fedha

  1. JamiiForums Tanzania Serikali itoe maelekezo ya fedha za uchaguzi zilizobaki kwenye Halmashauri, naona huku vimeanza

    Kwanza nawashukuru wananchi na wasimamizi kwa namna moja au nyingine walioshiriki kuokoa fedha hizi. Nitakuwa mchoyo wa fadhira nisiposema asante Halmashauri zilipokea fedha nyingi kwa ajiri ya uendeshaji wa uchaguzi, karibu halmashauri zote zimetumia nusu tu ya fedha zilizopelekwa, kwa sababu...
  2. JamiiForums Tanzania Waziri wa fedha: Matumizi ya Serikali kuongezeka katika bajeti ijayo

    Matumizi ya Serikali yanakadiriwa kuongezeka kutoka Sh33.105 trilioni ya mwaka wa fedha 2019/2020 hadi Sh34.360 trilioni kwa mwaka wa fedha 2020/2021. Hayo yamesemwa na Waziri wa Fedha na Mipango, Dk Philip Mpango wakati akiwasilisha Mapendekezo ya Mpango wa Bajeti kwa mwaka wa fedha 2020/2021...
  3. JamiiForums Tanzania Yaliyojiri Ikulu Dar: Rais Magufuli amtaka CAG Kichere kutojifanya Muhimili mwingine, amwambia anaweza kuondolewa hata akiwa na mwaka mmoja

    Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli, leo Novemba 4, 2019 kuanzia majira ya saa tatu na nusu (3:30) asubuhi atawaapisha viongozi mbalimbali aliowateua hivi karibuni Wanaoapishwa ni pamoja na; 1. Charles Edward Kichere kuwa Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za...
  4. B

    JamiiForums Tanzania Siasa ya rushwa, utajili wa FEDHA na maudhui ya kutovunja misingi ya Maisha ya MTU mwingine

    Hakika kila mwanadamu anapenda kuishi MAISHA ambayo yanamipango ndani yake kuanzia level ya kuwa pekeyako. Tumeshuhudia watoa huduma wengi wakitekeleza maneno ya mwalimu Nyerere Kwa vitendo ikiwemo Ubepari, kutoa na kupoke rushwa, kuwa na vyumba vya Kipanya Kwa ajili ya kuzuia na kucontrol...
  5. JamiiForums Tanzania 'Moto wawababua' wezi wa fedha za wakulima wa ufuta wawafikia na kuwatesa wezi wa fedha za wakulima wa Korosho

    Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa( TAKUKURU) mkoani Lindi imeanza kuwabana viongozi wa vyama vya msingi vya ushirika ( AMCOS) ambao vyama vyao havijawalipa wakulima wa Korosho. Budi alisema wakulima wa korosho ambao hawajalipwa fedha zao wameanza kujitokeza na kulalamika baada ya kusikia...
  6. JamiiForums Tanzania Kwanini baadhi ya wanasheria hujiondoa katikati ya kesi huku akiwa ameshachukua fedha mtuhumiwa

    Huwa najiuliza kwanini huwa wanajiondoa katikati ya kesi huku wakiwa wameshachukua fedha za mtuhumiwa au mlalamikaji? huwa nina maswali kadhaa 1. Je, wanakuwa wameona kuwa hawatashinda keshi hivyo huwalazimu kujitoa ili wasionekane baadhi ya kesi huwa wanashindwa? 2.Je, huwa wanaendelea...
  7. JamiiForums Tanzania 'Moto wawababua' wezi wa fedha za wakulima wa ufuta wawafikia na kuwatesa wezi wa fedha za wakulima wa Korosho

    Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa( TAKUKURU) mkoani Lindi imeanza kuwabana viongozi wa vyama vya msingi vya ushirika ( AMCOS) ambao vyama vyao havijawalipa wakulima wa Korosho. Budi alisema wakulima wa korosho ambao hawajalipwa fedha zao wameanza kujitokeza na kulalamika baada ya kusikia...
  8. JamiiForums Tanzania Rais Magufuli aagiza Tsh. Bilioni 40 zitumike kulipa madeni ya Wakulima wa Korosho baada ya Serikali kununu Korosho hizo

    Rais Magufuli ameiagiza Wizara ya Fedha na Mipango kutoa Tsh. Bilioni 40 ili kumalizia madeni yote ya Wakulima wa Korosho yaliyobaki baada ya Serikali kununua korosho hao katika msimu wa mwaka 2018/19 Ametoa maagizo hayo leo alipokutana na viongozi wa Wizara, Mikoa, Wilaya na Taasisi za...
  9. J

    JamiiForums Tanzania Waziri anaomba fedha kwa wabunge na mkuu wa mkoa anaomba fedha za maendeleo kwa Rais sijaelewa hii imekaaje?

    Mara nyingi nimeshuhudia mawaziri wakiwabembeleza wabunge wawapatie fedha za maendeleo kwa kuzipitisha bajeti zao ndani ya bunge zima Lakini pia kuna wakati huwa nawaona wabunge wakimuomba Rais awajengee ama barabara, hospitali nk.....na hii niliishuhudia juzikati kwa Nape kule Mtama na hata...
  10. JamiiForums Tanzania Wakamatwa kwa kufanya biashara ya kubadili fedha bila leseni

    Polisi Mkoani Mbeya inawashikilia watu 14 kwa tuhuma za kujihusisha na biashara ya kubadilisha fedha za kigeni bila kuwa na leseni kutoka Benki Kuu (BoT) kwenye mpaka wa Tanzania na Malawi, Kasumulu Wilayani Kyela Kamanda wa Polisi wa Mkoa, Eurich Matei, amesema watuhumiwa hao walikamatwa jana...
  11. JamiiForums Tanzania DC wa Hai, Ole Sabaya aingia kati na kumnasa mtu na noti bandia za milioni 13

    Wadau. Unaweza kusema kuwa haijapata Kutokea. DC wa Hai Mhesh Ole Sabaya ameamua kuingia front na kufanikiwa kumnasa live Kigogo na Mkazi Bomang'ombe Wilayani Hai amna noti bandia zenye thamani ya Shilingi Milion 13. Uongozi wa Vitendo. Hongera Mhesh Sabaya. ---- Mkuu Wa wilaya ya Hai...
  12. JamiiForums Tanzania Kwanini ofisi ya DPP wanatuona Watanzania ni wajinga na Vilaza? Huyo mwizi kaibaje computer kwenye ulinzi wa CCTV na jeshi lenye SMG & AK47

    WATANZANIA SIO WAJINGA KIASI HIKI Leo vyombo vya habari vimeripoti kwamba Computer za ofisi ya DPP tena zenye nyaraka za kumbukumbu za waliolipa fedha za uhujumu uchumi na nyaraka nyingine zikiwemo za mienendo ya mashtaka ya kesi za uhujumu zimeibwa. Huu ni zaidi ya ukoo wa panya. Huwezi...
  13. JamiiForums Tanzania Mambo Haya Kumi (10) Usiyojua Kuhusu Fedha Ndiyo Yanakufanya Uendelee Kuwa Masikini.

    Rafiki yangu mpendwa, Tangu tunazaliwa mpaka tunakuwa watu wazima, kuna vitu vingi sana ambavyo tunafundishwa kwenye familia, kwenye jamii, shuleni na hata kwenye kazi au biashara. Tunafundishwa jinsi ya kwenda vizuri na watu wengine, jinsi ya kufanya kazi au biashara zetu na umuhimu wa...
  14. JamiiForums Tanzania INAUZWA unataka kuwa na ngozi nyororo yenye mvuto na yenye unyevu?

    imarisha mwonekano wako na fufua uzuri wako kila mtu anangozi nzuri na yenye kuvutia kwa namna yake lakini kuna mambo yanayo fanya tufubae ngozi zetu zisiwe nzuri kama inavyo takiwa na haya husababishwa na mazingira. tsh9000tu. kama vile kutokwa na chunusi kutokwa na utangotango kuwashwa...
  15. JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wadada muwe waaminifu mnapoazima fedha toka kwetu wanaume

    Habari za wakati huu wakuu, Kama kichwa kinavyojieleza, natoa rai kwa wadada (wanawake) wote kwamba mnapoazima fedha kwa marafiki zenu wa kiume, muwe waaminifu katika urejeshaji. Kuna dada mmoja ambaye ni colleague wangu kazini, majuzi mida ya saa tano usiku nikashangaa...
  16. JamiiForums Tanzania Mabasi ya utalii yatua Dar, mabilioni ya fedha yatengwa

    Halmashauri ya jiji la Dar es Salaam imepitisha Sh75 bilioni za bajeti kwa mwaka 2018/2019 huku kipaumbele kikiwekwa kwenye utalii. Kati ya fedha hizo, Sh65 bilioni ni za maendeleo ambazo zitahusisha miradi mbalimbali ikiwemo ujenzi wa kituo cha mabasi Mbezi Louis, madarasa na vibanda vidogo...
  17. JamiiForums Tanzania Matumizi mabaya ya fedha ni adui wa mafanikio

    Pesa hii ina majina mengi hii ni kutokana na mahali husika wapo wanaita pesa ni sadaka, nauli, zaka, fungu la kumi, Ada, kodi na majina mengine mengi. pesa hiyo ndiyo ambayo hujenga mtafauruku baina ya mtu mmoja na mwingine. Pesa hiyo hiyo tunaimbiwa haina undungu kabisa biana ya mtu mmoja na...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…