epl

  1. JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kimazingira Arsenal kabebwa ubingwa EPL 2025/26

    Baada ya rejea mbalimbali za matukio ikiwemo penati,faulo na kadi nyekundu katika ligi kuu ya uingereza msimu wa 2025/26. Imebainika kwamba Manchester city walitakiwa kuongoza ligi kwa pointi mbili akifuatiwa na arsenal kabla ya mechi ya mwisho . Matukio mawili muhimu: 1.Dalot alitakiwa kupewa...
  2. JamiiForums Tanzania, JamiiForums Uganda Uganda Discussing "Visit Uganda" English Premier League Jersey Sponsorship, to boost inland Tourism.

    The government is in discussions with several English Premier League clubs over a potential jersey sponsorship arrangement that would see the 'Visit Uganda' brand featured prominently on match kits, in a move aimed at boosting the country’s global tourism visibility. The strategy mirrors...
  3. JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kwa takwimu hizi, Huyu hakustahili kubeba EPL

    Yaan8 ni kipofu Hata mashabiki wake ni vilaza
  4. JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kombe la Arsenal, EPL lapelekwa Kenya, bongo tunafeli wapi?

    Kuelekea juma tatu ambapo, parade Lita happen uingereza jijini London tayari losha Anza kizungushwa nchi tofauti, ambapo limepita Kenya na litaendelea kwingineko sidhani kama bongo litakuja. Jamaa yangu Mmoja kanijuza wakenya wana connection kubwa hapa duniani na ndo mana hawakuhitaji...
  5. JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Leo ndio Mechi za Mwisho za EPL 2025/26: Hakuna Mechi isio na Goli!

    Tunafunga msimu kibabe sana. Kila mechi goli limefungwa, hamna droo ya 0-0 leo. COYG
  6. JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Arsenal Kushinda Ubingwa ni dalili kuwa EPL imeshuka viwango

    Arsenal ni sawa na JKT au TRA! Matusi hayaruhusiwi hapa
  7. JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nani anaefaa kuwa mchezaji bora wa EPL msimu huu? Bruno au Rice?

    Nani anaefaa kuwa mchezaji bora wa EPL msimu huu? Bruno au Rice?
  8. JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Hongera ARSENAL kwa kutwaa Ubingwa wa Premier League 2025/26 baada ya kupita Miaka 22

    Arsenal imetwaa ubingwa wa Premier League 2025/26 baada ya Manchester City kulazimishwa sare ya Goli 1-1 kutoka kwa Bournemouth, matokeo hayo yanamaanisha hakuna timu itakayoweza kufikia alama za Arsenal na zote zikiwa zimesaliwa na mchezo mmoja. Hadi sasa Arsenal ina pointi 82, Man City ni ya...
  9. JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ndoto za Manchester City kuchukua EPL zinayeyuka rasmi leo!

    Leo mapigo makuu mawili, moja Pep hampo nae tena season ijayo na pili, Bournemouth hawafungiki kwao. Ni hayo tu.
  10. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania FT: Manchester United 3-2 Liverpool | EPL | Old Trafford | 3 May 2026

    Macho yote leo yako Manchester United na Liverpool watakapokutana katika dimba la Old Trafford kwenye mchezo wa English Premier League. Huu ni mtanange wa kihistoria wenye ushindani mkubwa, kila timu ikihitaji pointi muhimu ili kujihakikishia nafasi ya tatu na kushiriki mashindano ya Ulaya...
  11. JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Arsenal wakitwaa ubingwa wa EPL haya yatatokea.

    Endapo Arsenal itatwwa ubingwa wa EPL mambo mengi yanaweza kutokea/kubadilika. Haya 👇ni baadhi tu. 1. Paul kagame atakuwa kibonge maana Arsenal ndo club aioendayo duniani. 3. Mashabiki wa manjesta unaited watazidi kukonda japokuwa uwezekano wa wa kumaliza kwenye top four ni mkubwa kwao. 4...
  12. JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Arsenal atachukua EPL kwa tofauti ya Point moja tu Manchester City

    Wakuu Mimi ni mkali wa correct scores kwenye mikeka hata ofsini kwangu wananiita Messi wa mikeka Toka huu mwezi uanze Kuna intuition imekaa ndani yangu ikiniambia kuwa Arsenal atabeba ubingwa wa EPL 2025/2026 kwa tofauti ya Point moja tu niliwahi kumtabiria Leicester city January na...
  13. JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Web zinzorusha epl

    Habari zenu ndugu zangu. Naomba mnitajie web zinazorusha epl maana kulipia dstv imeshakua balaha. Ahsanteni.
  14. JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Full Time: Arsenal 2 - 3 Manchester United | EPL | 25 Januari, 2025

    Mchezo wa Ligi Kuu ya Uingereza kati ya Arsenal na Manchester United umeamalizika kwa ushindi kutoka kwa mashetani wekundu Man United wa goli tatu kwa mbili.
  15. JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Leo Chelsea, Man City na Man U wapo vikaangoni - EPL!

    Ngoja tusubirie Matokeo.
  16. JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Opta Supercomputer imetabili matokeo ya EPL 2025/26 yatakavyoisha!

  17. JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Weekend nyingine tamu EPL. Pale juu wa kututoa bado hajaonekana

    EPL inaendelea kutupa raha, kuna watu mechi nne hawajashinda ata moja. Arsenal kombe letu huu mwaka. Mnao ogopa makelele nunueni ANC earphones.
  18. JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Tetesi: Kuna mtu anadai kuonesha epl na ligi zote kubwa kwa bei ndogo facebook

    Kama picha zinavoonesha hapo anadai kuonesha ligi zote kubwa ulaya kwa bei nafuu tu matangazo yako facebook. Naomba ufafanunuzi kama hii kitu inawezekana anadai king'amuzi kinaitwa premium hd. Kama kuna mtu anafaham hii habari atutoe tongotongo
  19. JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Brentford FC ndio mabingwa wa EPL msimu huu anayebisha tukutane Mei siongei sana

    Mimi ni mshabiki wa Brentford na Liverpool damu msimu huu tunaenda kuchukua epl Kwa wote msioamini haya maneno tukutane may ndio mtaamini the bees au the reds ni mabingwa 2025/ 26 tutawatoa manundu sana msimu huu.
  20. JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania CHAN, Ligi Kuu ya England (EPL), Bundesliga na La Liga: Mechi za moto wikiendi hii

    CHAN: Leo katika dimba la Mandela itapigwa mechi ya mshindi wa tatu kati ya Sudan dhidi ya Senegal Mechi hii itachezwa kuanzia saa 12:00 jioni Jumamosi Fainali ya Mashindano ya Mataifa ya Afrika (CHAN) Madagascar vs Morocco - 🕕 Saa 12:00 jioni Jumamosi Premier League, mechi kubwa mbili...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…