Kwa wanazuoni na wajuzi wa mambo huwa tunasoma mstari kwa mstari katika kila tamko la kiongozi.
Mhe.Rais Samia ametumia neno moja muhimu sana kwenye mojawapo ya speech yake.
"Hakuna kiumbe atakayeruhusiwa kuichezea amani ya Tanzania kwani ameapa kuilinda Tanzania"
Ewe mwanaJF, Mtanzania...