game

  1. TTCC_TECNO

    JamiiForums Tanzania Youth are technology game changers

    Youths are the technology game changers. They're creative and skilled with digital tools, making big changes in industries and society. With technology and global connections, they're breaking old rules, creating new ideas, and changing how things work in many areas. The power of young people...
  2. Da'Vinci

    JamiiForums Tanzania Wanaifananisha Shogun na Game Of Thrones

    Tokugawa Shogunate... Kuna haka ka-Miniseries kametoka kwenye Chanel ya FX, watu mitandaoni wamekua wakiifananisha au kusema kwamba imezidi ubora GOT. Binafsi nimeitazama hii series nakubali Writing, Cinematography, Culture depiction na Acting ni ya hali ya juu. Yaani ukikaangali haka kaseries...
  3. Lenin23

    JamiiForums Tanzania Mwisho wa Game of Thrones umenivunja moyo sana. Kwanini iishe hivi jamani?

    Kwa wale ambao you've been watching this show I don't know why the end broke my heart so bad inshort nimejisikia vibaya sana🥺😭 why the show had to end like that, why lakini🥺🥺🥺🥺🥺
  4. 2 of Amerikaz most wanted

    JamiiForums Tanzania Kanye West calls out Kai Cenat and tells him not to joke about his clothes

    RAP
  5. 2 of Amerikaz most wanted

    JamiiForums Tanzania Squid Game Actor Oh Youngsoo has been found guilty of sexual assault

    Sentenced to 8 months of prison, 2 years of probation and 40 hours of sexual violence education. actor Oh Young-soo has been found guilty of indecent assault in a South Korean court. The 79-year-old Netflix star became internationally recognisable in 2021 when he played the “Old Man”, Oh...
  6. Frank Wanjiru

    JamiiForums Tanzania Best Action TV Series

    1. Reacher (2022–Till date) 2. Percy Jackson and the Olympians (2023–Till date) 3. What If...? (2021–Till date) 4. Game of Thrones (2011–2019) 5. Monarch: Legacy of Monsters (2023–Till date) 6. Berlin (2023–Till date) 7. Obliterated (2023) 8. Jujutsu Kaisen (2020–Till date) 9. The Boys...
  7. blogger

    JamiiForums Tanzania Kwanini kuna Wasanii hawadimu kwenye game na ni wakali sana.!?

    Je ! Ni Management zao.. Ni Fedha.. Ni kutotoa hongo ktk Media Industry!? Mawazo yako mengi sana. Najua nawe una mawazo yako.. Kwa Mfano. Benson ni nini kilimfanya asiendelee kuwa msaniii mkali kabisa!? . Au huyu LodyMusic.. kwanini wanakuja na kuondoka.. pure talents. Embu tuwasikilize hapa...
  8. Teslarati

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mchepuko wangu wa kidigo aliweka huu wimbo baada ya game ikabidi tufute matokeo tuanze mechi upya

    Huyu msanii anaitwa yammi mpelekeeni mauwa yake kutoka kwangu. Nilikua kwa mchepuko, baada ya game nimeenda kuoga yeye anarekebisha mambo si akaweka huu wimbo, nikawasha shazam ikaudaka unaitwa kiuno https://m.youtube.com/watch?v=TbSuWP0taQw&pp=ygUGWWFtbWkg Mtoto alikua kavaa kanga tu...
  9. Tanki

    JamiiForums Tanzania Msaada kwenye tuta: Nawezaje kucheza game ya kwenye simu yangu kupitia smart tv yangu

    Wakuu, Nina Smart tv hapa inch 32 ( Alitop ). Naomba kuelekezwa jinsi ya ku-connect simu na tv Ili nicheze game kwenye simu ila display ionyeshe kwenye tv. NOTE: Tv ni Alitop , simu ni Infinix hot 20i
  10. Scars

    JamiiForums Tanzania Mechi ya kirafiki: Al Nassr 6-0 Inter Miami dakika ya 90 game on

    Messi kaingia dakika ya 83 wakati Ronaldo yupo jukwaani akiikosa mechi kwasababu ya majeraha. Je hii inathibitisha kauli ya Ronaldo aliyoitoa siku za hivi karibuni kuhusu ubora wa ligi yao? Na wale waliokuwa wanasema Saudia kuna hela hakuna mpira nadhani leo tumepata majibu
  11. T

    JamiiForums Tanzania Politics is a strategic minds set- game; upinzani unatakiwa uwe na watu wenye high level ya intelligence na uzoefu wa manipulative strategies

    Yes, politics is a strategic minds set- game; playing around the mind set of the target audience. The strategy is to capitalize on the weakness (udhaifu na ujinga), njaa, shida na manyanyaso ya target audience; hata kama baadhi ya vitu hivyo ni wewe umevisababisha, once you win their mind set...
  12. G

    JamiiForums Tanzania Kutengeneza Dola mtandaoni: Ni kweli kuna Watanzania wanapiga kazi zenye mkwanja online na wamefanya ziwe ajira rasmi?

    Hapa sizungumzi kazi za kijanja janja unaotea kwa muda mchache unapiga dola kadhaa alafu baada ya hapo mchongo unakuwa ushachuja unaanza upya kujitafuta kwengine, nazungumzia kazi iwe ya uhakika kiasi kwamba kuna watu wamezigeuza ziwe ajira rasmi wanazifanya hata kwa miaka mitatu +. kazi ziwe...
  13. Intelligent businessman

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Be carefull at your peak, life isn't a nintendo game

    Maisha ni safari ndefu, kila mmoja ana namna au njia ambayo huitumia kufika aendako. Ila katika maisha haya, kila mmoja ana wakati ambao hukiri kuwa Kuna kitu kime mkubali. 👉Waswahili Wana sema kupatia, aidha iwe kazi, masomo, michezo, ndoa na hata biashara. Katika nyakati hizo uta jiona wewe...
  14. Kijana LOGICS

    JamiiForums Tanzania Mechi za AFCON game ikimuhusisha mwarabu na mwafrica mweusi haya ndo yanaendelea kwenye vibanda umiza Tanzania

    Hizi mechi za AFCON hua naangaliaa kwenye vibanda umiza kwa sababu ya vibe la mashabiki. Mechi ikimuhusisha mwarabu na MTU mweusi mwarabu ni anatukwana sana n'a MTU mweusi. Yani Maneno yavuka mipaka unakua ni uhasama Utani n'a Maneno ya kishabiki yanawekwa pembeni then mwarabu anatukwana...
  15. bahati93

    JamiiForums Tanzania Tahadhari: Harmo usije logwa kulazimisha game kwa Posh

    Wanajamii, Kwa darubini kali niliyonayo nimechungulia yanayoweza kujiri siku za usoni kwenye penzi jipya hapa mujini, penzi kati ya Harmonizer na mwanadada Posho Queen. Nachoweza kusema faster ni kwamba mwamba aende kwa tahadhari sana kwani kuna mashimo mengine ukiingiza kichwa chini unakuta...
  16. Suley2019

    JamiiForums Tanzania FT: Singida FG 1 - 1 Simba (PNT: 2 - 3) | Mapinduzi Cup Semi Final | Amani Complex | 10.01.2024

    Leo saa 2:15 usiku ni Singida Fountain Gate dhidi ya Simba SC katika mtanange wa nusu fainali ya Kombe la Mapinduzi itakayopigwa leo 10.01.2024. Tayari timu ya Mlandege kutokea Zanzibar imeshatangulia fainali. Je, unaipa nafasi timu gani kuifata Mlandege? Kikosi cha Simba kinachoanza Kikosi...
  17. Ricky Blair

    JamiiForums Tanzania Naweza kuingia Selous Game Reserve kutokea Ruvuma bila kurudi Lindi?

    Eti, siwezi kuingia Selous Game Reserve kutokea Ruvuma mpaka nirudi Lindi?
  18. Mufti kuku The Infinity

    JamiiForums Tanzania Tukio gani lilikuhuzunisha zaidi kwenye Series ya Game of thrones (GoT)?

    Kwangu mimi ni the red wedding (episode ya the rains of castamere) pamoja na kifo cha Hodor..... Naliaga kabisa kwenye hizi scenes 😭😭 The red wedding 💔
  19. M

    JamiiForums Tanzania Kuahirisha game ya Al Ahly Vs Belouizdad kuna namna?

    Nimeona bandiko kuwa mchezo huo umeahirishwa, sijajua ni kwa muda gani na ni kwanini. Isije kuwa ni fitina za waarabu wanataka kusubiria mchozo wa Yanga na Medeama ili wajipange naona ya kusaidiana. Nimewaza tu
  20. The Boss

    JamiiForums Tanzania Games popular kwenye simu... unacheza game ipi?

    Natamani kujua game ambazo zina ongoza kupendwa na watumiaji wa simu za mkononi Tz... Una game zipi kwenye simu yako?
Back
Top Bottom