Salaam.
Jaman naitaji Kiwanja kwa matumizi ya makazi na biashara Mjini dodoma
Ningependa Sana ukubwa wa kiwanja uwe Sq m 1500 to 2000.
Na maeneo ambayo naitaji ni ilazo, Nkuhungu, au nje ya mji kidogo njia ya kwenda Dar au Iringa.
Kwa yeyote ambae anauza au anamjua anaeuza basi anijulishe...