Analogia Malenga
JF-Expert Member
- Feb 24, 2012
- 5,014
- 9,883
Katika ripoti ya NBS inayoonesha masuala mbalimbali ya GDP kwa kipindi cha kuanzia April hadi Juni 2023, imeonesha ukuaji wa GDP wa Tanzania umeshuka ukilinganisha na Rwanda na Uganda.
Tanzania imefananishwa na Rwanda na Uganda kwa kuwa ndio nchi pekee katika Jumuiya ya Africa Mashariki waliotoa takwimu kuhusu ukuaji wa uchumi wao. Takwimu zinaonesha mwaka 2020, GDP ya Tanzania ilikuwa kubwa kuliko nchi hizo.
Taarifa hii inaonesha hata ukuaji wa uchumi uliporomoka kwa kiasi kikubwa tangu dunia kukumbwa na COVID-19 mwaka 2019 ambapo athari zake zilianza kuonekana 2020
Hata hivyo, hii sio excuse kwa kuwa kama uchumi uliweza kukua vizuri na kuwa juu ya wenzetu tunapaswa kujiuliza wapi pana shida hadi uchumi kuporomoka kwa kulinganisha na wengine.
Tanzania imefananishwa na Rwanda na Uganda kwa kuwa ndio nchi pekee katika Jumuiya ya Africa Mashariki waliotoa takwimu kuhusu ukuaji wa uchumi wao. Takwimu zinaonesha mwaka 2020, GDP ya Tanzania ilikuwa kubwa kuliko nchi hizo.
Country | Economic Growth Q2 2023 | Economic Growth Q2 2022 |
---|---|---|
Rwanda | 6.3% | 7.5% |
Uganda | 6.8% | 5.6% |
Tanzania | 5.2% | 4.7% |
Taarifa hii inaonesha hata ukuaji wa uchumi uliporomoka kwa kiasi kikubwa tangu dunia kukumbwa na COVID-19 mwaka 2019 ambapo athari zake zilianza kuonekana 2020
Hata hivyo, hii sio excuse kwa kuwa kama uchumi uliweza kukua vizuri na kuwa juu ya wenzetu tunapaswa kujiuliza wapi pana shida hadi uchumi kuporomoka kwa kulinganisha na wengine.