gwajima

Dorothy Onesphoro Gwajima also known Gwajima Dorothy is a Tanzanian CCM politician and a nominated cabinet member since 2020. She was appointed by President John Magufuli into the Magufuli cabinet and still presenlty serves as a Minister of Health, Community Development, Gender, Elders and Children under Suluhu Cabinet.

View More On Wikipedia.org
  1. K

    SI KWELI Kilo 50 za dawa za kulevya zakamatwa Kanisani kwa Mchungaji Gwajima

    Jeshi la Polisi limekamata kilo 50 za dawa za kulevya ndani ya jengo linalomilikiwa na Kanisa la Ufufuo na Uzima, linaloongozwa na Askofu Josephat Gwajima, katika operesheni ya kushitukiza iliyoendeshwa mwishoni mwa wiki. Tukio hilo limeibua maswali mazito kuhusu uhalali na maadili ya baadhi ya...
  2. Common Folk

    Sababu za kumfungia Gwajima hazifanani na zile za Kiboko ya Wachawi, mamlaka zijiandae mambo kuharibika zaidi

    Sababu kuu ya Gwajima kutendewa haya yote ni baada ya kuongelea mambo ya watu KUTEKWA, KUUAWA na KUPOTEA bila kujulikana wameenda wapi na wakati huohuo mamlaka kuendelea kuwa kimya. Msimamo na maoni ya Gwajima ndiyo msimamo wa viongozi wote wa dini waliowahi kuongelea mambo ya utekaji na kuuawa...
  3. Mshana Jr

    Revised question: Kosa la Gwajima ni lipi?

    Mimi si muumini wa kanisa la ufufuo na uzima wala Gwajima sio role model wangu.. Lakini kitendo chake cha kukemea utekaji wazi wazi na kutaka hatua stahiki zichukuliwe kiliwagusa wengi Baada ya hapo alipata mashambulizi ya kutosha hasa ndani ya chama chake.. Naye hakukaa kimya bali alirejea na...
  4. Poppy Hatonn

    Ni jambo gani litatokea asubuhi Kanisani kwa Askofu Gwajima ?

    Mi nadhani Askofu Gwajima atakubali anavyoambiwa. Atafunga Kanisa lake halafu atasubiri kukata rufaa. Au atakamatwa na Polisi na wafuasi wake watapiga kelele,"Mnamuonea. Mnamuonea Askofu" Au wengine labda wana mawazo tofauti. Watu wakizidi pale unadhani itabidi Chalamila aende kuongea na Askofu?
  5. Crocodiletooth

    Gwajima alipiga hesabu mbovu!

    Kama ilivyo kawaida maisha ni fedha, kwa lissu, mbowe, Lema na wote mnaowaona wanapiga kelele kwa kivuli cha Demokrasia, Bwana Gwajima alishayaona ya mbeleni ya kwamba kwa kuwa hakuna alilowafanyia Wana Kawe lolote lile la msingi, kurudi kwake bungeni itamuwia vigumu sana, ukizingatia wakati...
  6. chiembe

    Kama wafuasi wa Gwajima wataendelea kukaa hapo kanisani mpaka asubuhi, basi hakuna haja ya kuendelea kuwa na kamanda wa FFU Dar

    Duniani kote, hata Marekani, unatii kwanza amri ya mamlaka, kama huridhiki nayo kuna hatua za kuchukua. Dar Ina kamanda wa FFU, kama anashundwa kudhibiti kagenge ka watu 200,na haombi msaada mikoa jirani. Aachie kiti hicho apewe anayestahili. Ni hawahawa walienda kyimba central police enzi ya...
  7. FRANCIS DA DON

    Wasiwasi: Sakata la Gwajima lisipotatuliwa ifikapo alfajir, sidhani kama kuna barabara itapitika, tahadhari ichukuliwe mapema

    Binafsi naona kuna kila dalili ya waumini wa Gwajima kuendeleza mapambano kwa kufunga barabara zaidi, hasa zile za muhimu za rushhour ya kuelekea mjini.., panaweza pakatokea unprecedented chaos. Serikali ijishushe na kuachana na huyo jamaa, inawezekana ana majini, maana hii si kawaida, serikali...
  8. B

    Gwajima kazima kiki ya Tundu Lissu

    Wa Tanzania bana watu wa ajabu kweli. Drama ya Gwajima imewafanya wasahau kuhusu Tundu Lissu. Hongera sana GwajiBoy kwa kazi yako nzuri.. Pole sana Lissu. Hawa ndio Wa Tanzania unao wapigania
  9. Poppy Hatonn

    Zipo standing orders, siyo ugomvi na Gwajima

    Zipo Sheria zao zinasema vyama hivi vya kiraia visishiriki katika siasa. Nilikuwepo kule siku moja nimekwenda kuanzisha Chama changu cha Buddha. Akatokea kiongozi mmoja,aliposikia nataka kufanya nini, akasema jihadhari,usijihusishe na mambo ya siasa. And this soft-speaking person alikuwa...
  10. Genius Man

    Suala la barua kwa kanisa la Gwajima alafu mamlaka husika kuingia mitini bila kujibu ni kama mamlaka ya serikali Samia inapima upepo tusimame imara

    Suala la barua kwa kanisa la Gwajima kuhusu kufungiwa alafu mamlaka husika kuingia mitini bila kujibu ni kama mamlaka ya mama samia inapima upepo. Sasa sisi msimamo ni ule ule tunapinga vikali utekaji na mauwaji na hatukubali kanisa lifungiwe kwa kukemea mauwaji hayo, kitendo hiko cha kufungia...
  11. S

    Jicho la tatu: Kwanini barua ya kufungiwa Kanisa la Gwajima itolewa siku ambayo Lissu ahafikishwa mahakamani?

    Tujiulieze ni kwanini barua inayodaiwa kuwa ni ya kulifunga kanisa la Gwajima itokewa siku ambayo Lissu anafikishwa mahakamani? Majibu: Hii ni dalili kesi ya Lissu haiwezi kudumu muda mrefu. Ni wazi watawala hawapendi mjadala kuhusu hii kesi na hivyo ni swala la muda tu kabla hii kesi haijafutwa.
  12. S

    Naamini Kanisa la Gwajima litakuwa kweli limefungwa, illa Kanisa litakuwa bado halijapkea rasmi hiyo barua

    Kosa la Gwajima ni kukanusha hii habari na kusema eti serikali ni nzuri haiwezi fanya jambo kama hilo. Hapa kakosea sana. Binafsi, naona huu ndio udhaifu wa Gwajima wa kung"ata na kupuliza kuhusu kauli zake kwa serikali na watawala kwa ujumla. Gwajima alitakiwa kusema hata yeye hizo taarifa...
  13. THE BIG SHOW

    Samaki hana ujanja ukimtoa ndani ya maji, hongera serikali kwa kumtupa samaki Gwajima nchi kavu,tuone sasa ngebe zake zitafanyikia wapi?

    Friends and Our Enemies, Kwanza nichukue nafasi hii kuipongeza serikali kupitia wizara ya mambo ya ndani kwa kuifunga hiyo huduma uchwara ya anaejiita Askofu. Ilikua ni utamaduni wake wa muda mrefu sana KUGEUZA viwanja vya kanisa lake kama sehemu ya kushambulia serikali na watu mbali mbali...
  14. Genius Man

    Gwajima ni mwanasiasa mbunge na ni mchungaji hata kama angekuwa mtumishi wa Mungu pekee bado kukemea utekaji sio kosa wala siasa

    Gwajima ni mwanasiasa mbunge na ni mchungaji hata kama angekuwa mtumishi wa Mungu pekee bado kukemea utekaji sio kosa wala sio suala la kisiasa ni suala la kupinga ugaidi sasa uagidi na siasa wapi na wapi ? Lawama hizi za uminyaji mkubwa wa wananchi atabeba Samia hata kama kuna watu wanamjaza...
  15. U

    Gwajima two mistakes kudharaiu mamlaka za Serikali na mamlaka za mbinguni, the bible is very clear,please taka radhi

    Wadau hamjamboni nyote? Gwajima it's not too late to ask for msamaha , .
  16. Nyani Ngabu

    Ukweli ni upi: kanisa la Gwajima limefungiwa au halijafungiwa?

    The Citizen ni gazeti. Ni chombo cha habari kinachoaminika. Gazeti linasema kuwa kanisa hilo limefungiwa na Emmanuel Kihampa [should be Kidampa, honestly], ambaye ndo msajili sijui wa nini….Registrar of Civil Societies. So which is which? Kanisa limefungiwa [hata kama taratibu hazijafuatwa] au...
  17. Abraham Lincolnn

    Mwamposa anaposifia viongozi wa serikali hajaingiza siasa kanisani, Ila Gwajima anapozungumza ukweli anaingiza siasa kanisani

    Huku ndipo serikali ilipofikia. Magufuli pamoja na ukali wake wote, pamoja na mvutano mkubwa baina ya wateule wake na Gwajima, hakuwahi kuthubutu kumfungia Kanisa.Unajua kwanini? Mahala ambapo neno la Mungu linahubiriwa, mahala ambapo watu wanapata huduma ya kiroho ni mahala ambapo hata kama si...
  18. Mhaya

    Gwajima akaidi wito wa Serikali wa kufungia Kanisa, Aendesha Mahubiri kama kawaida watu waalikwa Youtube Wengine Kanisani Jioni Hii

    Gwajima ameshea link ya mahubiri yake yanayoendelea kufanyika leo jioni licha ya serikali kufungia kanisa lake. Mahubiri hayo yamerushwa LIVE kupitia link hapo chini Jioni hii baada ya Mamlaka Kufungia kanisa lake https://www.youtube.com/live/g10-9yfylls?si=zRlpPOJivq1pOcJg Gwajima ambaye leo...
  19. chiembe

    Ushauri: Akaunti zote za kanisa la Gwajima, na zile zake binafsi na za viongozi wote wa kanisa zigandishwe (frozen) ila kusubiri hatima

    Nashauri itolewe amri akaunti zote za kanisa, magari, vifaa vya kanisa, viwanja vyote vipigwe tanchi na viwekwe chini ya kabidhi wasii mkuu (Administrator General). Hii iende kwa akaunti za Bodi ya Wadhamini, wajumbe w Bodi hiyo, wachungaji, na viongozi wote wa kanisa hilo nchi nzima. Viongozi...
  20. 888I

    Kufungia Kanisa kwa Sababu ya Hoja za Gwajima? Taifa Linapotea Mwelekeo wa Haki na Uhuru

    Tarehe 2 Juni 2025, nimeona barua inayojinasibu kuwa ni ya Wizara ya Mambo ya Ndani ya kulifungia Kanisa la Glory of Christ Tanzania Church @ Ufufuo na Uzima, linaloongozwa na Mbunge wa CCM, Askofu Josephat Gwajima. Kisingizio? Lakini kwa anayesoma hali kwa makini, hoja ya kweli ni moja tu...
Back
Top Bottom