Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais โ TAMISEMI, ๐๐ก๐. ๐๐จ๐ก๐๐ฆ๐๐ ๐๐๐ก๐๐ง๐ ๐๐ซ๐ฐ๐, akiwa katika ziara yake Wilayani Bagamoyo, amesema kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, ๐๐ก๐. ๐๐๐ฆ๐ข๐ ๐๐ฎ๐ฅ๐ฎ๐ก๐ฎ ๐๐๐ฌ๐ฌ๐๐ง, ameidhinisha kupandishwa hadhi kwa Halmashauri ya Wilaya ya Bagamoyo na kuwa Halmashauri ya Mji wa...