Msaada: NI KIPI HASWA AMBACHO TANZANIA IMEIZIDI KENYA?🤔
1. Kwenye taarifa ya innovation duniani (WIPO) Tanzania ipo nafasi ya 120, wakati Kenya ipo nafasi ya 96.
2. Kwenye Human Development Index, Tanzania ipo nafasi ya 165, Kenya wapo nafasi ya 143.
3. Kwenye taarifa ya Maendeleo ya Vijana...