football

  1. Planet Data bundles

    Wakuu hii Tigana football academy ni ya kuaminika (Dar es salaam)

    Nina kijana wangu anapenda mambo ya mpira sasa nimeunganishwa na hii football academy ya Tigana Kawe Dar.Ila sikuwai kuisikia hapo mwanzo. Kwa wazoefu Je n ya kuaminika?
  2. K

    FOOTBALL STREAMS EVERY GAMEDAY LINK UPDATE (1080P-4K)

    For the love of football kila siku ntakuwa natoa link za game za mpira wa miguu stream ni 4K tu kwa wenye Bandwith kubwa au Fiber March 18 Uefa champions league Liver Vs Galatasaray live atalanta vs Bayern live atletico vs spurs live Lets Gooo NB wenye bandwith ndogo chimbo ni CAMEL TV...
  3. Orketeemi

    Wataalamu wa football betting

    Wazee wa mikeka habari. Nimekaa nimewaza kinachofanya mikeka ichanike sana mara nyingi ni tamaa za Karia (Odds 10+) Naomba kujua kwa wazoefu. Nina plann ya kuwa na mtaji wangu wa milioni mbili. Lengo niwe nafukuzia faida ya elfu 50 kwa siku hasa kwa live game isiyozidi odd 1.03 au live game...
  4. Hujaza Kibaba

    Modern taste of Football Analysis | Uchambuzi wa soka wenye ladha ya kisasa Burudani iliyoje

    Familia ya mpira⚽️ karibuni kwenye channel yetu ya whatsapp kwa maudhui ya kipekee kwa lugha ya kiswahili Taarifa za mechi lini anacheza nani matokeo yamekuaje unaweza kupata popote ila taarifa zenye ladha na shule nyingi ndani yake ndugu zangu wa football ni hapa🙇 Kipindi hiki cha...
  5. PLOII

    AFRIKA MASHARIKI WE LACK FOOTBALL CIVILIZATION, COURTESY & COMMON PRINCIPLES; goli la tatu na la ushindi kwa Morocco ni tafsiri ya perfect brain.

    Happy Sunday Wana JF, Sina maneno mengi nadhani Wana sports fainali tulitazama wote iliyofanyikia pale Kenya. Nilishawahi kusema Morocco ni football brain na Jana wameonyesha hicho kitu, nawaza tu kwa wachezaji wetu nani angewaza ku- shoot vile ( out of sarcasm). Tuna Cha kujifunza kutoka kwa...
  6. PLOII

    Morocco Deserved , the Football Brain na Ndio Bingwa Mpya CHAN2024

    Habari wadau, Nimeangalia game ya Senegal Vs Morocco kiukweli Hawa jamaa wanajua ball , Wana utulivu wa kutosha. Nimeamini Kuna uhusiano wa njaa/umasikini na Wenge, wachezaji wetu Wana Wenge sana sababu ni malezi ya njaa Kali mfano mzuri Kibu D, Clement Mzize Hawa jamaa Wana Wenge...
  7. PLOII

    Stars imemaliza mwendo taifa limepoteza; Morocco ni Football Brain tugange yajayo, Asanteni Watanzania kwa Sapoti kwa timu yenu

    Kwenye Mada moja kwa moja, Tukubali kuwa kilichotokea leo ni matumizi ya Brain, tukubali tukutae matumizi ya Brain kwa wachezaji wetu ni KIDOGO sana mfano Coach unamtoa Kagoma anaingia SAADUNI (hana anachoweza) badala yake katikati panapwaya ~ Morocco wanasogea kirahisi bila pressure. Clement...
  8. MkuuXyz

    Jamani kuna Wakenya hapa tujadili football kidogo

    Sijukama niandike kwa English au Kiswahili anyways, nadhani niende Kikongoman , Hivi Majirani wa Kenya Mpo hapa nataka tuzungumze masuala na Mupira kidogo, Maana sisi wa Tanzania Hatujuagi Mpira tunataka nyie wataalam wa Mupira mtufunze kidogo, ili tukikutana kwenye fainali Tuweze Kukudinyeni...
  9. DAGAA WA BUKU

    Football unites in

    Kwa kutokea msiba wa Diogo jota aliyekuwa ni mchezaji wa Liverpool nimeamini kwamba huu mchezo unaunganisha watu wengi sana huu mchezo unachukua nafasi kubwa kwenye maish
  10. DAGAA WA BUKU

    Football unites people

    Jota kafanya niamini kuwa football au aina yeyote wa mchezo inaunganisha watu michezo inachukua nafasi kubwa sana katika maisha yetu
  11. Frank Wanjiru

    Anaandika Micky Jnr African football Journalist

    🔥 27 wins out of 30 games! 🤩 Unreal numbers in a competitive league like the NBC Premier League. 👏 You have to give credit where it’s due — Yanga SC delivered an incredible season. From the top down, massive respect to President Eng. Hersi Said, the technical team, and the entire squad for...
  12. DELETED ACCOUNT

    Uzi maalumu wa kuuliza swali lolote kuhusu football ulilokuwa unaogopa au unaona aibu kuuliza

    Huu uzi ni uzi wa kufunguka kuhusu mambo yanayohusu football ambayo umekuwa unajiuliza mwenyewe kichwani bila kupata majibu na umekuwa unaogopa au unaona aibu kuuliza wengine ili wasije kukuone mjinga au hauna ufahamu na football. Kwenye uzi huu hakuna mjinga wala mjuaji. Uliza chochote na...
  13. MwananchiOG

    Football business, Simba imepata hasara kubwa kufikia fainali shirikisho kuliko isingeshiriki kabisa

    Bingwa wa shirikisho hupata 2 million USD, ila cha kushangaza gharama za motivation, bahasha na nguvu kubwa aliyoitumia Bwn Kanji ili tu kuiprove wrong Young africans inafikia zaidi ya 5 million USD. Tetesi kutoka vyanzo vya kuaminika vinadai Bwana Kanji ameapa kurejesha pesa zake kwa namna...
  14. ngara23

    Football ya wanawake sio lazima wacheze ma tom boys

    Huu ushamba unaenea Tanzania hasa kwenye football ya wanawake, Hawa mabinti wanaocheza Mpira wa miguu hujigeuza ma tom boy Hii tabia inatutia mashaka sisi wazazi kuwaruhusu mabinti zetu wakacheze soccer, tuna wasiwasi kukengeuka kimaadili na kuwa madume jike ( tom boys) Ni tabia ya kipumbavu...
  15. Dalton elijah

    Crystal Palace Football Club ndio Mabingwa wa kombe la #FA.

    Hatimaye kwa mara ya kwanza hii leo klabu ya Crystal Palace imefanikiwa kushinda taji lake kubwa la kwanza baada ya miaka 119 ya msoto kupita tangu klabu hiyo ianzishwe. Crystal Palace imetwaa taji hilo la FA baada ya kuibuka na ushindi wa bao 1-0 dhidi ya klabu ya Manchester City. Ushindi huu...
  16. Kindred Spirit

    Football: Swali la Uelewa

    Nakuwaga tu curious na kujifunza vitu randomly. Hivi karibuni nimekuwa nikijiulaza nani anahusika na kuwavalisha marefa wa mpira wa miguu? Nimefanya quick search lakini naona tu habari za brand zinazozalisha hizi nguo zao, but nani analipia?, zinakuwa wapi? Nani anahakikisha kila mmoja ana nguo...
  17. Prof_Adventure_guide

    FIC football investment walitufisadi na kukimbia! Leo ndo siku yao – watu wakubwa watajwe, tunataka haki!

    Yaani mazee, hii ishu ya FIC FOOTBALL INVESTMENT ni kama sinema ya ki-HOLLYWOOD lakini ya kibongo – ile ya kina scammers wakivaa suti, wanakuja na maneno matamu, wanakuchanganya hadi unawekeza mkwanja wako, alafu wanakimbia bila hata kusema good bye. Damn! Tulikumbuka LBL (Local Business Links)...
  18. K

    Football jersey designer

    Habar za humu ndani,natumai ni wazima wa afya. Mimi ni kijana wa miaka 22 nimebahatika kufika chuo,saiz nipo mwaka wa pili. Nilikua ninawazo la kuwa mbunifu wa jezi za mpira wa miguu katika sekta ya michezo hapa Tanzania. Naomba mchango wenu nianzie wapi wakubwa.
  19. T

    World Football Summit

    https://youtu.be/A3uJArSYTbo?si=UMUREQTR3RnvTtiy
  20. sergio 5

    Unafiki sio jadi yangu Samatta Mbwana ndiyo best football player ever in Tanzania history na huenda asijekutokea kama yeye

    Ana mataji kadhaa ya champion league Africa CAF TUZO YA MCHEZAJI BORA WA NDANI AFRICA Mfungaji Bora wa CAF Kucheza team kadhaa ulaya Best in scoring,dribling skill , shooting nk Hakika uyu mtu tumsifie kabla hajafariki Kipaji haswa
Back
Top Bottom