gerson msigwa

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. DuaZaMama

    PostGE2025 Gerson Msigwa: Vyombo vya ulinzi viko tayari wakati wowote kuelekea Desemba 9

    "Vyombo vyetu vya usalama kama ilivyo leo, ilivyokuwa jana, ndivyo itakavyokuwa tarehe 9 na siku zinazofuata. Vyombo vyetu vya ulinzi na usalama wakati wote viko tayari kuhakikisha watu wako salama, mali zao ziko salama, mipaka ya nchi yetu iko salama." Gerson Msigwa, Msemaji Mkuu wa Serikali
  2. DuaZaMama

    PostGE2025 Msigwa: sikuvipongeza vyombo vya habari kwa kutokutoa taarifa, niliwapongeza kwa kufanya uandishi wa habari wa uwajibikaji

    Akizungumza na mtangazaji Chief Odemba, Msemaji Mkuu wa Serikali Gerson Msigwa amesema kuwa madai kuwa aliwapongeza vyombo vya habari kwa kutokutoa taarifa ni upotoshaji. Pia Soma: Msigwa: Nawapongeza vyombo vya habari nchini, mpo sahihi sana, sio lazima tuige mtindo wa kuishambulia nchi yetu
  3. DuaZaMama

    PostGE2025 Msemaji wa Serikali: Si Vizuri Viongozi wa dini kutoa matamko yenye uchochezi

    Msemaji wa Serikali Gerson Msigwa amesema kuwa viongozi wa dini nchini wanapaswa kuhubiri amani na upendo, badala ya kutoa matamko yanayoweza kuashiria uchochezi. Ameeleza kuwa mara kwa mara Serikali hufanya mazungumzo na viongozi wa dini pale inapobaini kuwa mambo hayaendi vizuri. Msigwa...
  4. Think2

    PostGE2025 Msigwa: Baadhi ya picha za mauaji niza Uongo kwa mfano Picha za “uvamizi” wa uwanja wa ndege wa Mwalimu Nyerere zilikuwa za mwaka 2021

    Msemaji Mkuu wa Serikali Gerson Msigwa amesema kuwa baadhi ya picha zilizokuwa zikisambaa zikidai kuonyesha kuwa Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Mwalimu Nyerere (JNIA) umevamiwa si za matukio ya sasa. Ameeleza kuwa picha hizo zilipigwa mwaka 2021, wakati wa usafirishaji wa mwili wa Hayati Rais...
  5. DuaZaMama

    PostGE2025 Gerson Msigwa: Tanzania haiwezi kupewa maelekezo na CNN. Huwezi kutengeneza makala kwa ushahidi wa video za WhatsApp

    Akizungumza katika mahojiano na mtangazaji Chief Odemba, Msemaji Mkuu wa Serikali Gerson Msigwa amesema kuwa mwandishi wa chombo kikubwa cha habari kama CNN hawezi kuandaa makala kwa kukusanya picha na video zilizosambaa kupitia WhatsApp pekee. Katika kauli yake, Msigwa alisisitiza umuhimu wa...
  6. DuaZaMama

    PostGE2025 Gerson Msigwa: Vituo 672 vya mafuta vilichomwa moto

    Katika mahojiano yake na Chief Odemba, Msemaji Mkuu wa Serikali Gerson Msigwa ametaja kuwa vituo 672 vilichomwa moto kufuatia vurugu zilizojitokeza Oktoba 29 na siku nyingine. Amesema idadi hiyo ni ile ile aliyowahi kuitaja Waziri Mkuu, licha ya kuwepo kwa taarifa tofauti tofauti kuhusu idadi ya...
  7. DuaZaMama

    PostGE2025 Msigwa aikana kauli yake ya 'miradi inajengwa kwa pesa zetu'. Asema imefanyiwa 'Spinning'

    One-on-one kati ya mtangazaji nguli Chief Odemba na Msemaji Mkuu wa Serikali, Gerson Msigwa, Katika mahojiano hayo, Gerson Msigwa amesema moja ya kauli zake aliyowahi kuitoa hivi karibuni kuhusu Serikali ya Tanzania kujenga miradi kwa fedha zake imepotoshwa. Ameeleza kuwa hakumaanisha...
  8. DuaZaMama

    PostGE2025 Gerson Msigwa: Mama yangu mzazi yupo hai, mliochapisha hizo taarifa mkazifute

    Mapema jana taarifa za kifo cha Anayedaiwa kuwa mama yake Msigwa zilisambaa katika mitandao ya kijamii. "Kwa mara nyingine naomba kuwajulisha kuwa Mama yangu mzazi YUPO HAI, hajafariki dunia kama ambavyo baadhi ya watu wamechapisha kwenye mitandao yao ya kijamii na kuzua taharuki. Mnasababisha...
  9. Damaso

    Gerson Msigwa Kwanini umefunga Comment Section?

    Katika ulimwengu wa leo wa kidijitali, mitandao ya kijamii imekuwa si tu sehemu ya mawasiliano, bali pia eneo la kuungana, kufarijiana na kuonesha utu wetu kwa wakati wa furaha na majonzi. Hivyo basi, tangazo la msiba wa mama wa Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais, Gerson Msigwa, limeibua mjadala...
  10. The Father of All

    Tumpongeze na kumshukuru Msigwa kuharakisha anguko la CCM

    Wengi wamekuwa wakimlaumu Garson Msigwa kwa utopolo aliomwaga akidhani anatetea kitumbua kumbe ndo anakishindilia mchanga. Kwa namna 'alivyojitetea na kutetea' serikali yake, amezidi kuchochea moto. Hivyo, tumpongeze na kumshukuru kwa kuwezesha anguko la CCM kuwa rahisi.
  11. Waufukweni

    PostGE2025 Larry Madowo: CNN haikualikwa kwenye Mkutano wa Msemaji wa Serikali licha ya kutuma maombi rasmi

    Serikali ya Tanzania imefanya mkutano wake wa kwanza na waandishi wa habari tangu uchaguzi wenye utata uliofanyika takriban siku 25 zilizopita. Larry Madowo wa CNN ameripoti kuwa mkutano huo ulifanyika baada ya uchunguzi wa CNN kuhusu vifo vilivyotokea wakati wa uchaguzi. Hata hivyo, licha ya...
  12. Miguel255

    Gerson Msigwa awafundisha CNN Kazi

    Girishoni hajaongea kitaaluma, bali ameongea kisiasa. Nguli wa taaluma ya habari, Walter Lippmann aliwahi kusema "In opinion we seek two sides, but facts have no two sides" Akimaanisha Maoni yana pande mbili, lakini uhalisia hauna pande mbili. Mvua ikinyesha, huhitaji pande mbili ili kuandika...
  13. DuaZaMama

    PostGE2025 Msigwa: Msibeze uandishi wangu mimi ni 'Field Journalist' ningekuwa vitani 'Field Marshal'

    “Kuna watu fulani sikuhizi mbili tatu walikuwa wanabeza uwandishi wangu wa Habari Mimi ni Mwandishi wa Habari hasa Tena Field Journalist nimefanya Makubwa nchini ingekuwa Jeshini Vitani ningekuwa FIELD MARSHAL” Labda tujiulize uandishi wa habari wa kuwajibika (responsible journalism) nini...
  14. ChekoFagia

    PostGE2025 Gerson Msigwa: Miradi mingi tunajenga kwa fedha zetu, tukikopa tunalipa

    Msemaji wa Mkuu wa Serikali Gerson Msigwa amesema Serikali itaendelea kutekeleza miradi mbalimbali kwa kutumia fedha za ndani licha ya kuibuka kwa matamko kadhaa kutoka kwa wadau mbalimbali wa maendeleo wa Tanzania ya kusitisha misaada ya kifedha kwa madai ya ukiukwaji wa haki za binadamu...
  15. Heparin

    Msigwa na wenzio Serikalini, tabia ya kutuongelesha kwa ukali ikome mara moja. Sisi siyo watoto wenu

    Wazungumzaji na watendaji wa Serikali hii wamekuwa na dharau sana. Kila mara wanapotoka hadharani kuzungumzia masuala mbalimbali wamekuwa na tabia ya kuongea kwa ukali kama sisi ni watoto wao. Rejea mifano ya Chalamila, Muliro, IGP Wambura, Msando, Msigwa na wengine wenye hulka kama hizi...
  16. mcTobby

    Gerson Msigwa inabidi akumbushwe Hili

    Katika mazingira yoyote ya operesheni za habari, kuna kanuni moja isiyovunjika, inasema "Unaweza kuzuia sauti za ndani, lakini huwezi kudictate vyanzo vya nje." Ndicho kinachomkumba Msigwa sasa. Anajaribu kuextend control mechanism zile zile anazotumia kusimamia leseni za online TV za ndani...
  17. R

    PostGE2025 Gerson Msigwa: Nimesoma uandishi wa habari 'It is Unprofessional and unacceptable to publish bad taste images'

    Naomba waliosoma uandishi wa habari kama Msigwa mtuelezee hapa anamaanisha nini:BBRUHH:
  18. M

    PostGE2025 Gerson Msigwa: Wanaotoa takwimu za vifo wakati wa uchaguzi ni uchochezi

    Akiongea na waandishi wa Habari, Msemaji wa Serikali amesema idadi ya waliofariki na kujeruhiwa inatakiwa kutolewa na vyanzo rasmi vyenye mamlaka ambavyo vimefanya tathmini, kwa sasa wanaotoa takwimu hizo ni uchochezi.
  19. R

    PostGE2025 Msemaji mkuu wa Serikali Gerson Msigwa awahakikishia watalii usalama na kupuuza taarifa potofu

    Msemaji Mkuu wa Serikali Gerson Msigwa akizungumza na Vyombo vya habari leo Novemba 23, 2025 amewahakikishia watalii wote kutoka mataifa mbalimabali kuwa Serikali ya Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania inawakaribisha wote nchi yetu itabaki kuwa ya amani na wazi kupokea wote wanaowiwa kuja...
  20. R

    PostGE2025 Gerson Msigwa: Kwa sasa hali ni shwari na vyombo vya ulinzi vianaendelea kuhakikisha usalama

    Akizungumza na vyombo vya habari leo Novemba 23, 2025 Msemaji Mkuu wa Serikali Gerson Msigwa amesema kwamba kutokana na matukio yaliyotokea kwa hali ya usalama wa nchi shwari na kuwa Vyombo vya ulinzi vinaendelea kuhakikisha wananchi pamoja na mali zao wanabakia kuwa salama na matishio yote ya...
Back
Top Bottom