Oligocentria semirufescens, the red-washed prominent moth or rusty prominent, is a moth of the family Notodontidae. The species was first described by Francis Walker in 1865. It is found in North America from Nova Scotia west to Vancouver Island, south to Florida, Colorado and central California.
Western populations of O. semirufescens are paler and greyer than those from eastern Canada, and superficially resemble the southern Oligocentria perangulata.
The wingspan is 30–45 mm. Adults are on wing from May to September, but from June through early August in Alberta.
The larvae feed on various trees and shrubs, including apple, beech, birch, poplar, oak, maple, rose and willow.
Shule ya msingi ikifutiwa matokeo au ikishikiliwa (withheld) matokeo kwa kosa la uongozi wa shule kufanya udanganyifu nini kinafuata ili watoto waweze kuchaguliwa kuendelea elimu ya upili( secondary)?
~ Watarudia mitihani?
~ Watapewa muda gani kujiandaa na mitihani?
~ Kuchaguliwa shule za...
Siku Moja nilipokuwa nimetega sikio nikipata habari kutoka idhaa ya taifa nilivutiwa sana na Moja ya marudio ya usemi wa Baba wa taifa hayati Mwl.Julius Kambarage Nyerere ninanukuu, "Kama unadhani elimu ni gharama, basi jaribu ujinga".
Miaka mingi baada ya uneni huu lakini bado hakuna hatua za...
Nani alaumiwe kwa yanayoendelea msimbazi?Tafadhali piga kura yako hapa
A. UONGOZI
B. MWEKEZAJI
C. WACHEZAJI
D. BENCHI LA UFUNDI
Tafadhali piga kura yako hapa
Kwa mara nyingine tena Marekani imetuma wajumbe wa Baraza la Congress kwa ndege ya kijeshi hadi Taiwan tarehe 14 Agosti 2022.
Kwa kitendo hiki,Marekani inafanya uchokozi wa wazi kwa China. Ujumbe huu mwingine wa Bunge la Congress ulikwenda Taiwan kwa kutumia ndege ya kijeshi, moja kwa...
Mahakama Kuu ya Dar es Salaam, Masijala Kuu inatarajia kutoa uamuzi wa maombi ya Mbunge wa Viti Maalum kupitia CHADEMA, Halima Mdee na wenzake 18 mnamo Julai 6, 2022.
Wabunge hao wameomba kibali cha Mahakama ili kuwasilisha mapitio ya kimahakama wakipinga kuvuliwa uanachama wa chama hicho...
Na Masudi Rugombana June 27, 2022. Goba, Dar es salaam.
Tarehe 21 February 2022 Rais Vladmir Putin wa Urusi alitangaza kutambua uhuru wa eneo la Donbass, Jimbo la Mashariki ya Ukraine linaloundwa na mikoa miwili ya Luhansky na Donetsky, mikoa inayokaliwa na idadi kubwa ya Raia wenye asili ya...
CHANZO BBC
Vita vya Ukraine: Mzozo wa Ukraine unaweza kuisha kwa njia hizi tano
3 Juni 2022
Vladimir Putin nchini Ukraine sio wa kipekee. Hofu za mapema za ushindi wa haraka zilifuatiwa na kurudi nyuma kwa Urusi na upinzani wa Waukraine, hilo sasa limekabiliwa na uvamizi wa Urusi uliolenga...
Ninajiuliza huyu mbunge atapigiwa kura na nani huko Ngorongoro baada ta wapiga kura wake kuhamishiwa Handeni?
Sijasikia familia ya huyo Mbunge imehamishiwa Handeni kutoka Ngorongoro.
Pili baada ya Wamaasai kuhamishwa Ngorongoro hiyo wilaya itafutwa kiutawala au nini hatima yake?
Hello y’all..
NB: Naomba moderator mada hii msiihamishie jukwaa la dini maana huko itakosa wachangiaji na lengo langu la kutaka kujuzwa jambo hili halitatimia and that will leave me frustrated and bums me out, Natuamaini mtatii takwa langu hili. Ahsanteni.
Binafsi kiimani ni muumini wa kanisa...
Nimewaza sana hivi sisi watanzania ni wajinga kiasi hiki ,Tunakatwa kodi na Tozo ,tunaishi maisha magumu ili kulisha Wanasiasa ?
Ni takribani miaka 2 sasa tangu wabunge wa CHADEMA wanao daiwa kuingia bungeni kinyume na utaaratibu kuwepo bungeni .
Pesa zetu zinapigwa CHADEMA wamechukua zaidi ya...
Habari zenu wana ndoa na wenye ndoto za ndoa,
Yawezekana umewahi kusikia kauli maarufu sana inasema;
"Kosea yote usikosee ndoa"
Katika thread hii nitakupa maana halisi na siri iliyojificha nyuma ya kauli hiyo hivyo ukiweza kunitajia tarehe yako na ya mwenza wako na herufi zenu za...
Bodi ya Magavana ya Chuo cha Sanaa na Sayansi ya Picha Motion imesogeza tarehe iliyopangwa ili kuamua kuhusu uwezekano wa vikwazo dhidi ya Will Smith kwa kumpiga kofi Chris Rock kwenye sherehe za tuzo za Oscar mwaka huu.
"Ninaitisha mkutano wa bodi kwa Ijumaa asubuhi, Aprili 8, saa 9:00 asubuhi...
Moja ya mambo ambayo binadamu hukaa na kufikiri ikiwemo mimi ni juu ya swala la hatima ya maisha.
Ushawahi fikiri kuhusu imani ambayo unaamini kuwa Mungu Yupo na anaweza ghafla ukawaza tena kwanini Shetani aitwe Mungu wa ulimwengu huu je nikiwa mtakatifu alafu nikifa hakuna hata imani moja...
Habarini wakuu,
Tangu mjadala wa wapinzani wengine kudai tume huru ya uchaguzi na wengine katiba mpya kuingia katika taswira mpya baadhi yetu tumeingiwa na mashaka. Je, kwa nini wasimamie kitu kimoja? Je, wanaofanya hivyo ni kwa maslahi ya nchi au wananchi?
Nimejipa muda wa kusikiliza pande...
NUKUU ZA ASKOFU MWINGIRA:
1. "Nimenusurika kuuawa mara tatu na watu wa Serikali."
2. "Mali zangu zenye thamani ya 10 bilioni yakiwemo Matrekta yaliteketezwa Shambani kwangu."
3. "Dereva wangu alihusishwa katika mauaji na nilipogundua nilimnyang'anya simu."
4. "Dada aliyetoa taarifa za...
Maisha ya ugomvi wakati mwingine ni ya kupuuza kabisa.
Mwamba hapo juu kwa mfano sielewi hatima ya maisha yake hapo baadae ilikuwaje!
Halafu huyo mgomvi wake kama vile alielekezwa kabisa mchezo ukimaliza hapa ugomvi umeshinda.
Pole yake.
JINSI MOTO NA MAJI VILIVYOAMUA HATMA YA WATUHUMIWA NCHINI UINGEREZA KATIKA KARNE YA 17
Jinsi wakati unavyozidi kusonga ndivyo mambo mengi yanavyobadilika , maendeleo ya sayansi na teknolojia hali tuliyonayo kwa sasa si kama ilivyokuwa hapo zamani.
Sekta nyingi zinabadilika na kuboresha huduma...
Neno Machinga linasimama hapa kwa niaba ya kada yote ya chini, yaani wavuja jasho.
Humo kuna Boda boda, wapiga debe, mama lishe, makuli, vibarua, nk, wakiwamo pia machinga wenyewe.
Machinga wanapotoa Somo, Makamanda tunakwama Wapi?
Agenda #1: (Si maneno yangu)...
Sifa na Utukufu ni Mali ya Mungu wetu, Naliinua na kulitukuza Jina lako sasa na hata milele.
Moja kwa mbili kwenye mada, Wadau wa elimu, afya na vyuo vya utabibu na Nacte, ninawauliza je, ni Nini hatima ya vijana wa Utabibu mwaka wa pili (Nta level 5) kwa mwaka 2021? Maana Nta 4 na 6 wote...
Huwa nakaa chini nafikiria sana juu ya Hatima yaani mwisho wa kumkumbuka au kumbukumbu ya Nyerere.
Leo inatimia miaka 22 bila Mwalimu tangu alipo tutoka tarehe na mwezi kama wa leo mnamo Mwaka 1999.
Maswali yangu juu ya Hatima hii leo imetimia miaka 22 pasipo kuwa na Nyerere.
Je, Mwaka gani...