Mzee Pinda ,wewe Ni mstaafu ambaye unaonekana upo mstari wa mbele kutuliza upepo wa Tundu Lissu .
Ushauri wa Bure ...Kama Hawa vijana walikuliza Bungeni kwa hoja nyepesi enzi zile.! Nakushauri mwaka huu Uchaguzi kaa pembeni.mashambulizi makali yanaeleezwa kwa Magufuli na sio CCM!
Hii inatokana...