An episode is a narrative unit within a larger dramatic work or documentary production, such as a series intended for radio, television or on-line consumption.
Wakuu, leo tudiscuss kuhusu mfumo mzima wa suspension.
Kwa uzoefu wangu, wengi tukisikia suspension tunachojua ni “shocks” peke yake, kumbe ni mfumo mkubwa unaojumuisha vitu zaidi ya kumi vinavyofanya gari lisitetemeke, liwe stable barabarani na kuzuia vibration isiingie ndani ya cabin...
Wakuu, kwema?
Leo tuongelee hizi Spark plug na coils ambavyo ni vitu vya muhimu sana kwenye gari, na ndiyo zinazoamua kama engine yako irun smooth au rough wakati wa utendaji wa kazi.
Hivi viwili visipobadirishwa kwa wakati, gari linaanza kumiss (ile milio ya puh puh puh), rough hidle...
Wakuu, leo tuongelee machujio ya hewa na mafuta (air filters na fuel filters). Nayo nayaita mwana mpotevu kwasababu kuna watu hawabadirishi miaka nenda miaka rudi.
ENGINE AIR FILTER
Engine air filter inachuja hewa inayoingia kwenye injini kabla ya combustion, ikizuia dust, michanga, pollen na...
Power Steering Fluid na Differential Fluid zipo kwenye kundi la fluids ambazo uwa zinapotezewa sana wakati wa kufanya service, ilihali gharama zake ni ndogo kuzidi ata faini moja ya trafiki.
POWER STEERING FLUID
Power steering fluid inasaidis pampu ya steering kufanya kazi vizuri, kwa kufanya...
Wakuu, kwema?
Wengi tunabadirisha engine oil kila mara, lakini tunasahau fluids zingine muhimu sana, mfano coolants na brake fluids.
Leo kwenye muendelezo wetu wa service, tuzungumzie coolant na brake fluid ambazo zikipuuzwa zinaweza kuharibu engine au system ya breki au zikakupa majanga...
Wakuu. Poleni na kila kitu.
Nimeona leo tuwe na open discussion ya engine na gearbox oil service. Kama kuna mtu ana ujuzi na uzoefu wa aina aliyitumia na mabadiriko aliyoyaona inaweza kua msaada kwa mwingine.
Kwa kuanza, mi nitatoa flashback kidogo na experience yangu ndogo kwenye hivyo...
RICHARD TURNBULL
UWEKEZAJI KWENYE MATUMIZI YA AKILI
UINUAJI WA HAKI NA SIASA ZA KUJITEGEMEA
KUHAKIKISHA RASILIMALI ZINANUFAISHA NCHI PIA
KUIMALISHA MFUMO BORA WA ELIMU NA AFYA
KUIMALISHA NA UTUNZAJI MZURI WA RELI WA BARABARA
BANDARI YA TANGA NA DAR ES SALAAM ZILIBORESHWA ZAIDI
KWA KUJALI UKUAJI...
Leo ni Jumatano ya tarehe 3 siku nyingine ambayo balozi mstaafu Humprey Polepole ameahidi kuja na pigo lingine jipya litakalowachanganya mbogamboga maslahi wazidi kupoteana
Jakamoyo ni kubwa na kimuhemuhe ni kingi.. Haijajulikana leo atasema nini lakini iko wazi kwamba atazidi kuleta mafunuo...
1. Nilipoona mshikaji ana pingu nikajua ni polisi nilirelax nikajua niko mikono salama. Hii ni statement imeniuma sana sana Sativa alikuwa na trust kwa hili jeshi ambalo si ajabu lina kundi ambalo limeshavunja trust wanayostahili toka kwa watanzania. It is painful. Mwl Nyerere hakutuachia...
Wanawake wa mjini tupunguze series za wanaume, unajikuta una mwanaume wa 15 bado unawaza kuolewa.
Hawa vijana wa mjini hawaoi bora umkamate lizee hapo uwe mke wa pili au watatu kuliko kuhesabu series na episode za vijana wa pinga ndoa.
Bora nimkamate mzee niwe second wife au third au muendelee...
Makonda anakubalika nchi nzima Sema sasa kwa Arusha kidogo kuna wapinzani walikuwa wanamchafua Sana Sasa mama anataka atembelee nyota ya Makonda 2025.
Lakini walikaa wakagundua mwamba anakubalika mikoa yote ya Tanzania bara isipokuwa Arusha, Mbeya na Mara Sana Sana Arusha amepelekwa kwenda...
EPISODE ONE
________________________________
UCHAMBUZI MAKINI WA KITABU CHA:
"SIRI ZA AKILI YA MTU TAJIRI" (SECRETS OF THE MILLIONAIRE MIND).
NA:
LEONARD JULIUS SHIGANGA WA MWANAMATINGATINGA.
Kitabu hiki kimeandikwa na T. HARV EKER, ambaye ni milionea, mwandishi na mzungumzaji maarufu...
KATIBU Mkuu wa Kamati ya Olimpiki Tanzania, Filbert Bayi anadaiwa kuhusika na ufisadi wa fedha zinazotolewa na Kamati ya Olimpiki ya Kimataifa (IOC) kwa ajili ya maendeleo ya mchezo wa riadha hapa nchini.
Taarifa zilizoifikia Tanzania PANORAMA Blog kutoka kwa wadau wa mchezo wa riadha walio...
Hello Tech members
Moja kati ya maswali yanayojirudia rudia sana kwenye ulimwengu wa Teknolojia ni "Nijifunze kipi Kati ya Language Y na Language X
Au kati ya Framework Y na Framework X?"
Kwa beginner, hii ni dilemma ambayo hana hakika njia ipi ni salama au sahihi kwake
Kwenye Web...
Freedom and unity
Freedom and socialism
Freedom and development
Poverty is bad but poverty in thoughts is worse
Source: Personal development
How Mwalimu Nyerere was heavily influenced by John Stuart Mill , the guru of theory of Utilitarianism
The History of Utilitarianism
First published Fri...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.