Duh! Umeniacha mkuuAn open university is open for open eyed opened openers
Hamna shule hapo aisee.
Labda kama unataka cheti tu.
Nina Experience: Labda kama unataka kusoma hiyo Degree for 7 years.
Otherwise; Tafuta Chuo kingine Mkuu na uhudhurie classes.
Nini kinafanya shule isiwepoOpen shule hakuna nawakubali kwa unafuu wa ada tu na flexibility
Why sio first degree?Labda usome Masters Ila sio first degree aisee
Hilo ni Ukweli.Nilisikia sikia tu sina uhakika eti Mama naye Ilmu Yake Kaitoa huko huko Kwenye open open openers varsity .! Hivi ni Kweli hajakaa darasani.?
Unaweza kusoma First Degree kupitia WhatsApp Group?Sababu ya kusoma 7 years ni sababu ya chuo au nini
Kwanini??Open shule hakuna nawakubali kwa unafuu wa ada tu na flexibility
😂😂😂Unaweza kusoma First Degree kupitia WhatsApp Group?
Jinsi utakavyojibu hilo swali ndivyo utakavyojua ni kwanini Miaka 7.
Na mimi nasubiri majibu hapa
Ngoja waje kukupa muongozo...