dukani

  1. NetMaster

    Duka la Fred Vunjabei lavunjwa ngazi Zanzibar

    Fred Vunjabei ameamua kuweka duka lake Zanzibar kuwapa ahueni ya kununua vitu kwa bei ya juu. Kabla hata hajaanza kazi keshaanza kupata mizengwe na Manispaa ya Mjini Zanzibar. Ngazi za kuingilia mlangoni zimechomolewa kwa kigezo kuwa zimekiuka sheria.
  2. Guru Guja

    Paka wawili wamekufa dukani kwangu, jirani naye amefiwa

    Asubui ya leo nimekuta dukani ndani kabisa kuna paka wawili wamekufa na sijui walipoigilia sababu tumetafuta na wanafanakazi wagu hamna kabisa seemu ya paka kuigia. Tumewatoa tukawatupa kwenye mapipa ya takata ila tumepata habari jilani wa duka lagu amefiriwa watu wawil usiku wa kumuamkia leo...
  3. Prakatatumba abaabaabaa

    Kipi ni bora? Tv za mtumba (kutoka zanzibari) au tv mpya ya dukani?

    Wakuu nimeenda duka moja la mitumba mkoani huku, nimepata TV ya mtumba Panasonic inch 32 mwenye nayo kanambia bei ya mwisho ni 410,000/= At the same time nimepata TV mwanza inch 32 kampuni ni rising bei ni 280,000/= Je uhakika wa hizi TV inch 32 wanaodai ni used from UK je ni sahii...
  4. hp4510

    Nahitaji Ile midoli ya display za simu dukani

    Jaman nimefungua Duka la simu sasa naitaji Ile midoli ya simu ambayo inakuwa ni kama simu sema uwez kuweka line tu Inakuwa easy kumpa mteja aangalie the way simu anayoitaji ina specifications gani Naitaji hasa hasa ya Samsung note 8, Note 9 na samsung tab sm t865 Mtu mwenyewe nayo please nidm
  5. I

    Dada anatafuta kazi ya mgahawani au dukani

    Wakuu poleni na majukumu. Tafadhali sio mimi mpangaji mwenzangu. Alikuwa anafanya kazi kariakoo kwenye duka la nguo ila kwa sasa biashara haiendi vizuri bosi imebidi asimamishe biashara huyu dada sasa yupo nyumbani hali ni ngumu. Tafadhali kama una nafasi iwe kwenye mgahawa au dakani msaidie...
  6. Felixtz

    Msaada wa Nguo za dukani (readymade)

    Habali zenu wanajf, ni matumaini yangu mpo salama kwa kudra zake Mwenyez Mungu, nami ni mzima wa afya Alhamdullilahi. Poleni na majukumu ya kila siku katika kutafuta riziki. Mimi nipo Mwanza karibu na stendi ya Buzuruga, nina mtaji wa milioni 2.5, sasa wazo langu la biashara ilikua ni kuuza...
  7. Chance ndoto

    INAUZWA Tunauza nguo aina ya tshirts bell, truck suit nzuri sana. Karibu dukani

    Kwa mahitaji ya tshirt kali na Truck suits za kijanja. Karibu sana kwenye duka letu linalopatikana MTAA WA CONGO NA MARUNG’OMBE. Kwa bei nafuu kabisa. Tshirts 16,000/- Trucksuits 28,000/- Pensi 18,000/- Pia tunauza kwa bei ya JUMLA. Wasiiana nasi whatsapp au piga simu 0719 100 591. Asante kwa...
  8. K

    Jipatie mashelf ya dukani ya chuma

    Mdau anauza mashelf yake ya dukani. Mahali yalipo ni mbezi ya kimara. Sababu ya kuuza ni anahamishia biashara yake mkoani hivyo hatoweza kuyabeba hadi mkoa anaohamia Bei ni maelewano kati yenu. Mawasiliano ni 0734079737.
  9. Msafiri mkusa

    SOFTWARE Mfumo wa dukani

    Habari Kwa majina naitwa msafiri juma ni mtengenezaji wa mifumo mablimbali ya computer Leo hii nawalea mfumo wa dukani amabou unaweza kutumika popote bila shida Unafanida nying saana kwa maelezo zaid nichek kwa namba yangu +255689878213 Apo chni ni muone kano ndani jins ulivyo nichek nikupe...
  10. BigTall

    Shinyanga: Watoto waliotumwa dukani usiku, wabakwa, walawitiwa, waliwa na fisi (ripoti ya Polisi)

    Watoto 10 wakazi wa Kata ya Mhongolo, Halmashauri ya Manispaa ya Kahama Mkoani Shinyanga, wamebakwa na kulawitiwa kwa kipindi cha miezi mitatu iliyopita na wengine wawili wakiliwa na fisi. Waliofanyiwa vitendo hivyo vya ukatili wanakadiriwa kuwa na umri wa kati ya miaka sita hadi 12 wa jinsia...
  11. Idugunde

    Jinsi Ole Sabaya atavyochomoka kwenye mikono dhalimu iliyombambikia kesi

    Kwanza mpaka sasa tuhuma alizopewa zina msukumo wa kisiasa zaidi na ni kisasi baada ya kupambana na wanasiasa dhalimu na wapiga madili' Ushahidi dhidi ya tuhuma zake ni wa kutengeneza au kwa kimombo unaitwa fabricated. Mfano anadai kuporwa mil 90 atathibitisha vipi kirahisi mahakamani kuwa...
  12. Pantomath

    Mfanyakazi wangu akikaa dukani anauza zaidi yangu

    Nimeamini kuna watu wana kismati tuu. Wakati naanzisha hii biashara nilikaa mwenyewe kwa mda flani ambao nilikua free, Nikaona mauzo yanaenda poa tuu, Baada ya majukumu ya kikazi kuanza nikatafuta sista duu haswaa, nikamuweka pale, Mauzo yalashukaa, sio kama hana lugha nzuri, anahudumia vzr na...
  13. Roving Journalist

    SACP Wambura: Jeshi la Polisi Dar lakamata Majambazi, Wauaji, Wezi wa Magari na Pikipiki, na Uvunjaji

    TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam linaendelea na Operesheni Maalum ya kupambana na vitendo vya kihalifu Katika maeneo yote ya Jiji la Dar es Salaam katika dhima nzima ya Usalama wa Raia na Mali zao na limefanikiwa kuwakamata watuhumiwa 20 na vielelezo...
  14. To yeye

    Binti wa kaz za ndani au dukani

    Age 2004,kabila mhehe,kiwango anachotaka cha salary kuanzia 100000.Karibuni inbox
  15. Mowwo

    Ushauri, natarajia kuanza biashara ya vitu vya jumla vya dukani kutokea Dar es Salaam kuja mikoani

    Nawasalimu wote. Mimi ni kijana mjasiriamali ninaetarajia kufanya biashara ya jumla ya vitu vya dukani(Arusha&Moshi) lakini ningependa kupata mawazo na ushauri namna ya kuagiza vitu hivyo kutokea Dar kuja mkoani. Uzoefu wa biashara hii ningeupata kutoka kwenu ningeshukuru pia. Vitu...
  16. M

    I wish kufungua duka la Paramedical and childcare equipment. Jee soko lipo Tanzania?

    Habari zenu wakuu, I wish kufungua duka la Paramedical and childcare equipment. Jee soko lipo Tanzania? Naoembeni maoni yenu kuhusu biashara hii?
  17. benjamathayo

    Wauzaji wa Jumla: Naomba kufahamu bei ya hivi vitu nataka niviongezee dukani kwangu

    Wauzaji wa vifaa vya umemekwa jumla na rejereja naomba kufahamu bei ya vitu hivi nataka niviongeze dukani kwangu. 1-Majiko ya umeme. 2-Pasi 3-Hita 4-Blenda zakusagia juisi. Mwenye kuuza hivi vitu kwabei ya jmla naomba anipe mawasiliano na bei zake.
  18. njengere

    Ipi njia nzuri ya kufanya 'stock' dukani kwa mfanyakazi?

    Habiri wana jamii Je ni ipi njia nzuri ya kukufanya stoko dukani na njia rahisi maana kuna njia moja ninayo tumia ya kutumia daftari kilicho toka na kilicho ingia na kubaki imenishinda mimi kama mfanyakazi.
  19. Richmoto Kushmoto

    Naweza pata simu dukani kwa bajeti ya 200k?

    Iwe samsung, Tecno, Sony, Nokia kwa hizi brand yenye camera wauzaji mnicheki humu 0620314884
  20. sky soldier

    Hawa wateja wanaoukuja kila mara dukani na kutuhangaisha muda mrefu bila kununua kitu tunadili nao vipi?

    Hawa ni watu ambao yani kila baada ya siku kadhaa wanakuja dukani ila hawanunui chochote zaidi ya kukuhangaisha. - Wanataka bidhaa za juu, utapanda ngazi -Utaenda hadi duka lingine kutafuta bidhaa wanayohitaji -Utapukuta vumbi bidhaa wanayoulizia -Kama ni Tv basi utaitoa kwenye boksi wao...
Back
Top Bottom