate...
  11. KHM 1995

    Teknologia ya gene cloning na gene editing ni muarobaini wa vita dhidi ya HIV

    Teknolojia katika field ya afya ni msingi katika muktadha wa afya ya kiumbe chochote kilicho hai hasa binadamu tutakaye mzungumzia zaidi. HIV ni janga duniani lakini inapaswa tufahamu teknolojia ndio itayoleta mwanga wa kupambana na hiki kirusi, lakini kuna baadhi ya wanyama kirusi hakiwezi...
  12. KHM 1995

    Teknologia ya gene cloning na gene editing inapaswa iwe muarobaini wa kupambana na HIV

    Teknolojia katika field ya afya ni msingi katika muktadha wa afya ya kiumbe chochote kilicho hai hasa binadamu tutakaye mzungumzia zaidi. HIV ni janga duniani lakini inapaswa tufahamu teknolojia ndio itayoleta mwanga wa kupambana na hiki kirusi, lakini kuna baadhi ya wanyama kirusi hakiwezi...
  13. Tareq20

    Anatafuta mchumba ni HIV positive miaka 23 mtwara muislam

    Hello habari zenu kuna dada anatafuta mchumba HIV positive Sifa zake Muislam very religious Umri 23 Mahali alipo mtwara Vigezo vyake Awe muislam Asizidi miaka 40+ Kama utakua interested unaweza kunifata PM nikakupa mawasiliano nae
  14. Madwari Madwari

    Engineered Virus Steals Proteins From HIV Pointing to New Therapy

    After promising results in monkeys, scientists plan to test the new treatment in a few people with H.I.V. A colored scanning electron micrograph of a human cell infected with H.I.V., in purple.Credit...Steve Gschmeissner/Science Source Scientists have developed a new weapon against H.I.V.: a...
  15. Mona_tz

    Nimejikuta kwenye wakati mgumu baada ya kukutana na mwanamke huyu: Nifanye Nini?

    Wakubwa, habari za kazi. Nimeona nilete kwenu tuweze kupena ushauri na elimu pia. Bana, juzi kati kama wiki mbili nyuma, kwenye pita pita zangu nikaonana na mwanamke mkubwa kiumri, vijana tunaita mshangazi. Umri wake kama alivyonieleza ni kweli umeenda (miaka 49). Stori za hapa na pale, kijana...
  16. Doctor William Mtanzania

    HIV ni kirusi ambacho hadi leo hakijawahi kuonekana umbile lake sababu kinauwezo wa kugeuza na kubadilika zaidi ya maumbile 360

    - HIV ni kirusi ambacho hadi leo hakijawahi kuonekana umbile lake sababu kinauwezo wa kugeuza na kubadilika zaidi ya maumbile 360. - HIV ukiipata leo, itakuchukua WIKI moja ndio ionekane kwenye mwili wako na itachukua miaka 3-5 ndio ujitambua una HIV - HIV ukiishi nayo bila kuitibu, kama...
  17. Uwesutanzania

    Natafuta jina la huu wimbo sauti kama ya ben poul hivi

    Sauti kama ya ben pol hivi. Ni wimbo wa mapenzi nakumbuka kiitikio Beby so faaa beby so sofaa
  18. N

    GOOD NEWS: Gilead Sciences HIV Prevention Treatment Shows 100% Effectiveness in Phase 3 Trial

    By Dean Seal Gilead Sciences said an interim analysis of its lenacapavir study showed 100% efficacy in HIV prevention in cisgender women, resulting in a recommendation that the treatment be opened to all trial participants. The biopharmaceutical company said the phase 3 trial of its...
  19. harakati za siri

    HIV/ AIDS je hizi ni dalili za mwisho au Kuna tumaini bado?

    Habari madaktari wetu! Mgonjwa amepata uvimbe kwenye viungo (Swollen lymph nodes) Mitaani huwa kuna imani kuwa mgonjwa akishafikia hatua hiyo ndiyo dalili za mwisho za kufariki. Je ni kweli? au akikazana na dawa atakuwa sawa tena. Vijana kuweni makini Ukimwi upo kwa hakika, kuna watu...
  20. Pdidy

    YAAN KILA MTU FB ANAUZA DAWA ZA KUTIBU SUKARI KHA MBONA HIV HAMLETI

    Natokakufungua ffb acc leo yaan kila mtu anauza dawa za kisukari Funguaa acc nyingine hukoo ndio balaaa kaweka tangazo la kutibu bure bonyrxaa link Manenoooo mengi mwishoo anakwambia tuma 170000 atii punguzo hili n kwa siku 7 tu Nyooooo hivi mnatuonaje nyie kengee mshaona watanzania wajinga...
Back
Top Bottom