A fact is an occurrence in the real world. The usual test for a statement of fact is verifiability—that is whether it can be demonstrated to correspond to experience. Standard reference works are often used to check facts. Scientific facts are verified by repeatable careful observation or measurement by experiments or other means.
For example, "This sentence contains words." accurately describes a linguistic fact, and "The sun is a star" accurately describes an astronomical fact. Further, "Abraham Lincoln was the 16th President of the United States" and "Abraham Lincoln was assassinated" both accurately describe historical facts. Generally speaking, facts are independent of belief and of knowledge.
(1) Largest country in Africa by land mass - Algeria 🇩🇿
2) Largest country in Africa by population - Nigeria 🇳🇬
3) Largest movie industry in Africa - Nigeria 🇳🇬
4) Largest democracy in Africa - Nigeria 🇳🇬
5) Richest Black man - Nigerian 🇳🇬
6) Richest African woman - Nigerian 🇳🇬
7) largest...
Katika saikolojia, kauli ya “kila mtu ana kichaa chake”
wewe Fanya observation utaona
Kila mtu ana tabia, fikra, au hisia zisizo za kawaida au tofauti na wengine, hata kama si ugonjwa wa akili.
Inaweza kumaanisha pia kuwa hakuna mtu mkamilifu kiakili
kila mtu ana mapambano yake ya ndani...
afya ya akili
akili
binadamu
ccm
chadema
characters
elimu
facts
jamii forums
jitambue
marco seth
mental
mijadala
mind
new posts
no reform no election
psychology
samiah
tabia
tanzania
trending
ufahamu
ukichaa
Polepole ndiye wa kuaminiwa kwa sasa kuliko kiongozi yeyote wa CCM na au mwanachama na mkereketwa yeyote kote nchini
Kama tu Rais wetu alisema mbele ya wana CCM na Watanzania wote kwamba, uchumi wetu kwa sasa ni mzuri kuwashinda hata wamagharibi na Wamarekani watashindanaje na hoja za polepole...
hamis77 ni baadhi ya great thinkers wachache waliobaki JF
Endelea kushusha nondo ndugu
Kama vile hapo chini naona comments za "unajipongeza mwenyewe"😂😂😂
Let's set feelings aside and go with the facts.
Mtu anakwambia anaoa ili apate mtu wa kumsaidia majukumu hii ni hoja ya kiwaki ambayo inajibiwa kwa swali moja tu wote ambao wapo kwenye ndoa wanasaidiwa majukumu?
Mwingine anasema anaoa ili apunguze uzinzi huu ni unafiki wa kiwango cha juu watu...
Jesus was an Arab so where his apostles, except for Paul (he was Turkish).
Ndio ujue hata historia ya dini wengi humu hamjasoma.
Old testimony ni Arab Tales.
Do your research and argue.
We Africans are just stupid people.
Dini yenyewe hujui, zaidi ya ujinga mtupu.
Kuelewa mzozo wa Israel...
Je WAJUA kuwa MABARA (continents) yote duniani yanaanza na herufi sawa na kumalizika na herufi sawa pia ??
mfano huu hapa :
1. Afrika
2. Asia
3. Ulaya
4. Amerika (Kaskazini)
5. Amerika (kusini)
6. Australia
7. Antaktika
Edit: kasoro bara moja tu la ulaya. Linaloanzia na u.
Kwanini Africa haiwezi kuendelea ni kwa sababu watu wenye akili na uwezo mkubwa kuona kesho hawapendwi na watawala... Why?
Watawala wanapenda chawa na chawa siku zote wanauma Tena wanauma sana na mwishi wanadhoofisha...
Umewahi kaa au kulala sehem Kuna chawa?
Mara zote kwa aina hii ya uongozi...
1. 70% of people like old songs because of the memories attached to them.
2. When a person dies, they have 7 minutes of brain activity left, it's the mind playing back the person's memories in a dream sequence.
3. Psychology says that playing video games makes you more creative.
Most people...
Hatimaye nimemaliza kusoma kitabu cha Erick!
As a scientist, kuna CLAIM na TRUTH. Ili claim iwe truth, ni lazima iwe evidence based, that can be checked and verified by anyone beyond the resoanable doubt.
KITABU cha Erick kimeainisha CLAIMS ambazo hazina data and no one can verify zaidi ya...
Balance of trade - Thamani ya pesa ya bidhaa zinazonunuliwa kutoka Kenya ni kubwa kuliko bidhaa za Tanzania zinazouzwa Kenya, Kwa upeo mdogo wa kielimu watanzania wengi tumekomalia kwenye kuwauzia Mahindi lakini ukichunguza vizuri hapa kwetu kuna bidhaa nyingi sana za Kenya kuanzia kiwi...
IT'S ALL ABOUT FACTS
: Wakati wa kula wazazi wangu walikua wananiambia usiongee wakati unakula, Sikujua kama kauli yao ningeitumia hata kwenye mfumo wangu wa utafutaji....
Hakika usiongee wakati unakula.🤣🤣🤣Funga mdomo ukiwa unakula kimya kimya.
: Jinsi mwanamke aliye kwenye umri wa miaka 30's...
Najua kila mtu ana opinion yake ila tukiamua kusimama na facts wanaume hasa wazinzi na wale wakujichua wanaomwaga oili kila siku, Mshindo moja unatosha.
Wanaostahili kupiga 2, 3 na kuendelea ni wale ambao hawamwagi kila siku, ni kundi la wanaume walio bize na mishe, wanosafiri na hawana...
1. Campaign Length
Canada allows around 50 days for election campaigns, France allows 2 weeks, and Japan allows 12 days. The U.S. has no laws defining campaign length, and campaigns often start 500–600 days before Election Day (the record is 1,194 days)
Discussion Question: Why do you think...
19 Facts You May Not Know About Tanzania:
1.Swahili (Kiswahili) and English are the official languages of Tanzania, with Swahili widely spoken as a lingua franca across the country.
2. Dodoma is the capital city of Tanzania, although Dar es Salaam is the largest city and the economic hub of...
Mambo ya kubishana chuo gani kimeiva, chuo gani kinatoa wanafunzi cream, n.k. huwa yanaishia vyuoni.
Baada ya kumaliza chuo kama huna connection, je chuo ulichosoma kinakuboost upewe kipaumbele kwenye ajira ? chuo ulichosoma kimejaza watu kwenye nafasi za juu wanaoweza kukupigia debe kwenye...
Hizi ni facts sio chuki.....
Wakijiunga mlengo wa Shia, ili wawafurahishe Iran, Yemen, Lebanon watachukiwa au kuuawa na mlengo wa Sunnis wa Misri na Saudi Arabia.
Kinyue chake pia vivyo hivyo, wakijiunga Sunni watachukiwa sana na Iran, Lebanon n.k.
Wakiamua wajiunge Sufi, watachukiwa au kuuawa...