Mithali 29:2*
“Watu wa haki wanapokuwa na mamlaka, watu hufurahi; Bali waovu wakiwatawala, watu huugua.”
Uhafanuzi
Neno hili linaonyesha kwamba uongozi wa haki huleta furaha na amani kwa watu, lakini uongozi wa waovu huleta mateso na huzuni.
Tuombe
Ee Mungu tunakushukuru kwa neema hii ya...