The East African Crude Oil Pipeline (EACOP), also known as the Uganda–Tanzania Crude Oil Pipeline (UTCOP), is under construction and intended to transport crude oil from Uganda's oil fields to the Port of Tanga, Tanzania on the Indian Ocean. Once completed, the pipeline will be the longest heated crude oil pipeline in the world. Because of the large scale displacement of communities and wildlife, global environmental groups are protesting its construction and finance.
About EACOP
The East African Crude Oil Pipeline (EACOP) is a 1,443km crude oil pipeline that will transport Uganda’s crude oil from Kabaale Hoima in Uganda to the Chongoleani peninsula near Tanga port in Tanzania. About 80% of the pipeline is in Tanzania. It is a buried thermally insulated 24″...
Who We Are
EACOP is a 1,443km crude oil export pipeline that will transport Uganda’s crude oil from Kabaale Hoima in Uganda to the Chongoleani peninsula near Tanga port in Tanzania. About 80% of the pipeline is in Tanzania. It is a buried thermally insulated 24″ pipeline along with six pumping...
Utekelezaji wa mradi wa Bomba la kusafirisha mafuta ghafi kutoka Hoima Uganda mpaka Chongoleani, Tanga-Tanzania (EACOP) kwa ujumla umefikia asilimia 55 na umeweza kuajiri jumla ya Watanzania 6,763.
Kampuni ya EACOP imeajiri Watanzania 254, Wakandarasi wa mradi wameajiri Watanzania 6,050 na...
Eti wakuu, kwani si bora wangeirefusha reli ya kati kutoka Kigoma (au pahala pengine pa karibu zaidi) mpaka Uganda kuliko kuchimba bomba la gharama kubwa kiasi kile.
Mafuta yakiisha Uganda hilo bomba litakuwa na kazi gani nyingine?? Mafuta yakiisha reli still inaweza kusafirisha watu na bidhaa...
East African Crude Oil Pipeline (EACOP) – Lead Process and Flow Assurance Position in Tanga, Tanzania – March 2025
WHO WE ARE
The East African Crude Oil Pipeline (EACOP) project is a Midstream development located across Uganda and Tanzania that includes a nearshore Marine Storage and Export...
Leo tena katika kuperuzi YouTube nakutana na video za wanaharakati wa kupinga mradi wa EACOP.
Hizi vidéo ni za karibuni kama wiki tu imepita na inaonekana hiyo Channel iliyoziposti kuanzia mwezi uliopita imeposti habari ya madhara na hasara za mradi wa EACOP.
Who is behind these so called...
Habari wakuu
Kuna yoyote aliyewahi Fanya online test za eacop project kwa upande wa law wanauliza maswali gani msaada make pale Kwenye description hawakusema
Chochote haswa kwa watu wa administration
CHADEMA na kale kakundi ka @MariaSTsehai wanapush hushtag #KataaEACOP kwa lengo la kudhoofisha ujenzi wa bomba la mafuta ghafi kutoka Uganda mpaka bandari ya Tanga. Acheni kutumika kiboya.
EACOP stand for East African Crude Oil Pipeline. Ni kampuni lenye share holders wanne yani...
Inter-consult Ltd is a leading, dynamic ISO 9001: 2015 Certified Multidisciplinary Consultancy Company operating in Tanzania and the East African Region for over 44 years offering services ranging from Studies, Designs, and Supervision to Management of projects in the infrastructure sector.
We...
Request for Expression of Interest for Provision of Construction Materials
Reference No.: CPP-PROC-TZ-074-0103-C1C4
China Petroleum Pipeline Engineering Co., Ltd. (hereinafter abbreviated as CPP) as Pipeline, Feederline & Above Ground Installation Contractor for the East African Crude Oil...
Request for Expression of Interest for Provision of Works of Electrical Construction for Main Camps & Pipe Yards (MCPYs) 11/12/16
Reference No.: CPP-PROC-TZ-075-0103-C1
China Petroleum Pipeline Engineering Co., Ltd. (hereinafter abbreviated as CPP) as Pipeline, Feeder line & Above Ground...
Meli kubwa ya kwanza MV Innovation Way kutoka Umoja wa Falme za Kiarabu iliyobeba mitambo kwa ajili ya ujenzi wa mradi wa Bomba la Mafuta Ghafi la Afrika Mashariki (EACOP).
kutoka Hoima, Uganda hadi mkoani Tanga.
imewasili katika bandari ya Tanga.
Meli hiyo imebeba mitambo kwa ajili ya...
Ni Wafanyakazi 4 wa Kampuni ya JV Spek LTD inayojenga mradi mkubwa wa Bomba la Mafuta kutoka Uganda hadi Tanga, Tanzania wamefikishwa mbele ya Mahakama ya Hakimu Mkazi Wilaya ya Igunga, Tabora.
Watuhumiwa hao ni pamoja na waongoza Mitambo Ally Said (36), Samwel Mtenga (35), Awadh Mrango (36) na...
Habari,
Napenda ulizia kwa yeyote anayefuatilia hii online learning platform ya EACOP je kuna any information waungwana? MIMI nime complete session ya kwanza, next stage lini?
Kampuni ya EACOP imeanza usajili na mafunzo ya online kwa wiki 8 yatakayofwatiwa na mtihani wiki ya 9 kwa ajili ya kupata vijana 140 wenye umri kati ya miaka 18-28 watakaoshiriki katika mlolongo wa mafunzo yenye nia ya kupata wafanyakazi watakaoajiriwa wakati wa uendeshaji (operation &...
Vijana wangu, nasikitika kwamba Sina sifa za kuhudhuria hii fursa, jitahidi saana kama una umri huo na vigezo tajwa hudhuria hii training.
Narudia, usiharibu bando yako kwinginee, tumia just hizo week kadhaa kufanya hizo training. Ningeruhusiwa ningehudhuria bahati mbaya umri umenitupa sana...
Mradi wa Bomba la mafuta ghafi unaojengwa kutoka Hoima nchini Uganda kupitia Tanznaia hadi Chongoleani mkoani Tanga umetajwa kutoa ajira zaidi ya 3,000 ikiwemo 300 za kudumu hapa nchini
Mradi huo utakaokuwa na urefu wa zaidi ya Kilometa 1147 mbali na ajira utatoa pia fursa mbalimbali za ajira...
Wanaharakati mjini Paris Jumatano waliandamana dhidi ya Benki 2 zinazohusika katika ufadhili wa mradi wa mafuta wenye utata katika Afrika Mashariki, sehemu ya maandamano yanayoratibiwa katika miji kadhaa duniani kote.
Takriban wanakampeni vijana 30 kutoka kundi la Stop Total waliandamana mbele...
Kiongozi wa Kanisa Katoliki Duniani, Papa Francis amerejea wito wake wa kutaka kusitishwa kile alichokiita vita vya "kipuuzi na kikatili" nchini Ukraine.
Wito huo ameutoa Jumatano mjini Vatican, katika hadhara yake ya kila juma, ikiwa ni kipindi kifupi kabla ya kutimia mwaka mmoja tangu...
Standard Bank Group, benki ya kimataifa na yenye ushawishi katika ufadhili wa miradi mikubwa ya maendeleo barani Afrika imesema ujenzi wa Bomba la Kusafirisha Mafuta Ghafi la Afrika Mashariki (EACOP) utakuwa na manufaa kwa wakazi wa Jumuiya ya Afrika Mashariki. Ofisa Mtendaji Mkuu wa Standard...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.