Experience kwa waliosoma Open university degree ya kwanza

Chalz03

Member
Mar 14, 2022
22
19
Kama mada inavyojieleza hapo wakuu, naomba kufahamu uzoefu walopata wale waliopitia mfumo huo wa elimu kupata shahada zenu. Hiyo ikihusisha namna ya kusoma ugumu na wepesi na pia baada ya kumaliza kusoma.
 
Nina Experience: Labda kama unataka kusoma hiyo Degree for 7 years.

Otherwise; Tafuta Chuo kingine Mkuu na uhudhurie classes.
 
Back
Top Bottom