"KABURI LA AJABU"
Kuna kaburi moja linavuma sana...
Halionekani kwa macho, halina jiwe wala msalaba.
Halipo makaburini, bali linatembea kati yetu.
Ni kaburi linalobeba ndoto zilizokufa, vipaji vilivyonyamazishwa,
mapenzi yaliyovunjika, na watu waliokata tamaa wakiwa hai.
Hili ndilo kaburi...