DC wa Hai, Ole Sabaya aingia kati na kumnasa mtu na noti bandia za milioni 13

Boniphace Kichonge

JF-Expert Member
Jul 31, 2017
1,606
1,956
Wadau.
Unaweza kusema kuwa haijapata Kutokea.
DC wa Hai Mhesh Ole Sabaya ameamua kuingia front na kufanikiwa kumnasa live Kigogo na Mkazi Bomang'ombe Wilayani Hai amna noti bandia zenye thamani ya Shilingi Milion 13.
Uongozi wa Vitendo.
Hongera Mhesh Sabaya.

----
Mkuu Wa wilaya ya Hai, Lengai Ole Sabaya amemkamata kijana Richard Mtui Mwenye Mtandao Wa Fedha bandia akiwa na fedha bandia kiasi cha shilingi Million 11 kati ya Million 60 ambazo zilikua zikisambazwa katika Maduka ya Fedha katika Mji Wa Boma Gombe.

Sabaya amegundua Mtandao huo Mara baada ya kumwekea Mtego kwa Richard kwa muda Wa wiki mbili Mara baada ya kupata taarifa za wananchi kutapeliwa na kupewa Fedha bandia.

Sabaya amesema mchezo huo Wa kubadilisha Fedha bandia kwa Fedha halali katika Wilaya Hai umekua ukishika kasi na baadae kulifanyia kazi kwa kushirikiana na kamati ya ulinzi na usalama.

Amesema kwamba Richard amekua akifika katika Maduka ya Mpesa na kuweka Fedha bandia kwa mawakala na kuondoka na Fedha alali na tayari wamesha sambaza kiasi cha shilingi Million 60 katika mji Mdogo Wa Boma Gombe Wilayani hapo

Mkuu huyo Wa Wilaya amemtaka Ocd kuakikisha mara baada ya mtuhumiwa huyo kukamatwa na kufanyiwa maojiano ya kina anataja mtandao wote ambao amekua akishirikiana nao kutapeli wananchi katika Mikoa ya Kilimanjaro, Arusha wanakatwa.

Amewataka mawakala wote Mara baada ya kupatikana kwa mtandao huo kufika Ofisini kwake kuwatambua na baadae hatua za kisheria zichukuliwe ikiwa ni pamoja na kutambua Fedha walizo tapeliwa .

Richard amekua akisambaza Fedha bandia kwa shilingi Million 1 amekua akilipwa shilingi laki 3 wakifanikiwa kusambaza kwa mawakala uduma za kuweka na kutoa Fedha

Ataivyo Mtuhimiwa uyo Amekiri kujiusisha na biashara ya Fedha bandia akisema kwamba amepewa kusambasa na boss wake awwze kujipatia kipato
 
Wadau.
Unaweza kusema kuwa haijapata Kutokea.
DC wa Hai Mhesh Ole Sabaya ameamua kuingia front na kufanikiwa kumnasa live Kigogo na Mkazi Bomang'ombe Wilayani Hai amna noti bandia zenye thamani ya Shilingi Milion 13.
Uongozi wa Vitendo.
Hongera Mhesh Sabaya.
Duh! Ulivyoiandika mwamzo nimekurupuka kuisoma nikidhani kamnasa Kigogo2014 wa Twitter mnyooshage maneno
 
Wadau.
Unaweza kusema kuwa haijapata Kutokea.
DC wa Hai Mhesh Ole Sabaya ameamua kuingia front na kufanikiwa kumnasa live Kigogo na Mkazi Bomang'ombe Wilayani Hai amna noti bandia zenye thamani ya Shilingi Milion 13.
Uongozi wa Vitendo.
Hongera Mhesh Sabaya.
Ukamataji ni process ndefu yenye taaluma vinginevyo ni KUKURUPUKA na kushindwa kujenga kesi ambayo mwisho wake iwe na ushindi.

Acha kutoa pongezi za kisiasa kwenye jinai.
 
Mkuu Wa wilaya ya Hai Lengai Ole Sabaya amemkamata kijana Richard Mtui Mwenye Mtandao Wa Fedha bandia akiwa na fedha bandia kiasi cha shilingi Million 11 kati ya Million 60 ambazo zilikua zikisambazwa katika Maduka ya Fedha katika Mji Wa Boma Gombe.

Sabaya amegundua Mtandao huo Mara baada ya kumwekea Mtego kwa Richard kwa muda Wa wiki mbili Mara baada ya kupata taarifa za wananchi kutapeliwa na kupewa Fedha bandia.

Sabaya amesema mchezo huo Wa kubadilisha Fedha bandia kwa Fedha halali katika Wilaya Hai umekua ukishika kasi na baadae kulifanyia kazi kwa kushirikiana na kamati ya ulinzi na usalama.

Amesema kwamba Richard amekua akifika katika Maduka ya Mpesa na kuweka Fedha bandia kwa mawakala na kuondoka na Fedha alali na tayari wamesha sambaza kiasi cha shilingi Million 60 katika mji Mdogo Wa Boma Gombe Wilayani hapo

Mkuu huyo Wa Wilaya amemtaka Ocd kuakikisha mara baada ya mtuhumiwa huyo kukamatwa na kufanyiwa maojiano ya kina anataja mtandao wote ambao amekua akishirikiana nao kutapeli wananchi katika Mikoa ya Kilimanjaro, Arusha wanakatwa.

Amewataka mawakala wote Mara baada ya kupatikana kwa mtandao huo kufika Ofisini kwake kuwatambua na baadae hatua za kisheria zichukuliwe ikiwa ni pamoja na kutambua Fedha walizo tapeliwa .

Richard amekua akisambaza Fedha bandia kwa shilingi Million 1 amekua akilipwa shilingi laki 3 wakifanikiwa kusambaza kwa mawakala uduma za kuweka na kutoa Fedha

Ataivyo Mtuhimiwa uyo Amekiri kujiusisha na biashara ya Fedha bandia akisema kwamba amepewa kusambasa na boss wake awwze kujipatia kipato
IMG-20191020-WA0003.jpeg
 
Mkuu Wa wilaya ya Hai Lengai Ole Sabaya amemkamata kijana Richard Mtui Mwenye Mtandao Wa Fedha bandia akiwa na fedha bandia kiasi cha shilingi Million 11 kati ya Million 60 ambazo zilikua zikisambazwa katika Maduka ya Fedha katika Mji Wa Boma Gombe.

Sabaya amegundua Mtandao huo Mara baada ya kumwekea Mtego kwa Richard kwa muda Wa wiki mbili Mara baada ya kupata taarifa za wananchi kutapeliwa na kupewa Fedha bandia.

Sabaya amesema mchezo huo Wa kubadilisha Fedha bandia kwa Fedha halali katika Wilaya Hai umekua ukishika kasi na baadae kulifanyia kazi kwa kushirikiana na kamati ya ulinzi na usalama.

Amesema kwamba Richard amekua akifika katika Maduka ya Mpesa na kuweka Fedha bandia kwa mawakala na kuondoka na Fedha alali na tayari wamesha sambaza kiasi cha shilingi Million 60 katika mji Mdogo Wa Boma Gombe Wilayani hapo

Mkuu huyo Wa Wilaya amemtaka Ocd kuakikisha mara baada ya mtuhumiwa huyo kukamatwa na kufanyiwa maojiano ya kina anataja mtandao wote ambao amekua akishirikiana nao kutapeli wananchi katika Mikoa ya Kilimanjaro, Arusha wanakatwa.

Amewataka mawakala wote Mara baada ya kupatikana kwa mtandao huo kufika Ofisini kwake kuwatambua na baadae hatua za kisheria zichukuliwe ikiwa ni pamoja na kutambua Fedha walizo tapeliwa .

Richard amekua akisambaza Fedha bandia kwa shilingi Million 1 amekua akilipwa shilingi laki 3 wakifanikiwa kusambaza kwa mawakala uduma za kuweka na kutoa Fedha

Ataivyo Mtuhimiwa uyo Amekiri kujiusisha na biashara ya Fedha bandia akisema kwamba amepewa kusambasa na boss wake awwze kujipatia kipato View attachment 1239133
...Ina maana Mheshimiwa Sabaya ndiye aliyeenda kufanya hiyo arrest mwenyewe?
Tayari kuna ndivyo sivyo hapo.
Kwa nini hapo hapo asiulize jina la huyo Bosi wa huyo kijana na akalitaja kwenye taarifa yake hii?...na ndiyo imetoka hiyo, hatulisikii tena!
 
Mkuu wa Wilaya ya Hai, Lengai Ole Sabaya amesema fedha bandia za Sh740,000 zimesalimishwa na wananchi na kwamba baada ya siku tatu alizotoa kupita, watakaoshindwa kuzisalimisha watasaidia kuonyesha alipozitengeneza.
 
Alipata intel kwa aliyempa intel, akamkamata mshukiwa na kidhibiti!
Story ikawa nzuri mpaka hapo.

Baadae akaamua kuiharibu story kwa kujua na kunuia au labda kwa kutokujua.
Akaanza kumhoju mtuhumiwa mbele ya Camera na mtuhumiwa akawataja wenzie mbele ya camera.
Saa saba mchana! Waliotajwa sio wajinga kiivyo.
Hawawezi kupatikana kirahisi tena.

Mheshimiwa Lengai Ole Sabaya, ulikuwa na nia kweli ya kutokomeza tatizo au kujipatia umaarufu na kuacha tatizo liendelee.
Mbona sisi tunayaona na kusikia mengi tu na tunaachia vyombo husika vifanye kazi yake?
Msipende sana sifa!
 
Back
Top Bottom