gerson msigwa

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. McLaren

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Msigwa: Wakisitisha misaada TUTAJITEGEMEA kwa sababu sehemu kubwa ya bajeti ni makusanyo yetu

    Wakuu, Msikilizeni Msemaji Mkuu wa Serikali akiwa anazungumza leo kuhusu suala zima la misaada. Mmenotice hajawaita mabeberu bali "wadau wa maendeleo?" Ila najiuliza kama Tanzania tunajiweza tunapitishaga bakuli la nini? Au mabeberu wanatushobokea kutokana na "madini yetu" guys? "Kwa...
  2. R

    JamiiForums Tanzania Msigwa: Tunategemea Mkataba na DP World kudumu miaka 30

    Msemaji Mkuu wa Serikali Gerson Msigwa akizungumza leo Januari 20, 2026 na vyombo vya habari amesema serikali mkataba NA DP World kudumu kwa miaka 30 Aidha ameeleza kuwa malengo yaliyowekwa na serikali ilikuwa kuwekeza dola Milioni 250 kwa kipindi cha miaka 5 ambapo ndani ya 2021 hadi 2022...
  3. DuaZaMama

    JamiiForums Tanzania Msigwa: Treni ya SGR haijaharibika Morogoro- Dodoma kilichotokea ni tahadhari

    Msemaji Mkuu wa Serikali ya Tanzania, Gerson Msigwa amesema kusitishwa kwa safari za treni kati ya Morogoro na Dodoma hakutokani na kuharibika kwa reli bali ni hatua za kitahadhari ili kudhibiti tishio la mito iloyojaa isiharibu miundombinu hiyo. Akizungumza na Ayo Tv leo kwa njia ya simu...
  4. DuaZaMama

    JamiiForums Tanzania Msemaji Mkuu wa Serikali: Wachina wataiendesha reli ya TAZARA kwa miaka 30 ili kupunguza mzigo kwa serikali

    Katibu Mkuu na Msemaji Mkuu wa Serikali Bw. Gerson Msigwa amewahakikishia Watanzania kuwa mkataba ambao Tanzania na Zambia zimeingia na China wa uboreshaji wa reli ya TAZARA utakuwa na manufaa makubwa kwa Tanzania kiuchumi na kijamii.Msigwa aliyekuwa akitoa ufafanuzi kufuatia baadhi ya watumiaji...
  5. Q

    JamiiForums Tanzania Wamarekani wamwambia Msigwa aache kumfanyia Kiongozi wa Republican Propaganda za uongo

    Ni baada ya Msigwa kutoa taarifa ya kwamba, Waziri wa mambo ya Nje Kombo amekutana na kiongozi wa Republican Brian Mast na kuahidi kumsaidia. Wamemwambia, "Sisi walipa kodi wa Marekani tutahakikisha kuwa unawajibika kwa matendo yako". Ikumbukwe kwamba serikali ya Tanzania inahaha kupata mtu...
  6. Damaso

    JamiiForums Tanzania Pikipiki kwa Miaka 39 ya Utumishi, hii sio heshima bali Kejeli

    Kauli ya Msemaji wa Serikali, Gerson Msigwa, kuhusu kumuaga rasmi Bw. Mfaume Ramadhan baada ya miaka 39 ya utumishi wa umma imeibua mjadala mpana wenye maswali mazito kuliko majibu. Miaka thelathini na tisa si wiki mbili, wala si ajira ya muda mfupi. Ni karibu maisha yote ya mtu—ujana, utu...
  7. McLaren

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Chief Spokesperson Gerson Msigwa: Tanzania can fund its budget without foreign aid

    Chief government spokesperson Gerson Msigwa has assured that Tanzania can implement its national budget without relying on foreign assistance, even if such aid does not materialise. Speaking on Saturday, December, 6 2025, during a special interview with Star TV, Mr Msigwa addressed national...
  8. DuaZaMama

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Gerson Msigwa: Kufanya maandamno Desemba 9 ni kuvunja sheria

    "Kesho ni siku ambayo Mhe. Rais Samia Suluhu Hassan aliitangaza hakutakuwa na sherehe lakini hatutarajii kesho kuna watu watathubutu kuvunja sheria kwa kufanya matendo ambayo yanavunja amani. "Na tukio lolote la kufanya maandamano kesho ni kuvunja sheria. Hatutarajii kuwepo kwa maandamano kwa...
  9. Idugunde

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Gerson Msigwa yupo sawa?.Kama X wanakiuka sheria za nchi kwa nini anaitumia kutolea taarifa?

    Kitendo cha X kuvunja sheria za nchi na mkawaambia wajirekebishea ili muwafungulie. Na wao hawajajirekebisha hili kosa . Kama ni kosa kwa nini wewe undelee kulitumia kama njia ya kupeleka habari?
  10. DuaZaMama

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Gerson Msigwa: Twitter (X) itafunguliwa pale tutakapokubaliana namna watakavyoendesha jukwaa lao nchini Tanzania

    Msemaji mkuu wa serikali Gerson Msigwa amesema kuwa Twitter (X) itafunguliwa pale ambapo tutakapokubaliana namna watakavyoendesha jukwaa lao nchini Tanzania.
  11. DuaZaMama

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Gerson Msigwa: Vyombo vya ulinzi viko tayari wakati wowote kuelekea Desemba 9

    "Vyombo vyetu vya usalama kama ilivyo leo, ilivyokuwa jana, ndivyo itakavyokuwa tarehe 9 na siku zinazofuata. Vyombo vyetu vya ulinzi na usalama wakati wote viko tayari kuhakikisha watu wako salama, mali zao ziko salama, mipaka ya nchi yetu iko salama." Gerson Msigwa, Msemaji Mkuu wa Serikali
  12. DuaZaMama

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Msigwa: sikuvipongeza vyombo vya habari kwa kutokutoa taarifa, niliwapongeza kwa kufanya uandishi wa habari wa uwajibikaji

    Akizungumza na mtangazaji Chief Odemba, Msemaji Mkuu wa Serikali Gerson Msigwa amesema kuwa madai kuwa aliwapongeza vyombo vya habari kwa kutokutoa taarifa ni upotoshaji. Pia Soma: Msigwa: Nawapongeza vyombo vya habari nchini, mpo sahihi sana, sio lazima tuige mtindo wa kuishambulia nchi yetu
  13. DuaZaMama

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Msemaji wa Serikali: Si Vizuri Viongozi wa dini kutoa matamko yenye uchochezi

    Msemaji wa Serikali Gerson Msigwa amesema kuwa viongozi wa dini nchini wanapaswa kuhubiri amani na upendo, badala ya kutoa matamko yanayoweza kuashiria uchochezi. Ameeleza kuwa mara kwa mara Serikali hufanya mazungumzo na viongozi wa dini pale inapobaini kuwa mambo hayaendi vizuri. Msigwa...
  14. Think2

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Msigwa: Baadhi ya picha za mauaji niza Uongo kwa mfano Picha za “uvamizi” wa uwanja wa ndege wa Mwalimu Nyerere zilikuwa za mwaka 2021

    Msemaji Mkuu wa Serikali Gerson Msigwa amesema kuwa baadhi ya picha zilizokuwa zikisambaa zikidai kuonyesha kuwa Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Mwalimu Nyerere (JNIA) umevamiwa si za matukio ya sasa. Ameeleza kuwa picha hizo zilipigwa mwaka 2021, wakati wa usafirishaji wa mwili wa Hayati Rais...
  15. DuaZaMama

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Gerson Msigwa: Tanzania haiwezi kupewa maelekezo na CNN. Huwezi kutengeneza makala kwa ushahidi wa video za WhatsApp

    Akizungumza katika mahojiano na mtangazaji Chief Odemba, Msemaji Mkuu wa Serikali Gerson Msigwa amesema kuwa mwandishi wa chombo kikubwa cha habari kama CNN hawezi kuandaa makala kwa kukusanya picha na video zilizosambaa kupitia WhatsApp pekee. Katika kauli yake, Msigwa alisisitiza umuhimu wa...
  16. DuaZaMama

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Gerson Msigwa: Vituo 672 vya mafuta vilichomwa moto

    Katika mahojiano yake na Chief Odemba, Msemaji Mkuu wa Serikali Gerson Msigwa ametaja kuwa vituo 672 vilichomwa moto kufuatia vurugu zilizojitokeza Oktoba 29 na siku nyingine. Amesema idadi hiyo ni ile ile aliyowahi kuitaja Waziri Mkuu, licha ya kuwepo kwa taarifa tofauti tofauti kuhusu idadi ya...
  17. DuaZaMama

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Msigwa aikana kauli yake ya 'miradi inajengwa kwa pesa zetu'. Asema imefanyiwa 'Spinning'

    One-on-one kati ya mtangazaji nguli Chief Odemba na Msemaji Mkuu wa Serikali, Gerson Msigwa, Katika mahojiano hayo, Gerson Msigwa amesema moja ya kauli zake aliyowahi kuitoa hivi karibuni kuhusu Serikali ya Tanzania kujenga miradi kwa fedha zake imepotoshwa. Ameeleza kuwa hakumaanisha...
  18. DuaZaMama

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Gerson Msigwa: Mama yangu mzazi yupo hai, mliochapisha hizo taarifa mkazifute

    Mapema jana taarifa za kifo cha Anayedaiwa kuwa mama yake Msigwa zilisambaa katika mitandao ya kijamii. "Kwa mara nyingine naomba kuwajulisha kuwa Mama yangu mzazi YUPO HAI, hajafariki dunia kama ambavyo baadhi ya watu wamechapisha kwenye mitandao yao ya kijamii na kuzua taharuki. Mnasababisha...
  19. Damaso

    JamiiForums Tanzania Gerson Msigwa Kwanini umefunga Comment Section?

    Katika ulimwengu wa leo wa kidijitali, mitandao ya kijamii imekuwa si tu sehemu ya mawasiliano, bali pia eneo la kuungana, kufarijiana na kuonesha utu wetu kwa wakati wa furaha na majonzi. Hivyo basi, tangazo la msiba wa mama wa Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais, Gerson Msigwa, limeibua mjadala...
  20. The Father of All

    JamiiForums Tanzania Tumpongeze na kumshukuru Msigwa kuharakisha anguko la CCM

    Wengi wamekuwa wakimlaumu Garson Msigwa kwa utopolo aliomwaga akidhani anatetea kitumbua kumbe ndo anakishindilia mchanga. Kwa namna 'alivyojitetea na kutetea' serikali yake, amezidi kuchochea moto. Hivyo, tumpongeze na kumshukuru kwa kuwezesha anguko la CCM kuwa rahisi.
Back
Top Bottom