Dah huyu jamaa anakula almost kila kiumbe kinachopita mbele yake, iwe chatu, paka, panya, kenge nk
Japo asilimia kubwa video nyingi anapost anakula kenge na panya.
Anakuja kwa kasi sana kwa sasa naona ameshaanza kupata wafuasi kadhaa, ule uoga na kinyaa cha watu kula panya umeanza kuondoka...