gwajima

Dorothy Onesphoro Gwajima also known Gwajima Dorothy is a Tanzanian CCM politician and a nominated cabinet member since 2020. She was appointed by President John Magufuli into the Magufuli cabinet and still presenlty serves as a Minister of Health, Community Development, Gender, Elders and Children under Suluhu Cabinet.

View More On Wikipedia.org
  1. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania Waumini wa kanisa la Askofu Gwajima wafanya maombi barabarani

    Waumini wa Kanisa la Ufufuo na Uzima la Askofu Josephat Gwajima, Ubungo Dar es Salaam wamelazimika kufanya maombi pembezoni mwa Barabara ya Ubungo-Kimara baada ya kanisa hilo kufungwa. Kanisa hilo limefungwa huku askari polisi zaidi ya 20 wakiwa wamelizunguka kuimarisha ulinzi eneo hilo.
  2. The Palm Beach

    JamiiForums Tanzania Mwandishi wa Barua kutotambua uteuzi wa viongozi wa CHADEMA kwa jina la "msajili wa vyama vya siasa" ndiye aliyeandika ya kufuta kanisa la Gwajima.!

    Zilizothibitishwa rasmi kabisa ni kuwa; Mwandishi wa barua kwenda CHADEMA kusema kuwa haitambui uteuzi wa wajumbe wa kamati kuu na baadhi viongozi wa Sekretariate hususani Katibu Mkuu na manaibu katibu mkuu Tanganyika na Zanzibar kwa jina la "Msajili wa Vyama vya siasa" ndiye huyuhuyu...
  3. GoldDhahabu

    JamiiForums Tanzania Askofu Gwajima ni maarufu kuzidi Bunge?

    Nilikuwa nimesahau kuwa vikao vya bunge vinaendelea Dodoma! Muda mfupi uliopita niliingia YouTube nikakutana na "title" yenye maneno kama GWAJIMA KIKAANGONI BUNGENI. Nikifikiri kuwa suala la Gwajima limetua bungeni, niliifungua kwa ajili ya kujua kinachojiri. Kumbe ni uongo mtu! Nilikuta ni...
  4. JanguKamaJangu

    JamiiForums Tanzania Njia inayoingia kwenye Kanisa la Gwajima imefungwa; Polisi wanazuia kupita

    Baadhi ya waamini na Watu ambao wanaoelekea kwenye Kanisa la Askofu Gwajima au kwenye mwelekeo wa Kanisa hilo lilipo wanazuiwa na kuamriwa na askari kuondoka eneo hilo. Mpaka majira ya saa tano asubuhi yaleo Juni 3, 2025, askari wenye magari na silaha wamezunguka njia zinaoelekea kwenye Kanisa...
  5. K

    JamiiForums Tanzania SI KWELI Kilo 50 za dawa za kulevya zakamatwa Kanisani kwa Mchungaji Gwajima

    Jeshi la Polisi limekamata kilo 50 za dawa za kulevya ndani ya jengo linalomilikiwa na Kanisa la Ufufuo na Uzima, linaloongozwa na Askofu Josephat Gwajima, katika operesheni ya kushitukiza iliyoendeshwa mwishoni mwa wiki. Tukio hilo limeibua maswali mazito kuhusu uhalali na maadili ya baadhi ya...
  6. Common Folk

    JamiiForums Tanzania Sababu za kumfungia Gwajima hazifanani na zile za Kiboko ya Wachawi, mamlaka zijiandae mambo kuharibika zaidi

    Sababu kuu ya Gwajima kutendewa haya yote ni baada ya kuongelea mambo ya watu KUTEKWA, KUUAWA na KUPOTEA bila kujulikana wameenda wapi na wakati huohuo mamlaka kuendelea kuwa kimya. Msimamo na maoni ya Gwajima ndiyo msimamo wa viongozi wote wa dini waliowahi kuongelea mambo ya utekaji na kuuawa...
  7. Mshana Jr

    JamiiForums Tanzania Revised question: Kosa la Gwajima ni lipi?

    Mimi si muumini wa kanisa la ufufuo na uzima wala Gwajima sio role model wangu.. Lakini kitendo chake cha kukemea utekaji wazi wazi na kutaka hatua stahiki zichukuliwe kiliwagusa wengi Baada ya hapo alipata mashambulizi ya kutosha hasa ndani ya chama chake.. Naye hakukaa kimya bali alirejea na...
  8. Poppy Hatonn

    JamiiForums Tanzania Ni jambo gani litatokea asubuhi Kanisani kwa Askofu Gwajima ?

    Mi nadhani Askofu Gwajima atakubali anavyoambiwa. Atafunga Kanisa lake halafu atasubiri kukata rufaa. Au atakamatwa na Polisi na wafuasi wake watapiga kelele,"Mnamuonea. Mnamuonea Askofu" Au wengine labda wana mawazo tofauti. Watu wakizidi pale unadhani itabidi Chalamila aende kuongea na Askofu?
  9. Crocodiletooth

    JamiiForums Tanzania Gwajima alipiga hesabu mbovu!

    Kama ilivyo kawaida maisha ni fedha, kwa lissu, mbowe, Lema na wote mnaowaona wanapiga kelele kwa kivuli cha Demokrasia, Bwana Gwajima alishayaona ya mbeleni ya kwamba kwa kuwa hakuna alilowafanyia Wana Kawe lolote lile la msingi, kurudi kwake bungeni itamuwia vigumu sana, ukizingatia wakati...
  10. chiembe

    JamiiForums Tanzania Kama wafuasi wa Gwajima wataendelea kukaa hapo kanisani mpaka asubuhi, basi hakuna haja ya kuendelea kuwa na kamanda wa FFU Dar

    Duniani kote, hata Marekani, unatii kwanza amri ya mamlaka, kama huridhiki nayo kuna hatua za kuchukua. Dar Ina kamanda wa FFU, kama anashundwa kudhibiti kagenge ka watu 200,na haombi msaada mikoa jirani. Aachie kiti hicho apewe anayestahili. Ni hawahawa walienda kyimba central police enzi ya...
  11. FRANCIS DA DON

    JamiiForums Tanzania Wasiwasi: Sakata la Gwajima lisipotatuliwa ifikapo alfajir, sidhani kama kuna barabara itapitika, tahadhari ichukuliwe mapema

    Binafsi naona kuna kila dalili ya waumini wa Gwajima kuendeleza mapambano kwa kufunga barabara zaidi, hasa zile za muhimu za rushhour ya kuelekea mjini.., panaweza pakatokea unprecedented chaos. Serikali ijishushe na kuachana na huyo jamaa, inawezekana ana majini, maana hii si kawaida, serikali...
  12. B

    JamiiForums Tanzania Gwajima kazima kiki ya Tundu Lissu

    Wa Tanzania bana watu wa ajabu kweli. Drama ya Gwajima imewafanya wasahau kuhusu Tundu Lissu. Hongera sana GwajiBoy kwa kazi yako nzuri.. Pole sana Lissu. Hawa ndio Wa Tanzania unao wapigania
  13. Poppy Hatonn

    JamiiForums Tanzania Zipo standing orders, siyo ugomvi na Gwajima

    Zipo Sheria zao zinasema vyama hivi vya kiraia visishiriki katika siasa. Nilikuwepo kule siku moja nimekwenda kuanzisha Chama changu cha Buddha. Akatokea kiongozi mmoja,aliposikia nataka kufanya nini, akasema jihadhari,usijihusishe na mambo ya siasa. And this soft-speaking person alikuwa...
  14. Genius Man

    JamiiForums Tanzania Suala la barua kwa kanisa la Gwajima alafu mamlaka husika kuingia mitini bila kujibu ni kama mamlaka ya serikali Samia inapima upepo tusimame imara

    Suala la barua kwa kanisa la Gwajima kuhusu kufungiwa alafu mamlaka husika kuingia mitini bila kujibu ni kama mamlaka ya mama samia inapima upepo. Sasa sisi msimamo ni ule ule tunapinga vikali utekaji na mauwaji na hatukubali kanisa lifungiwe kwa kukemea mauwaji hayo, kitendo hiko cha kufungia...
  15. S

    JamiiForums Tanzania Jicho la tatu: Kwanini barua ya kufungiwa Kanisa la Gwajima itolewa siku ambayo Lissu ahafikishwa mahakamani?

    Tujiulieze ni kwanini barua inayodaiwa kuwa ni ya kulifunga kanisa la Gwajima itokewa siku ambayo Lissu anafikishwa mahakamani? Majibu: Hii ni dalili kesi ya Lissu haiwezi kudumu muda mrefu. Ni wazi watawala hawapendi mjadala kuhusu hii kesi na hivyo ni swala la muda tu kabla hii kesi haijafutwa.
  16. S

    JamiiForums Tanzania Naamini Kanisa la Gwajima litakuwa kweli limefungwa, illa Kanisa litakuwa bado halijapkea rasmi hiyo barua

    Kosa la Gwajima ni kukanusha hii habari na kusema eti serikali ni nzuri haiwezi fanya jambo kama hilo. Hapa kakosea sana. Binafsi, naona huu ndio udhaifu wa Gwajima wa kung"ata na kupuliza kuhusu kauli zake kwa serikali na watawala kwa ujumla. Gwajima alitakiwa kusema hata yeye hizo taarifa...
  17. THE BIG SHOW

    JamiiForums Tanzania Samaki hana ujanja ukimtoa ndani ya maji, hongera serikali kwa kumtupa samaki Gwajima nchi kavu,tuone sasa ngebe zake zitafanyikia wapi?

    Friends and Our Enemies, Kwanza nichukue nafasi hii kuipongeza serikali kupitia wizara ya mambo ya ndani kwa kuifunga hiyo huduma uchwara ya anaejiita Askofu. Ilikua ni utamaduni wake wa muda mrefu sana KUGEUZA viwanja vya kanisa lake kama sehemu ya kushambulia serikali na watu mbali mbali...
  18. Genius Man

    JamiiForums Tanzania Gwajima ni mwanasiasa mbunge na ni mchungaji hata kama angekuwa mtumishi wa Mungu pekee bado kukemea utekaji sio kosa wala siasa

    Gwajima ni mwanasiasa mbunge na ni mchungaji hata kama angekuwa mtumishi wa Mungu pekee bado kukemea utekaji sio kosa wala sio suala la kisiasa ni suala la kupinga ugaidi sasa uagidi na siasa wapi na wapi ? Lawama hizi za uminyaji mkubwa wa wananchi atabeba Samia hata kama kuna watu wanamjaza...
  19. U

    JamiiForums Tanzania Gwajima two mistakes kudharaiu mamlaka za Serikali na mamlaka za mbinguni, the bible is very clear,please taka radhi

    Wadau hamjamboni nyote? Gwajima it's not too late to ask for msamaha , .
  20. Nyani Ngabu

    JamiiForums Tanzania Ukweli ni upi: kanisa la Gwajima limefungiwa au halijafungiwa?

    The Citizen ni gazeti. Ni chombo cha habari kinachoaminika. Gazeti linasema kuwa kanisa hilo limefungiwa na Emmanuel Kihampa [should be Kidampa, honestly], ambaye ndo msajili sijui wa nini….Registrar of Civil Societies. So which is which? Kanisa limefungiwa [hata kama taratibu hazijafuatwa] au...
Back
Top Bottom