gym

  1. NHIF na Mikakati ya Uzuiaji wa Magonjwa Yasiyoambukiza Kupitia Mazoezi ya Mwili kwa kuingia mikataba na baadhi ya GYM

    Kwanza Nikiri kuwa mimi ni mnufaika wa Mfuko wa Bima ya Afya NHIF, Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF) umekuwa nguzo muhimu ya ustawi wa afya nchini, lakini kwa sasa unakabiliwa na changamoto kubwa ya kuongezeka kwa gharama za matibabu ya magonjwa yasiyoambukiza (NCDs) kama shinikizo la damu...
  2. Nimemkataza mke wangu kwenda kwenye Marathon

    Habari za masiku wana Jamiiforums Wanaume tuwe wakali kwa wake zetu yani hizi marathon kila mwezi kuombana ruhusu kisa kwenda Dodoma, Arusha au mwanza kukimbiakimbia bila sababu. Mambo yanayofanyika uko ni uchafu baada ya marathon kuna kuwa na event sijui party wake za watu wanaliwa mpaka...
  3. Wanawake wanaoenda GYM

    Wakuuu habari za weekend. Ndugu zangu kumekuwa na mawazo potofu wanawake wote WANAOENDA gym wanaliwa. Wakuuu sikatai wanaoliwa wapo hapo ni asilimia 0.01 na wanaliwa na trainer kwa utafiti wangu .Mimi ni mtu wa mazoezi naelewa. Wakuuu nitoe angalizo msicheze na Dem anaenda gym anaweza...
  4. Mwanamitindo Chelsea Robinson aliamua kufanyiwa upasuaji wa kuongeza makalioLakini mambo hayakwenda kama alivyotarajia

    Mwanamitindo na influencer mmoja maarufu Chelsea Robinson aliamua kufanyiwa upasuaji wa kuongeza makalio (bum implants). Lengo lake lilikuwa kupata umbo la kuvutia zaidi ambalo lingeendana na maisha yake ya mitandaoni, na kuvutia followers wengi. Lakini mambo hayakwenda kama alivyotarajia…...
  5. P

    Natafuta gym nzuri temeke au tandika yenye vifaa vingi mchanganyiko wanaume na wanawake

    Mwenye anajua jamani anaweza nisaidia namba ya simu au kunielekeza
  6. GYM nzuri Msata au Chalinze inapatikana wapi?

    Habarini wanajamiiforums... Naomba kuuliza ni wapi kuna gym nzuri mitaa ya Msata au Chalinze
  7. INAUZWA Portable gym

    Weight set ya 50kg ndani yake kuna ; ● Plate zake ● Fimbo/Bar ● Dumbbells ● Box lake la kubebea/kuhifadhia. Bei 360k 0718909429 Arusha tz
  8. Kwanini mabaunsa wengi ndiyo wamekuwa mashoga?

    Ukipita Kinondoni, Sinza, Tabata na viwanja mbalimbali utagundua kwamba mashoga sasa ndiyo hao wavulana wanaoshinda gym wakibeba vyuma na kujenga miili. Hali hii sina uhakika, ila nadhani inachochewa na madawa wanayomeza vijana kwa ajili ya kututumua misuli. Huenda hizo food supplements zina...
  9. Kama una Mtaji Njoo ufungue Gym Mkata Wilaya ya Handeni

    Wasalam mabibi na mababu, Kama mnavvojua wilaya ya handeni - Mkata kwa sasa ni sehemu inayokuwa kwa kasi sana. Kuwepo kwa Ofisi za Halmashauri Mkata, Hospital kubwa ya wilaya, Lakini yote kwa yote ni mji uliokuwa na muingiliano na watu tofauti tofauti kama vile watumishi wa umma, wafanya...
  10. Aggrey TZ ndani ya gym -video

    Mwamba kaanza upya. Atakua sawa insha'Allah
  11. ME NI TRAINER NAITAJ MTU MTU WA KUWEKEZA KATKA GYM ME NIWE TREINER WAKE

    NAITWA GERALD NAPATKANA TABATA, NA NI TRAINER WA AEROBICS , YOGA NA WORKOUT KIUJUMLA NAJAMA UKIWA UNAITAJ ANZA IYO BIASHARA NA HUJUI PAKUANZIA ME NIPO TUTAFANYA BEGA KWA BEGA MBAKA ITAPOFANIKIWA NITAANZA KUTRAINER.+255788317776
  12. Jamiiforums GYM (mazoezi ) thread

    Wakuu mambo vipi....Binafsi sio mkufunzi(gym trainer) ila napenda sana mazoezi na ninayajua mazoezi kuliko hata hawa wanaojiita ma-trainer,nimeanza kupenda mzoezi ya gym nikiwa form 3 (2013) so unaweza kuona nina experience ya miaka 11. Mazoezi pia yanaambatana na aina ya vyakula tunavyokula...
  13. M

    INAUZWA Exercise bike / baiskeli ya mazoezi inauzwa laki 2. Wapenda gym na wenye wazee wa mazoez karibuni

    Habari. Nauza baiskeli ya mazoez. Baiskeli ni used sio brand new. Haina tatizo lolote Bei laki 2 tu. ( fixed price)
  14. Naona noma kwenda gym na kamwili kangu kembamba

    Habari Muda mrefu nimekuwa nikitamani kuanza mazoezi ya mwili gym, lakini mara zote huwa napatwa na hofu kuwa pale gym mimi pekee yangu ndio nitakuwa kimbaumbau Wale watu wa gym mliwezaje kuanza mkiwa na mili yenu membamba mimi naona noma wakuu.
  15. K

    Wanawake Wanaoenda Gym na Wako Single

    In most cases, hawa watu huwa wananyege sana. Kwenda gym kwa ajili yakujikinga kupata hiyo kitu ni kama kuongeza petrol kwenye moto. Hii sijui kitaalamu imekaaje....
  16. M

    Wake zenu wakienda gym kuweni makini, angalieni huyu

    Gym trainers siyo poa yaani. Soma hapa tena Thread 'JAMANI WAKE ZENU WASIENDE KAJA TANZANIA. 😂😂' JAMANI WAKE ZENU WASIENDE KAJA TANZANIA. 😂😂
  17. VIDEO: Watu wa Gym haya ni mazoezi gani na yanasaidia nini?

    Kama gym kwenywewe mazoezi ndo haya bakini na gym Zenu na mazoezi yenu.
  18. Anaejua chimbo la gym tiles zile za kupanga anipe mchoro

    Guys nimewekeza katika gym nataka kuifanya ya kisasa, natafuta sehemu wanauza bidhaa tajwa hapo juu.
  19. Wapi kuna Gym maeneo ya Mbezi Mwisho, Malamba mpaka Kinyerezi

    Wandugu kwema, Naomba kujua kwa maeneo tajwa hapo juu..ni wapi naweza kupata Gym. Nimeulizia sana na kutafuta kwenye mitandao ya kijamii sijaona. Mwenye kujua anisaidie location na ikiwezekana namba za simu.
  20. Siku ya Kwanza kwenda Gym. Gym yataka Moyo!

    Anaandika, Robert Heriel Mtibeli " Yep! Yap! Yep! Yap! Swapswapswap! Yep!yep! Yap! Yep! Yep! Yep!yep! Kiuno! Up! Dancedancedance! Magoti Tap! Jumpjumpjump! Bend down! Downdowndown!" Mwalimu anarudiarudia kuimba kipande hicho akisaidiwa na mdundo WA muziki mkubwa, kifuani kwake kulichomekwa...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…