gdp

Gross domestic product (GDP) is a monetary measure of the market value of all the final goods and services produced in a specific time period.GDP (nominal) per capita does not, however, reflect differences in the cost of living and the inflation rates of the countries; therefore using a basis of GDP per capita at purchasing power parity (PPP) is arguably more useful when comparing living standards between nations, while nominal GDP is more useful comparing national economies on the international market.The OECD defines GDP as "an aggregate measure of production equal to the sum of the gross values added of all resident and institutional units engaged in production and services (plus any taxes, and minus any subsidies, on products not included in the value of their outputs)". An IMF publication states that, "GDP measures the monetary value of final goods and services—that are bought by the final user—produced in a country in a given period of time (say a quarter or a year)."Total GDP can also be broken down into the contribution of each industry or sector of the economy. The ratio of GDP to the total population of the region is the per capita GDP and the same is called Mean Standard of Living. GDP is considered the "world's most powerful statistical indicator of national development and progress".

View More On Wikipedia.org
  1. BARD AI

    IMF: Tanzania ni kati ya Nchi zenye madeni madogo kulinganisha na Pato la Taifa (GDP)

    Kwa mujibu wa Shirika la Fedha la Kimataifa (IMF), #Tanzania ni miongoni mwa Nchi 10 zenye Madeni Madogo yakilinganishwa kwa Asilimia ya Pato la Taifa (GDP). Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo licha ya kuwa na matukio ya ukosefu wa Usalama katika baadhi ya maeneo ya Nchi yanayosababishwa na...
  2. Execute

    Nimesikitika baada ya kuona Nigeria ina GDP karibu mara tano ya Tanzania

    Kumbe nchi yetu imezidiwa kiasi hiki na nchi yenye boko haram? Yaani kweli wao wanakaribia gdp ya bilioni 400 usd wakati sisi tupo kwenye bilioni 80s usd?
  3. Analogia Malenga

    Tanzania imepata ukuaji mdogo wa GDP ukilinganisha na Rwanda na Uganda kuanzia mwaka 2021

    Katika ripoti ya NBS inayoonesha masuala mbalimbali ya GDP kwa kipindi cha kuanzia April hadi Juni 2023, imeonesha ukuaji wa GDP wa Tanzania umeshuka ukilinganisha na Rwanda na Uganda. Tanzania imefananishwa na Rwanda na Uganda kwa kuwa ndio nchi pekee katika Jumuiya ya Africa Mashariki...
  4. H

    Nchi za umoja wa ECOWAS zinapata wapi jeuri ya kuwa na jeshi kuvamia nchi nyingine?

    Salama humu🙂 Anaejua uchumi was hizi nchi za ecowas atujuze jamani au gdp. Ninavyojua Mimi nchi za afrika zote ni maskini na wananchi wake wengi wanaishi maisha ya kifukara sana has vijijini. Ni nchi ombaomba na zinaishi kwa kutegemea misaada kutoka nchi zilizoendelea. Sasa kinachoniajabisha...
  5. Meneja Wa Makampuni

    Viongozi tuwe makini Gross Domestic Product (GDP) haiwezi kukua kwa betting games

    Dear Viongozi, Ukuaji wa GDP (Gross Domestic Product) haupaswi kutegemea michezo ya kamari au betting. GDP ni kipimo cha thamani ya bidhaa na huduma zote zinazozalishwa katika nchi ndani ya kipindi fulani cha wakati, na inaweza kuongezeka kupitia ukuaji wa shughuli za kiuchumi kama vile...
  6. Mekatilili

    African Economic Outlook in 2023 - GDP Growth

    Côte d’Ivoire was projected to be West Africa's fastest-growing economy this year at 5.7%, but Senegal is set to overtake it - expanding 4.8% this year before speeding up to 8% in 2023 and 10.5% in 2024. The forecast for Kenya, East Arica's largest economy, was kept the same at 5%. Here are the...
  7. Execute

    Namba hazidanganyi, Mwinyi aliitoa Tanzania kutoka GDP ya dola bilioni 13.5 mwaka 1985 mpaka dola bilioni 5.7 mwaka 1995

    Hizo ndio takwimu zinavyoonesha. Nchi iliporomoka vibaya sana katika miaka hiyo kumi alipokuwa anaongoza rais mstaafu Mwinyi. Alishindwa kufanya makubaliano mazuri ya kiuzalendo na IMF na WB ili uchumi usiporomoke Mwaka 1985 Mwaka 1995
  8. K

    Kenyans Transacted 5 Times Tanzania's GDP on Safaricom's MPESA in 2021 Alone

    In the last financial year ending March 2022, Kenyans transacted close to Ksh30 TRILLION. ($250 billion) on Mpesa. That's more than the GDPs of all EAC countries combined. That's impressive, but scary. I don't think they will rest until the last paper note is taken out of circulation.
  9. J

    Tafiti zinaonesha Takwimu zenye ubora huchangia GDP kwa zaidi 1.5% Usiache kuhesabiwa 23|08|2022

    [ ] " Tafiti zinaonesha upatikanaji na matumizi ya takwimu zenye ubora huchangia mpaka asilimia 1.5% ya pato la Taifa( GDP), Hii inaonesha umuhimu wa kazi mliyopewa kwani takwimu za sensa Agosti23, 2022 ndio zitatumika kuandaa Dira ya Pili ya Taifa ya 2025-2050 baada ya kumalizika Dira ya...
  10. Meneja Wa Makampuni

    Kwanini pato la Taifa (GDP) la Tanzania linashika nafasi ya 9 Afrika wakati pato la kila Mtanzania linashika nafasi ya 31

    Pato la Taifa (GDP) ni thamani ya soko ya bidhaa na huduma zote za mwisho kutoka kwa taifa katika mwaka fulani. Nchi za Afrika zimepangwa kulingana na data kutoka Shirika la Fedha la Kimataifa. Takwimu zilizowasilishwa hapa hazizingatii tofauti za gharama ya maisha katika nchi mbalimbali, na...
  11. M

    Je, ni nini tofauti kati ya GNI/GNP na GDP kwa Kiswahili? Ni yote "pato la taifa"?

    Pato la Taifa ni GNI/GNP au GDP? "Nominal" - itakuwa kinaganaga? Ufafanuzi kwa Kiingereza: GNP Gross National Product (kisawe = gross national income GNI): total domestic and foreign output claimed by residents of a country, consisting of gross domestic product (GDP), plus factor incomes...
  12. M

    Pato la Taifa ni GNP (Gross National Product) au GDP (Gross Domestic Product)?

    Hamjambo je tunao hapa wataalamu wa uchumi? Pato la Taifa ni GNP au GDP? Nominal - itakuwa kinaganaga? Ufafanuzi kwa Kiingereza: GNP Gross National Product (kisawe = gross national income GNI) : total domestic and foreign output claimed by residents of a country, consisting of gross domestic...
  13. Tony254

    Baadhi ya Watanzania hawajui tofauti kati ya GDP na GDP Growth Rate?

    Kuna huyu Mtanzania anayeitwa joto la jiwe ambaye ndio genius wa huku. Lakini nimeshangaa kuona kwamba jamaa hajui tofauti kati ya gdp na gdp growth rate. Gdp ni thamani ya bidhaa na huduma zinazozalishwa ndani ya uchumi fulani kwa muda wa mwaka mmoja. Gdp growth rate ni kiwango cha kuongezeka...
  14. Analogia Malenga

    Utajiri wa Apple Inc. ni mkubwa kuliko GDP ya Afrika

    Kampuni ya Apple ambayo inatengeneza bidhaa za iPhones na Mac imekuwa kampuni ya kwanza kufikia thamani ya dola trilioni 3 katika soko la hisa Thamani hiyo ni kubwa kuzidi hata Pato la Ndani la Afrika(GDP) ambalo ni dola trilioni 2.6 Kampuni hiyo imefanikiwa kukua kwa kasi ndani ya miezi 16...
  15. Naipendatz

    Highest government debt as share of GDP, 2020

    Japan 237% Greece 177% Lebanon 150% Italy 135% Singapore 126% Portugal 117% Angola 111% Mozambique 109% US 107% Jamaica 103% Belgium 98% France 98% Congo 98% Cyprus 95% Spain 95% Bahrain 93% Jordan 92% Egypt 90% . . . Tanzania 39.15% A public debt sustainability analysis (DSA) done by the IMF...
  16. Tony254

    Hebu tulinganishe utajiri wa majimbo za Marekani na utajiri wa nchi za Kiafrika. Tutumie kigezo cha Gdp.

    Ulinganisho kati ya ukubwa wa Gdp za states za USA na Gdp za nchi za Kiafrika. California ina Gdp kubwa kushinda Gdp ya Afrika nzima. Hawaii yenye watu chini ya milioni mbili ina Gdp sawia na Ethiopia yenye watu milioni 110. Gdp ya Kenya ni sawia na Gdp ya New Mexico ambayo ni mojawapo ya...
  17. Tony254

    Nchi kumi za Kiafrika zenye Gdp kubwa. Gap kati ya Kenya na Tanzania inazidi kuongezeka.

    1. Nigeria 2. South Africa 3. Egypt 4. Algeria 5. Morocco 6. Kenya 7. Angola 8. Ethiopia 9. Ghana 10. Tanzania
  18. BAK

    Tanzania Cuts GDP Growth Forecast, Hikes Deficit

    Tanzania Cuts GDP Growth Forecast, Hikes Deficit Fumbuka Ng'Wanakilala, Bloomberg News Sep 17, 2021 (Bloomberg) -- Tanzania has slashed its growth forecast for this year and raised its projected budget deficit, as the East African nation tackles headwinds from Covid-19-induced economic...
  19. Tony254

    GDP figures za Kenya zinakuwa released leo

    Nangoja kusikia Gdp figures za Kenya. Nasikia kwamba GDP ya Kenya imekuwa rebased na kwa hivyo size ya GDP itaongezeka significantly. Kaeni mkao wa kula habari ikitoka nitapost humu.
  20. mahunduhamza

    Hali halisi ya pato halisi (GDP) la Tanzania

    Katika kipindi cha mwaka 2001-2010 pato halisi la Tanzania(GDP) limeonyesha kiwango cha wastani wa kukua cha 7%. Ukuaji ulishuka mwaka 2009 na kuwa 6.0%, hasa kutokana na kudorora sana kwa ukuaji wa uchumi duniani. Hata hivyo ulirudia kwenye 7% mwaka 2010. Sekta zilizoonyesha viwango vya...
Back
Top Bottom