Duka ni jipya lipo mbagala phone accessories kwa BEI ya kitonga jumla na rejareja
EARPODS 3 kwa 7,000/= tu
Viioo vya SIMU
Charge aina zote
Smart watch
N.k
0748831964 Whatsapp
Dar inashangaza
Tunatoka mbali kuchukua mizigo Kariakoo ambapo tunaamini ndo kitovu cha biashara na bei zitakuwa nafuu. Ukifika inatakiwa bei kubwa sawa na hapa Ngara.
Kumbe wenye maduka wameruhusu udalali wa kijinga hadi Kwa mteja aliyejileta dukani unamwekea watu wa kumpandilia bei, sio fair...
Habar wanajf naimani mko powa
Sana
Leo nataka tujadili kuhusuu hii idea siyo ngeni maana maduka kazaa nishawah ona so ntaka mnishauriii kidogo..
Nataka kufungua duka la vifaa vifaa vya electronics.
Lakini ndanii nataka nichanganye niwekeee vifaaa vya simu.
Pia niwekee vifaa vya umeme vile...
Mim ni mfabiashara ya duka la rejareja naomba msaada wenu maduka yamekua mengi miaka miwili naishia kupata pango pekee hivyo naombeni msaada wenu nyinyi wataalam wa bashara mnisaidie nifanye biashara gani tofauti naduka ili initoe nilipo na kupiga hatua zaidi
ASANTENI SAANA.
Kuna dawa nazitafuta kwa dharula zinahitajika kwa mgonjwa.
Naomba anaefahamu duka la dawa za asili hapa Mwanza linapatikana maeneo gani... utakuwa umetoa msaada mkubwa sana.
Wakuu, wale wenyewe experience ya aina hizi mbili za businesses ipi inaweza ikaleta manufaa kwangu? NB mi mwenyewe ni fundi ila nitakua sikai mimi labda mi nitakua nakaa kuanzia jioni. Sababu nina mishe ingine pale atakua anakaa dogo so. Asanteni.
Hey, wapendwa
4M inatosha kufungua grocery?
Kama inatosha je vitu gani muhimu?
Na yenyewe inatakiwa kuwa na Vibali au unaweza kufungua kama duka la mangi?
Nafikiria kwenda field ili nipate uzoefu
Yaani niombe kazi hizo sehemu zinazouza pombe, sijuh ni grocery au ni bar.
Ili niweze kufahamu...
Ni tarehe 12 mwezi wa nane,
Je una duka la vifaa vya ujenzi?
Ulishawahi kukopwa mzigo mkubwa na mtu,kikundi cha watu,au taasisi?
Vipi ulilipwa kwa wakati?
Na wakati unadai pesa yako,ilikuwaje?
Natamani hata nifunge duka nibadilishe biashara maana nimechoka kudai, Halafu sipewi majibu...
Nahitaji mfanyakazi wa kuuza dukani
Duka dogo kabisa la REJA reja
Awe mwanamke
Umri kati ya miaka 15 na 23
Atalala hapo hapo
Mshahara 90,000
Anahitajika haraka sana (0655 489 483
Mimi ni kijana wa miaka 30 nina elimu ya diploma ya clinical medicine nilimaliza chuo miaka 4 iliyopita.naomba kufahamishwa hasa namna rahisi ya kumudu biashara tajwa hapo juu.
Siwezi kukaa mwenyewe kutokanq na majukumu yangu kwahiyo nimepangq nimuweke mtu kwa ajili ya kuuza.
Naomba...
Habirini wana JF, kwa mwenye uhitaji wa mtu wa kuuza duka la dawa au pharmacy mwenye cheti cha ADO anicheki 0672498183, nina uzoefu mkubwa wa kazi hii pia duka liwe DAR ES SALAAM, asanteni
Habirini wana JF,kwa mwenye uhitaji wa mtu wa kuuza duka la dawa au pharmacy mwenye cheti cha ADO anicheki 0672498183, nina uzoefu mkubwa wa kazi hii pia duka liwe DAR ES SALAAM
Asanteni
Wakuu Nijuzeni
Nahitaji kufungua duka la vifaa vya maabara.
Pia nahitaji washirika ambao naweza nikawa nachukua mizigo kwao au nashauriana nao.
Kama una picha ya duka pia naweza kuona maana sijawahi yaona kabisa
Kuna vijana unawaweka dukani unaona kabisa uwepo wao ndio unachangamsha biashara kuanzia kutafuta wateja, ku negotiate, kutangaza biashara, kazoeleka na wateja, n.k. yaani wewe kila ukienda kufunga hesabu unakuta daftari la mauzo linameremeta.
Sasa kijana kaiba lets say elf 5 au 10 kwenye kila...
ELITE BOOKSHOP SABASABA INTERNATIONAL TRADE FAIR
Siwezi kupita duka la vitabu bila kuingia ndani.
Achilia mbali kuwa Elite ndiyo wachapaji wa kitabu changu cha watoto, "The School Trip to Zanzibar," kitabu kinachotumika kusomesha Kiingereza na wakati huo huo mwanafunzi anajifundisha historia...
Habari wana JF husika na mada tajwa hapo juu'
Mimi ni kijana wa miaka 23 baada ya kupambana na vibarua nimejikusanya mpaka nimepata milioni 7 ambapo nilitoa milioni tatu nikanunua kiwanja milioni moja nikaweka dharura ya kiafya pamoja na kodi za nyumba wakati mapambano yanaendelea hivyo...
Habari ya leo wanajf!
Nina imani mko salama salimini! Ninaomba mnisaidie namna nzuri ya kuijua faida ya kwenye duka! Ninaomba mfikirie pia hali hii kuwa vitu ndani ya duka kila kimoja kina faida tofauti na kingine na huisha dukani tofauti na kingine.
Msaada tafadhali
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.