Double standards kwenye kupigania harakati za Haki

Double standards kwenye kupigania harakati za Haki

Robert Heriel Mtibeli

JF-Expert Member
Joined
Mar 24, 2018
Posts
38,845
Reaction score
90,304
Hamjambo!

Hii unaizungumziaje?

Mtu anadai ni mwanaharakati wa haki za binadamu.

Huku anapigana na dhulma za CCM. Alafu muda huohuo anawatetea Wamarekani wanapoionea Iran.

Au yupo Upande wa Israel inavyowafanyia uhuni Palestina.

Au mtu yupo Upande wa Ukraine anayeonewa na Urusi. Kumaanisha anamponda Urusi.

Lakini yupo Upande wa Israel anayefanya jambo lilelile analofanya Urusi.

Hii double standard mnaizungumziaje?

Je ni ushabiki?
 
Content yako igeuze kisisiem ndio afanye double standards, tunaiwekaje?
 
Hamjambo!

Hii unaizungumziaje?

Mtu anadai ni mwanaharakati wa haki za binadamu.

Huku anapigana na dhulma za CCM. Alafu muda huohuo anawatetea Wamarekani wanapoionea Iran.

Au yupo Upande wa Israel inavyowafanyia uhuni Palestina.

Au mtu yupo Upande wa Ukraine anayeonewa na Urusi. Kumaanisha anamponda Urusi.

Lakini yupo Upande wa Israel anayefanya jambo lilelile analofanya Urusi.

Hii double standard mnaizungumziaje?

Je ni ushabiki?
Humu JF wengi wetu ili mradi tuna wifi za bure makazini ni vururuvururu! Uchambuzi utafanya wewe! Ahahahahaha!!

Kwani wewe hujaona humu mtu anakwambia hautambui Uchaguzi Mkuu, lakini anataka Pesa za ruzuku zinazotokana na uchaguzi huohuo! Vururuvururu tu! Ahahahahaha!!
 
Hamjambo!

Hii unaizungumziaje?

Mtu anadai ni mwanaharakati wa haki za binadamu.

Huku anapigana na dhulma za CCM. Alafu muda huohuo anawatetea Wamarekani wanapoionea Iran.

Au yupo Upande wa Israel inavyowafanyia uhuni Palestina.

Au mtu yupo Upande wa Ukraine anayeonewa na Urusi. Kumaanisha anamponda Urusi.

Lakini yupo Upande wa Israel anayefanya jambo lilelile analofanya Urusi.

Hii double standard mnaizungumziaje?

Je ni ushabiki?
UNAFIKI upo.

Jambo la MSINGI ni AGENDA.

Kukutana pamoja wenye AGENDA MOJA, haina maana mtakubaliana kwa kila.kitu.

Kuna mengi yanaathiri tofauti za KIMTAZAMO.


Kuna watu wanaangalia DINI, KABILA, UJINGA tu, MATERIALISTIC, wao hawajapewa chochote, wanapewa Elfu 10.

Wakati wa Magufuli, Polepole aliona sawa Magufuli.kuuwa watu ovyo ovyo, leo KAUAWA yeye.


RC wanasimama na HAKI na AGENDA za watu na UTU, wakati Dini nyingine zina watu wanaabudu PESA na wanasiasa wenye Madaraka.

Ukiwa na AGENDA ita-kushape zaidi usimame na nani na kwa wakati gani??

Ndio kinasaidia kidogo, umpige chini Mbowe uende na Heche a Lissu kwasababu Mbowe kasaliti agenda ya umma.

Otherwise, utajikuta msukule wa mtu.
 
Humu JF wengi wetu ili mradi tuna wifi za bure makazini ni vururuvururu! Uchambuzi utafanya wewe! Ahahahahaha!!

Kwani wewe hujaona humu mtu anakwambia hautambui Uchaguzi Mkuu, lakini anataka Pesa za ruzuku zinazotokana na uchaguzi huohuo! Vururuvururu tu! Ahahahahaha!!

Hatari sana
 
UNAFIKI upo.

Jambo la MSINGI ni AGENDA.

Kukutana pamoja wenye AGENDA MOJA, haina maana mtakubaliana kwa kila.kitu.

Kuna mengi yanaathiri tofauti za KIMTAZAMO.


Kuna watu wanaangalia DINI, KABILA, UJINGA tu, MATERIALISTIC, wao hawajapewa chochote, wanapewa Elfu 10.

Wakati wa Magufuli, Polepole aliona sawa Magufuli.kuuwa watu ovyo ovyo, leo KAUAWA yeye.


RC wanasimama na HAKI na AGENDA za watu na UTU, wakati Dini nyingine zina watu wanaabudu PESA na wanasiasa wenye Madaraka.

Ukiwa na AGENDA ita-kushape zaidi usimame na nani na kwa wakati gani??

Ndio kinasaidia kidogo, umpige chini Mbowe uende na Heche a Lissu kwasababu Mbowe kasaliti agenda ya umma.

Otherwise, utajikuta msukule wa mtu.

Umeelezea vizuri sana. Hasa eneo la Agenda. Na kwamba sio lazima mtu mkubaliane maeneo yote
 
Hamjambo!

Hii unaizungumziaje?

Mtu anadai ni mwanaharakati wa haki za binadamu.

Huku anapigana na dhulma za CCM. Alafu muda huohuo anawatetea Wamarekani wanapoionea Iran.

Au yupo Upande wa Israel inavyowafanyia uhuni Palestina.

Au mtu yupo Upande wa Ukraine anayeonewa na Urusi. Kumaanisha anamponda Urusi.

Lakini yupo Upande wa Israel anayefanya jambo lilelile analofanya Urusi.

Hii double standard mnaizungumziaje?

Je ni ushabiki?
Binadamu wengi huwa na double standards kwa sababu hawaongozowi kwa logic bali hisia zaidi, ndio maana hata Wasabato wanasema kufanya kazi Jumamosi ni dhambi lakini wanapanda daladala au kuendesha magari kwenda kanisani Jumamosi na pia wananunua vyakula kwenye migahawa ya watu wanaofanya kazi Jumamosi
 
Back
Top Bottom