beth
JF-Expert Member
- Aug 19, 2012
- 3,877
- 6,326
Rais Magufuli ameiagiza Wizara ya Fedha na Mipango kutoa Tsh. Bilioni 40 ili kumalizia madeni yote ya Wakulima wa Korosho yaliyobaki baada ya Serikali kununua korosho hao katika msimu wa mwaka 2018/19
Ametoa maagizo hayo leo alipokutana na viongozi wa Wizara, Mikoa, Wilaya na Taasisi za Serikali ambazo zinahusika katika uzalishaji wa mauzo ya zao la Korosho
Pamoja na kuagiza fedha hizo zitoke kesho Novemba 02, amewataka Wakuu wa Mikoa na Wilaya kuhakikisha fedha hio zinawafikia Wakulima na kuhakikisha wanaolipwa ni Wakulima wanaostahili
Aidha, ameelezea kutoridhishwa kwake na utendaji wa Wizara ya Kilimo na viongozi wa Mikoa na Wilaya ambapo katika maeneo yao kumetokea wizi mkubwa wa fedha za Wakulima kupitia Vyama vya Ushirika (AMCOS)
Ametoa maagizo hayo leo alipokutana na viongozi wa Wizara, Mikoa, Wilaya na Taasisi za Serikali ambazo zinahusika katika uzalishaji wa mauzo ya zao la Korosho
Pamoja na kuagiza fedha hizo zitoke kesho Novemba 02, amewataka Wakuu wa Mikoa na Wilaya kuhakikisha fedha hio zinawafikia Wakulima na kuhakikisha wanaolipwa ni Wakulima wanaostahili
Aidha, ameelezea kutoridhishwa kwake na utendaji wa Wizara ya Kilimo na viongozi wa Mikoa na Wilaya ambapo katika maeneo yao kumetokea wizi mkubwa wa fedha za Wakulima kupitia Vyama vya Ushirika (AMCOS)