UWEKEZAJI KATIKA HISA LEO 4/5/2026

UWEKEZAJI KATIKA HISA LEO 4/5/2026

Angalia hizi sehemu tatu ambazo ni mawasiliano, Benki (siyo Kila Benki, angalia Benki zenye mkono wa serikali na watu) manufacturing..option ya mwisho ni Investment fund (hii ni ya mwisho kabisa)....soko letu la hisa halijachangamka vizuri but kuna potential Fulani hivi ipo baadae...Kwa uchumi wetu option zile tatu juu naona ni za kuanzia.
 
Angalia hizi sehemu tatu ambazo ni mawasiliano, Benki (siyo Kila Benki, angalia Benki zenye mkono wa serikali na watu) manufacturing..option ya mwisho ni Investment fund (hii ni ya mwisho kabisa)....soko letu la hisa halijachangamka vizuri but kuna potential Fulani hivi ipo baadae...Kwa uchumi wetu option zile tatu juu naona ni za kuanzia.
Asante sana kwa ushauri ninauchukua ili nianze kuufanyia kazi!Ninachokuomba ni namna ya kuifahamu benki yenye mkono wa serikali na watu,hapo ndiyo ningeomba unielimishe zaidi kama hutojari!
 
Asante sana kwa ushauri ninauchukua ili nianze kuufanyia kazi!Ninachokuomba ni namna ya kuifahamu benki yenye mkono wa serikali na watu,hapo ndiyo ningeomba unielimishe zaidi kama hutojari!
CRDB,NMB nyingine ni Mkombozi, nyingine ni Maendeleo na MuCoba ambazo sijaziangalia vizuri, kama zina potential unaziwekea unatulia, Kwa banks ndo ninazofahamu...cha muhimu ni potential.
 
CRDB,NMB nyingine ni Mkombozi, nyingine ni Maendeleo na MuCoba ambazo sijaziangalia vizuri, kama zina potential unaziwekea unatulia, Kwa banks ndo ninazofahamu...cha muhimu ni potential.
Asante sana ndugu,hapo umenipa mwanga na sehemu ya kuanzia!
 
CRDB,NMB nyingine ni Mkombozi, nyingine ni Maendeleo na MuCoba ambazo sijaziangalia vizuri, kama zina potential unaziwekea unatulia, Kwa banks ndo ninazofahamu...cha muhimu ni potential.
Na benki ya walimu (MCB)?
Naona hisa zake zinapaa kuliko kawaida nawadays..
 
Mwanga Bank is the best in Town now days. Management ya hii bank wanapaswa kupewa zawadi. Hongereni sana. Mkiendelea hivi miaka 10 ijayo mtaanza kuwa na Matawi Nairobi, Bujumbura, Kinshasa, Kampala, Kigali etc
 
Mwanga Bank is the best in Town now days. Management ya hii bank wanapaswa kupewa zawadi. Hongereni sana. Mkiendelea hivi miaka 10 ijayo mtaanza kuwa na Matawi Nairobi, Bujumbura, Kinshasa, Kampala, Kigali etc
Je hisa zao ziko DSE?
 
CRDB,NMB nyingine ni Mkombozi, nyingine ni Maendeleo na MuCoba ambazo sijaziangalia vizuri, kama zina potential unaziwekea unatulia, Kwa banks ndo ninazofahamu...cha muhimu ni potential.
Nimefuatilia performance ya Mabenki Tzn karibu yote yanafanya vizuri yanapata faida zaidi ya 50%.

Benki 1 tuu ndio ilipata hasara mwaka Jana TIB ila Sasa sio zote ziko soko la hisa.
 
Mwaka huu nimejipanga kununua NMB na CRDB, Huo ni uwekezaji wa uhakika, kuna hizo bank zina potential kubwa sana na growth yake iko consistency
 
Mwaka huu nimejipanga kununua NMB na CRDB, Huo ni uwekezaji wa uhakika, kuna hizo bank zina potential kubwa sana na growth yake iko consistency
You can enjoy hisa ila mikopo yao imekaa ki kabaila sana kwa watu wa hal ya chin
 
Back
Top Bottom