Je kuna utofauti gani kati ya adui na mpinzani ?.
Adui- huyu yeye hawezi Ku-expose mipango yake katika kadamnasi
Mpinzani - huyu anakupinga waziwazi kwa kukuonesha kuwa hiki sio au Ana-ku outshine .
Kosa alilofanya JPM naona limejirudia tena .
Jpm ali offend the wrong enemy , Alimshambulia...