gerson msigwa

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Mindyou

    Wizara ya Sanaa na Michezo: Pamba Jiji FC kufanya mazoezi gizani ni kwa sababu hawakutoa taarifa mapema

    Wakuu, Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo imekanusha madai yaliyoenea mitandaoni kuwa timu ya Pamba Jiji FC ilifanya mazoezi gizani kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa, Dar es Salaam. Kupitia taarifa kwa umma iliyotolewa Septemba 23, 2025, wizara imesema timu hiyo iliingia uwanjani bila...
  2. Waufukweni

    GE2025 Gerson Msigwa: Goli la Mama liko Pale Pale – Goli 1 Vilabu shiriki kupewa 5M, Robo 10M, Nusu fainali 20M

    Katibu Mkuu Wizara ya Habari, Sanaa, Utamaduni na Michezo ambaye pia Msemaji Mkuu wa Serikali Gerson Msigwa Amezitakia kheri klabu za Tanzania Simba, Yanga pamoja na Singida Black Stars ambazo hii leo zinashiriki katika mashindano ya kimataifa barani Afrika ngazi ya klabu bingwa na shirikisho...
  3. Waufukweni

    GE2025 Gerson Msigwa: Wananchi mko salama, asiwatishe Mtu, hakuna mwenye mamlaka yakuzuia haki ya kuchagua au kuchaguliwa

    Msemaji Mkuu wa Serikali ya Tanzania, Gerson Msigwa amesema, "Wananchi asiwatishe Mtu yeyote, mko salama, Serikali na Vyombo vyake itafanya lolote linalowezekana kuhakikisha Watanzania hawabugudhiwi kupata haki yao ya kuchagua na kuchaguliwa" "Tunafahamu hao wanaofanya Kampeni za kuvunja...
  4. Waufukweni

    GE2025 Gerson Msigwa: Wanaosema wasishiriki uchaguzi, wanapoteza muda, huwezi kusema uchaguzi haupo

    Msemaji Mkuu wa Serikali, Gerson Msigwa amesema, "Lakini natambua kwamba kuna watu wanafanya Kampeni mtandaoni kuhamasisha watu wasishiriki uchaguzi, wanapoteza muda hili ni takwa la kikatiba....huwezi ukaibuka ukasema uchaguzi haupo."
  5. comrade_kipepe

    GE2025 Huyu Gerson Msigwa anapambana Sana, jamaa anajituma mno kwenye mazingira magumu

    Baada ya kuenea video mbalimbali kwenye Mitandao zikionyesha mashabiki wa Simba walivyokula buyu hawataki salamu, msigwa akaona apost Instagram akileta utetezi kua watu wanazusha tuu salamu iliitikiwa Kwa shangwe kubwa! Comment zilizoporomoshwa hapo zimekua za kumpinga tuu wananchi wakidai...
  6. Common Folk

    Maxence Melo amshangaa Gerson Msigwa kusema waliovamia Ofisi za Jamiiforums ni Maafisa Usalama

  7. GENTAMYCINE

    Nilishawahi kuandika hapa kumhusu Gerson Msigwa kuwa ni Mtu mwenye Umasikini wa Akili wa Kudumu sikueleweka, ila sasa naamini mmeshanielewa

    Niseme tu kuwa Gerson Msigwa anahitaji miaka zaidi ya 200 kuwa na IQ kubwa aliyonayo JamiiForums Founder Maxence Melo
  8. Sales man

    Gerson Msigwa: Hakuna uvamizi uliofanyika katika Ofisi za JamiiForums

    Hii ndo Tarifa yake "Gerson Msigwa " usiku huu. Hakuna uvamizi uliofanyika katika ofisi za Jamii Forums. Kilichotokea ni utaratibu wa kawaida wa mawasiliano kati ya Mamlaka za Serikali na wadau wake ambapo leo Maafisa wa Serikali walikwenda kuwasilisha barua ya wito kwa Jamii Forums. Ndugu...
  9. McLaren

    Gerson Msigwa: Serikali hatujawahi kwenda kwenye chombo chochote cha habari kufukuza mtu

    Wakuu, Mnakumbuka kuwa kuna waandishi na watangazaji siku hizi hatuwasikii redioni kabisa. Tulivyouliza tukaambiwa kuwa ni kwa sababu hawana taaluma au hawajasomea uandishi wa habari? Alitajwa masoud kipanya, fetty na kina Zembwela Gerson Msigwa akiwa anazungumza leo kwenye kipindi cha...
  10. McLaren

    Gerson Msigwa: Serikali inajua kila kitu kinachoendelea. Yoyote anayefanya makosa anaweza kufikiwa

    Akizungumza leo kwenye kipindi cha Clouds 360 cha Clouds TV Msemaji Mkuu wa Serikali na Katibu Mkuu wa Wizara ya Sanaa, Utamaduni na Michezo Gerson Msigwa alisema: "Nataka niseme kwamba serikali inajua kila kitu kinachoendelea na tunaweza kupata taarifa na tunaweza kumfikia mtu yoyote...
  11. Chachu Ombara

    GE2025 Msigwa: Vyombo vya Habari vitoe nafasi kwa wagombea bila upendeleo

    Kuelekea uchaguzi mkuu utakaofanyika Oktoba 29, 2025, Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Gerson Msigwa, amewasihi waandishi wa habari kuendelea kutekeleza majukumu yao kwa weledi kwa kuwapa nafasi wagombea wote bila upendeleo. Aidha, amesema kuwa wameunda kamati...
  12. Mkalukungone Mwamba

    Gerson Msigwa: Changamoto ya wagonjwa wa figo nchini inaongezeka kwa kiwango kikubwa. Tusimbeze Profesa Janabi

    Msemaji Mkuu wa Serikali, Gerson Msigwa amesema changamoto ya wagonjwa wa figo nchini imeongezeka kwa kiwango kikubwa katika miaka ya hivi karibuni kutokana na watu kutumia lishe isiyo bora, ulaji wa vyakula vyenye mafuta mengi, sukari, kutokufanya mazoezi, unywaji pombe kupita kiasi, matumizi...
  13. kyagata

    Hivi Gerson Msigwa kazi huwa anafanya muda gani?

    Huyu jamaa nadhani ni upepo tu umemtembelea vizuri,lkn kiuhalisia he is not competent kabisa na hivyo vyeo alivyopewa. Nashindwa kuelewa majukumu yake huwa anafanya saa ngapi coz muda mwingi yuko mitandaoni anapost tu,mara ajipost anasonga ugali,mara ajipost ananyanyua mivyuma ya mazoezi,mara...
  14. DuaZaMama

    Msemaji Mkuu wa Serikali Kukutana na Waandishi wa Habari Leo Sabasaba

    Leo, Juni 29, 2025, Msemaji Mkuu wa Serikali ambaye pia ni Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Gerson Msigwa, atafanya mkutano muhimu na waandishi wa habari. Mkutano huo utafanyika katika viwanja vya Maonesho ya Kimataifa ya Biashara Sabasaba, jijini Dar es Salaam...
  15. DuaZaMama

    PreGE2025 Msigwa: Sikusema 'Wanao-comment NO reforms NO election tutawapata'

    wakuu ni kweli hakusema? maneno ya "wanao comments No Reforms No election tutawapata" ===== Kupitia kurasa zake za mitandao ya kijamii, Msemaji mkuu wa serikali ameandika; "Sikusema maneno haya katika taarifa yangu ya jana, Ndugu zangu Waandishi wa Habari tuzingatie USAHIHI (ACCURACY) katika...
  16. M

    Barua ya wazi kwa Gen Z wote na wanavyuo. Onyesheni hasira kwa Gerson Msigwa kwa kujaribu kuwageuza nyinyi kuku wa kizungu

    Salamu kwenu Gen Z na wanavyuo wote. Baada ya salamu nachukua fursa hii kuwaandikia barua ya uwajibikaji wa kiraia. Msemaji wa serikali bwana Gerson Msigwa ametoka hadharani katika vyombo vya habari huku akifura, akijawa na vitisho kwenu eti msicomment watawala wasiyoyataka mitandaoni. Hii ni...
  17. B

    Msemaji wa Serikali anazungumza na Waandishi wa Habari Juni 11, 2025 Dodoma

    Msemaji wa Serikali, Gerson Msigwa anazungumza na waandishi wa habari leo Juni 11, 2025 saa saba na nusu mchana..... ngoja tusubiri kusikia boko litakalotoka kwa serikali leo... Rais alijishikilia kweli juzi na jana, leo watakuwa wanaangusha bomu. =========================== Msemaji Mkuu wa...
  18. Just Pray

    PreGE2025 Gerson Msigwa ajibu kuhusu vijana waliomzomea UDOM wakisema 'No reforms No election' asema ni walevi wachache waliotumwa kupiga kelele

    Kupitia Instagram story yake Msemaji mkuu wa serikali na katibu mkuu wa wizara ya habari utamaduni sanaa na michezo Gerson Msigwa ameweka ujumbe unaojibu tukio la kuzomewa jukwaani na wanafunzi wa UDOM wakisema 'No reforms, No election' kwa chochote alichothubutu kukisema jukwaani hapo, ambapo...
  19. G Sam

    PreGE2025 Gerson Msigwa azomewa UDOM. Aambiwa No Reforms No election. Atoa vitisho

    Usiku wa kuamkia leo kupitia kwa kinachoitwa tamasha la mama, Gerson Msigwa akiwa UDOM amekumbana na zomea zomea hadi kutoa vitisho. Zomea zomea hiyo ilikuwa akianikizwa na maneno "No reforms No election" Amepewa za uso, kila alilosema likawa linajibiwa kwa shubiri.
  20. Parabolic

    Gerson Msigwa: Kinachoendelea mitandaoni kuhusu "No Reforms, No Election" ni UPUUZI

    DAR. Kufuatia wimbi la wananchi kujibu posti za viongozi wa Serikali na watu maarufu kwa kampeni ya No Reforms No Election inayotumiwa na CHADEMA, Msemaji mkuu wa Serikali, Gerson Msigwa amesema ni upuuzi akiwataka wajiepushe na kampeni zisizo na tija. No Reforms No Election ni kampeni...
Back
Top Bottom