Robert Heriel Mtibeli
JF-Expert Member
- Mar 24, 2018
- 38,845
- 90,304
Hamjambo!
Hii unaizungumziaje?
Mtu anadai ni mwanaharakati wa haki za binadamu.
Huku anapigana na dhulma za CCM. Alafu muda huohuo anawatetea Wamarekani wanapoionea Iran.
Au yupo Upande wa Israel inavyowafanyia uhuni Palestina.
Au mtu yupo Upande wa Ukraine anayeonewa na Urusi. Kumaanisha anamponda Urusi.
Lakini yupo Upande wa Israel anayefanya jambo lilelile analofanya Urusi.
Hii double standard mnaizungumziaje?
Je ni ushabiki?
Hii unaizungumziaje?
Mtu anadai ni mwanaharakati wa haki za binadamu.
Huku anapigana na dhulma za CCM. Alafu muda huohuo anawatetea Wamarekani wanapoionea Iran.
Au yupo Upande wa Israel inavyowafanyia uhuni Palestina.
Au mtu yupo Upande wa Ukraine anayeonewa na Urusi. Kumaanisha anamponda Urusi.
Lakini yupo Upande wa Israel anayefanya jambo lilelile analofanya Urusi.
Hii double standard mnaizungumziaje?
Je ni ushabiki?