gari

  1. Mad Max

    Hii Gari Millioni 12.8 anauza kweli uyu Mwanetu?

    Nimekutana na hii tangazo, jamaa anauza BMW 3 Series kwa Tsh Mil 12.8 tu! Sema kwa maelezo yake kasema hii ni 2009 Model, ila katupiga. Huo mwaka BMW walifanya LCI (life circle impulse l, yaani kama update au refresh ya iyo model) na change ina mabadiriko kwa nje na ndani, mfano picha: Izo...
  2. M

    Kwa bajeti ya milioni 20 gari ipi itafaa kwa bajeti ya mafuta ya laki 2 kwa mwezi kwa mizunguko ya mjini na isiwe ya kwenda sana gereji

    Bajeti milioni 20 Bajeti ya mafuta laki 2 maximum Mazingira inatumika mkoani hakuna foleni kama Dar, Sifa za gari Isiwe gari ya kwenda sana gereji, Iwe inatengenezwa kirahisi hata mikoani Spea kibao
  3. ELI COHEN

    Generali Ulimwengu: "Kama hupati take home ya 6m au 7m na ukataka kuendesha gari lako dsm, kuna mawili, labda we ni mwizi ama mtumwa"

    Hii code ya mtumwa amemaanishi nini?
  4. Multi-skilled

    Ushauri wa Bure: Usinunue gari hizi mkononi

    Ewe mtanzania mwenye kuhitaji gari BAJETI NDOGO ya mkononi kwa mtu kwa ushauri usijaribu kununua gari mkononi mwa mtanzania mwenzako isipokuwa kwa gari zifuatazo. 1. Toyota premio, Toyota allion, Toyota corolla x, corona premio, Axio, Toyota carina ( Mafundi tele, spare tele na cheap, zina...
  5. S

    TRA, je, ni kweli sasa hivi ukiingiza gari nchi kuna kodi kwa ajili ya dawa za UKIMWI(HIV)?

    Kwenye mitandao, kuna document inayodaiwa ni ya TRA inayoonyesha mlolongo wa kodi kwa mtu anaeagiza gari nchini kwa sasa. Tozo hiyo inasomeka kama "HIV Response Levy " ambayo ni kiasi cha shilingi 100,000. Swali: TRA, hiii ni kweli na hiyo document imetoka kwenu?
  6. N

    Gari za "nyonya mavi

    Habari zenu wana JF?. Naomba msaada WA anayejua Yale magari ya nyonya mavi Yako chini ya mamlaka Gani?, na je nikiyahitaji niende ofisi Gani?, na kama Kuna anaye jua bei ya kulipa gari ikija kunyonya uchafu nyumbani kwako ni kiasi Gani?
  7. BIG BROTHER ALEX

    Mrembo Sishikiki alalama kutapeliwa gari baada ya kumtolea nje mwanaume aliyekuwa anamtaka kimahusiano

    Katika Hali isio ya kawaida dada kaingia insta na kuanza kutia huruma eti huyo jamaa alie matapeli sababu, hamtaki kimahusiano ndo chanzo jamaa kumtapeli kibabe. Wadau wahoji insta ndo mahakama? Wadau watema cheche, mnakula vya watu mkiombwa kulombwa mnaleta ujanjaujanja, kwa mara ya kwanza...
  8. Billion Dolar

    Naombeni ushauri ninunue gari ipi

    Wananzengo habari zenu. Mimi ni mtu wa safsri kila ijumaa ja jumapili, na huwa napenda nitumie gari binafsi ili nijipangie mda wa kuondoka na kufika. So nlikuwa na gari ndogo nahisi kuichoka. Kati ya gari ninayohitaji ni honda crosroad ama rumion nikishindwa hizi basi outlander but hizi 2 za...
  9. Fbn

    Leo niweka nyimbo ya makomberero kwenye gari napita zangu kama watu inawapa mzuka

    Hii song inamzuka kweli ya kuonesha mabadiliko. Naongeza sauti kubwa kwenye gari najipitisha kituo cha polisi maana kipo barabarani.
  10. Meja Jenerali Isamuhyo

    Kumbe kuna gari zinaruhusiwa herufi “I” kwenye usajili

    Wonders shall never end,
  11. P

    Nani anawapa mamlaka Polisi kuweka namba zisizojulikana kwenye gari zao binafsi?

    Mfano hii unayoiona hapa ina zaidi ya miaka mitatu ina NAMBA HIZI. Gari hii iko Mwanza. Kuna gari binafsi za polisi kwenye Boot (buti) unakuta kuna NUMBER PLATES nne mpaka tano tofauti. Za nini? Za kazi gani? Kwanini kwenye gari binafsi? Tunaomba serikali ifuatilie jambo hili, linatupa...
  12. Fbn

    PostGE2025 Niffer kama kweli kaachiwa huru, kwanini gari lilomchukua lilikuwa na Polisi wa kike na hapo hapo kaitishiwa Vyombo vya Habari

    Haya ndio mweshimiwa lissu aliyakataa yani utoke kwa makubaliano kisa mkubwa na sio mahakama. Angalieni video vizuri ya niffer ambayo unaona alivyotoka mahakamani bado yupo na mapolisi na usalama. Hii script ya CCM kusema raisi kawa na haki ni uwongo.
  13. Fbn

    PostGE2025 Nipo mkoa X ila gari za jeshi zimeshakuja ina maana D9 wamejua ni kweli

    Mauaji bado yanaendelea na utekaji unaendelea japo hatujuani humu ila rais anazidi kujilinda. Sehemu yenye ulinzi mkali ukiona ujue wamezikwa watu na mpaka sasa ICC imezuiwa kuingia TZ ipo mipakani Kenya ili wafiche ushahidi kwa bunduki.
  14. M

    Suzuki swift M13a

    Habari wadau Ninachangamoto zifwatazo kwenye Suzuki swift M13a naomba ushauri tafadhari 1.kuwaka kwa tabu Asubuhi mpaka nikanyage accelerator Kwa muda 2.nikiwasha AC gari inatingishika na kuzima nikiwa nimepaki, 3.Engine inatoa ngurumo mkubwa kama land cruiser 4. Inatembea umbali mrefu bila...
  15. M

    Gari limefeli breki hakuna tena wa kulisimamisha

    Watanzania gari limeshakata breki, pisheni njia. Derereva hana uwezo tena wa kulidhibiti. Pona yake atafute namna ya kujirusha nje kutokea dirishani, ila aking’ang’ania kulazimisha kulidhibiti ataenda kutumbukia nalo korongoroni na kuwaka moto.
  16. upupu255

    KWELI Upo mfumo unaowezesha Gari kutembea kwa tairi tatu tu

    Hapa nahisi kama napigwa changa la macho, inawezekana gari kutembea kwa tairi tatu pekee? JamiiCheck, na wajuvi wa masuala haya mtujulishe lipi ni lipi
  17. R

    PostGE2025 Aliyekuwa Mgombea urais Chama Makini, Coaster Jimmy Kibonde aomba gari alilopewa na Tume

    Aliyekuwa Mgombea wa Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama cha Makini, Coaster Jimmy Kibonde ameomba Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi kumpatia Gari ambalo alipewa kama mmoja wa wagombea wa nafasi ya Urais Tanzania kwakuwa amelitendea haki kwa Kufanya kampeni karibu mikoa yote...
  18. R

    Video: Mama aelezea mwanae alichukuliwa na gari la Polisi lakini amezunguka vituoni na hospitali hajampata

    Kupitia ripoti ya DW ikimuhoji Mama kwa jina Elizabeth Makule, ameelezea namna mwanae alichukuliwa na gari la Polisi ikiwa baada ya kupigwa risasi mguuni katika vurugu zilizotokea Oktoba 29, Mama huyo amesema tayari amefika katika vituo mbalimbali vya Polisi na hospitali lakini hajamuona mwanae...
  19. baz kaiza

    Watoto wetu mmewapa kesi za Uhaini wakati wa kwenu wanatembelea kila aina ya Gari ya kifahari

    Watoto wetu waliokua wanapambania kesho yao dhidi ya mfumo kandamizi mmewapa kesi za uhaini wakati wa kwenu wanatembelea kila aina ya gari ya kifahari sawa sisi tunaendelea kuona mwisho wenu utakuaje hakuna lenye mwanzo likakosa mwisho
  20. Mad Max

    Aliyeleta wazo la kodi ya “HIV Response Levy” unapoagiza gari, apate Pangusa kidudu kikatike!

    Kuongeza Laki 1 kwenye kila gari kuchangia ishu za Ukimwi naona kabisa ni kuongezeana mizigo isio na ulazima kwa Watanzania. Kuongeza Elfu 50 kwa EV na Laki 1 kwa magari ya kawaida na 200 kwa cc2500 kwenda juu ni unyonyaji. Kua na gari Tanzania ni anasa.
Back
Top Bottom