haya

Hidaj (Persian: هيدج; also Haiyeh (Persian: هَيا), also Romanized as Hayā and Khiya) is a city in the Central District of Abhar County, Zanjan Province, Iran. At the 2006 census, its population was 11,798, in 3,011 families.

View More On Wikipedia.org
  1. Setfree

    JamiiForums Tanzania Kama unafanya mambo haya, hata ukifunga na kuomba siku 40, unapoteza muda wako tu, Mungu hawezi kukupa unayotaka

    Watu wengi wanapopatwa na shida, magonjwa na majanga, huamua kufunga na kuomba kwa muda mrefu, wakitarajia kuwa Mungu atawatatulia shida zao. Jambo wasilolijua wengi ni kwamba ili Mungu atupatie haja zetu tunapomuomba, ni lazima tukidhi vigezo na masharti aliyoyaweka. Kama unafanya mambo...
  2. The Burning Spear

    JamiiForums Tanzania Haya hapa Maamdalizi ya Mkutano wa CHAUMMA Mkoani Mara

    GT Watu wa Mkoa wa Mara na viunga vyake Mjiandae kwa ubwabwa, sato na sangara.
  3. Setfree

    JamiiForums Tanzania Mambo haya mmeyasababisha wenyewe, acheni kumnung'unikia Mungu

    Manung'uniko yamezidi. Lawama zimejaa. Kelele zimeongezeka. Eti kwanini Mungu anatuacha tunateseka? Eti kwanini anatuacha tunaumia, tunaugua, tunakufa..? Ulisoma kitabu gani wewe kwamba Mungu aliumba bunduki, mabomu na virungu? Wanadamu wenyewe ndio wanaotengeneza silaha hizo kisha wanazitumia...
  4. R

    JamiiForums Tanzania Haya yanayotendwa na watawala wa Kiafrika ni wazi bado Africans tuko kwenye bottom/middle of evolutionary tree of our brains

    Sijui tuko hatua gani kwenye diagram hii FlipFact of the Day: To this day, the topic of human evolution remains hotly debated. Those who support the idea of natural selection typically find themselves in opposition to those who believe that humanity was purposely, intelligently designed by...
  5. mwenye shamba

    JamiiForums Tanzania Wadau haya ni madini gani?

    Wajuzi wa madini,napenda kujua haya ni madini gani?
  6. I

    JamiiForums Tanzania Mnyonge mnyongeeni, haki yake mpeni- kwa mafanikio haya, Rais Samia umetutendea haki wakulima

    Katika zama ambapo kilimo kilionekana kama kazi ya kizamani isiyo na tija, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, amekuja na mtazamo mpya, ambao umegeuza kilimo kuwa fursa muhimu ya kibiashara. Sauti za wakulima ambazo kwa muda mrefu zilisikika kama kilio kisicho...
  7. msuyaeric

    JamiiForums Tanzania Mnyonge mnyongeni - Kwa mafanikio haya, Rais Samia umetutendea haki wakulima

    Na, Kalamu ya Jenerali, Mbalali Katika zama ambapo kilimo kilionekana kama kazi ya kizamani isiyo na tija, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, amekuja na mtazamo mpya, ambao umegeuza kilimo kuwa fursa muhimu ya kibiashara. Sauti za wakulima ambazo kwa muda...
  8. Bunchari

    JamiiForums Tanzania Kwa haya yanayoendelea kuna umuhimu wa kuwepo Baraza la Dini mbalimbali Tanzania (Inter-Religious Council of Tanzania)?

    Habari wakuu Hili baraza liliundwa baada ya mashauriano kati ya taasisi za kidini kama BAKWATA, TEC, CCT, CPCT, pamoja na wawakilishi wa dini ya Hindu, Baha’i, na Budha. Malengo ya IRCPT ni pamoja na - Kuwezesha viongozi wa dini kushiriki katika utatuzi wa migogoro na kuzuia migogoro kabla...
  9. Mwachiluwi

    JamiiForums Tanzania Embu tuchambue Siasa kidogo kutokana na haya matukio

    Sipo upande wowote ila nimejaribu kuwaza hivi tu Nianze kwa lissu Huyu kweli mwanzo alikuwa na ushawishi mkubwa sana kwa upande wangu na mtazamo wangu ila kwa sasa naona hana ushawishi anatembea na upepo wa kupigwa lisasi kama ni kigezo cha yeye kuwa kiongozi au kupata sapoti Kwanini Lissu...
  10. DR HAYA LAND

    JamiiForums Tanzania Kama ningekuwa Rais haya ndo mambo ambayo ningefanya kwa watanzania

    If I could be a president. Ninge-ruhusu wagombea binafsi . Hapa Tanzania kuna watu wengi wenye akili Sana hawataki kujiingiza katika siasa kwakuwa siasa zetu zimejaa uongo mwingi na fitina majungu na michezo michafu. Kutokuwepo kwa wagombea binafsi ni hasara kwa Taifa . Tunaishia kupata...
  11. The Burning Spear

    JamiiForums Tanzania Kauli Tata za Samia Zilizowaacha watu MIdomo wazi huku hawaamini kama Mkuu wa Nchi anaweza kutamka Maneno haya.

    GT Kiufupi sana samia hakujiandaa kuwa raisi lakini pia hata wasaidizi wake wameshindwa kumsaidia kuwa Raisi.mzuri, sasa wanachofanya .ni Kulazimisha kila Kitu kwa mabavu Baadhi ya kauli hapa chini ni Ushahidi tosha kwamba Mkuu wetu wa nchi hana karama hiyo ya uongozi Unaweza ukaongezea...
  12. Fbn

    JamiiForums Tanzania Wanafungaje NIDA yako eti usipojiandikisha? Tokea lini haya mambo yakaingiliana? Mwenye taarifa zaidi atujuze!

    Mwe taarifa tunaomba.
  13. G

    JamiiForums Tanzania Anayetafta haya Madini (Mawe) aje inbox tufanye biashara. Yapo ya Kila Rangi (Dodoma Mowapwa - Mtera)

    Habari Wana jukwaa. Nina haya Mawe mengi sana kwenye Shamba langu. Yapo Rangi nyeupe kabisa, Meusi mfano Kama chuma, yapo ya Blue, na Rangi zingine. Pia eneo Lina Mawe ya chokaa kwa ambaye anahitaji kutengeneza mgodi wa chokaa. Ukichimba kidogo Kuna traces za Copper ambayo Iko Kama dhahabu...
  14. Lord Denning

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Mbunge wa Covid 19 Salome Makamba aibukia mkutano wa CCM

    Mbunge wa Viti Maalum, Salome Makamba ameonekana leo katika Mkutano Mkuu wa CCM jijini Dodoma akiwa amevalia sare za chama hicho. Makamba ni miongoni mwa wabunge 19 waliofungua kesi mahakamani kupinga kuvuliwa uanachama wa CHADEMA.
  15. mbozimbozi kumwitu

    JamiiForums Tanzania Jamani haya ndio maswali kutoka mtaala mpya?.

    Kwa elimu yetu ya kibongo na shule zetu za st kayumba ambazo mara nyingi ukute shule Haina mabechi ya kutosha,mara madarasa hayatoshi,mara wazazi wachangie Hera za mitihani na kuanda report sijui km mtoto wa darasa la kwanza anaweza kujibu swali Hilo hapo.
  16. R

    JamiiForums Tanzania Watawala wetu liokoe taifa na maangamizi, watu wanachuki na haya yanayoendelea, wanaogopa kusema

    Ukweli ni huu: 1. Watu vifua vimejaa chuki. Mnadanganywa na wanaotafuta matumbo yao kushiba, lakini wananchi walio wengi by over 99% hawako/hawalidhishwi na yanayoendelea! mnayoyafanya nyinyi watawala. 2. Na Machawa wanajua fika kuwa huku mitaani kumejaa chuki dhidi yenu. Bado mnaweza kufanya...
  17. U

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mwigulu , Yanga tutakupa Urais 2030, tafadhali Tufungie haya Makolo Leo, Piga Hao watoto wa TFF/TPBL

    Kwakuwa Yanga tunaipenda Tanzania, NA tunaipenda Timu yetu Singida Black stars, basi kwakuwa sisi yanga population yetu ni kubwa kufikia asilimia 75 ya population ya nchi, na ukizingatia Sisi yanga ndo Wananchi wenyewe, basi sisi tuna ushawishi mkubwa, japo tunaonewa na TFF na Bodi ya Ligi ambao...
  18. Meshe

    JamiiForums Tanzania Tunawazidi KQ kwa haya

    Msaada: NI KIPI HASWA AMBACHO TANZANIA IMEIZIDI KENYA?🤔 1. Kwenye taarifa ya innovation duniani (WIPO) Tanzania ipo nafasi ya 120, wakati Kenya ipo nafasi ya 96. 2. Kwenye Human Development Index, Tanzania ipo nafasi ya 165, Kenya wapo nafasi ya 143. 3. Kwenye taarifa ya Maendeleo ya Vijana...
  19. Hismastersvoice

    JamiiForums Tanzania Uchaguzi ujao hauna maana kwa haya ninayoyaona mitaani

    Huku mitaani kuna viongozi wa CCM wanatembea na mafungu ya vitambulisho vipya vya wapiga kura, vitambulisho hivi ni vinavyotengenezwa kinyume na utaratibu na siyo kutengenezewa, hapa mamlaka husika na vitambulisho zinahusika.
  20. Now and then

    JamiiForums Tanzania Yote haya aliyaleta Bashiru Ally Kakurwa

    Mambo ya kupita bila kupingwa . Kununua wapinzani . Kuvuruga uchaguzi . Ni Kazi kubwa ya Bashiru Ally Kakurwa.
Back
Top Bottom