diva

A diva (; Italian: [ˈdiːva]) is the Latin word for a goddess and can also refer to a celebrated female singer; a woman of outstanding talent in the world of opera, and by extension in theatre, cinema and popular music. If referring to an actress the meaning of diva is closely related to that of prima donna. Diva can also refer to a woman, especially one in show business, with a reputation for being temperamental or demanding.

View More On Wikipedia.org
  1. B

    Diva The Bawse alipie tangazo la kumpaisha mganga feki

    Aisee kumbe wabongo wana upeo mdogo sana. Yaani hiyo story ya Diva hadi dada wa taifa kaingia mkenge (siamini kama Mange na yeye kaingia mkenge nahisi na yeye yupo kwenye payrol/ kuwatoa watu kwenye ishu ya ulimwengu wa 'Dada Paula'). Ni hivi, Diva kaandaa hiyo script kwa ajili ya kumpromote...
  2. Chachasteven

    Mfahamu mshindi wa Supa Diva 22 ya fiesta Sumbawanga

    Huyu hapa mshindi wa Supa Diva 22 inayosimamiwa na Fiesta kipindi cha kuendesha show za fiesta mikoani. Afichua siri ya mafanikio yake hadi kushinda. Full story:
  3. Bujibuji Simba Nyamaume

    Miss Universe 2021: Harnaaz Sandhu atwaa taji.

    Miss Universe 2021: Harnaaz Sandhu ameshinda taji la Miss Universe hapo jana na kuwa mwanamke wa tatu kutoka India kutwaa taji hilo baada ya Lara Dutta na Sushmita Sen.
  4. GENTAMYCINE

    Diva the Bawse: Ni kweli kabisa sijui kupika, ila Mahari yangu ya 'Kuolewa' ni Shilingi Bilioni 10

    Mtangazaji maarufu kabisa wa Vipindi vya Mapenzi Diva The Bawse amekiri kuwa kupika hajui ila haolewi bila Mahari ya Bilioni Kumi. Chanzo: globalpublishers Binafsi kama GENTAMYCINE nimejiuliza Maswali mengi mno tu na kuanza kuhisi kuwa huenda huyu Mbunye yake ni ya Dhahabu tupu
  5. H

    Diva ajiunga na Wasafi Media

    Mtangazaji maarufu wa vipindi vya usiku Diva amejiunga na Wasafi media kwa mujibu wake akifanyiwa mahojiano amesema amesaini mikataba aliyopewa na Diamond ambayo atakuwa analipwa zaidi ya kile alichokuwa analipwa na media aliyofanya nayo kazi lakini ameongea pia amepewa gari na Diamond...
  6. Leak

    Diva aomba kurejea Clouds Media, apewa sharti la kwenda kufanya kazi Wasafi FM. Kutambulishwa hivi karibuni

    Wasalaam wana jamvi. Baada ya Mtangazaji Diva kuacha kazi kwa mwaka sasa ni rasmi kurejea tena. Baada ya kukaa muda mrefu bila kufanya kazi na uku hakuna media iliyomfata kutaka kufanya nae kazi baada ya kukaaa muda mrefu nje ya utangazaji. Mtangazaji Diva aliandika barua kwa kusaga kuomba...
  7. warumi

    Diva achana na Udaku, haukufai

    Shoga kidawa toka afukuzwe kazi clouds basi anajifanya kajiajiri mwenyewe, madai anafanya gossip news , news zenyewe ana Copy paste trend news za Instagram ndo anapachika kwake, yani mpaka namuonea huruma. Inshort Diva umbea haumfai kabisa sio kipaji chake yani, huwa ananichekeshaga sana...
Back
Top Bottom