Bongotunacheza
JF-Expert Member
- Dec 7, 2018
- 718
- 1,643
Aisee kumbe wabongo wana upeo mdogo sana. Yaani hiyo story ya Diva hadi dada wa taifa kaingia mkenge (siamini kama Mange na yeye kaingia mkenge nahisi na yeye yupo kwenye payrol/ kuwatoa watu kwenye ishu ya ulimwengu wa 'Dada Paula').
Ni hivi, Diva kaandaa hiyo script kwa ajili ya kumpromote mganga wake fake ili ionekane ana uwezo wa kumroga mtu mapenzi, wakati kiuhalisia hakunaga uchawi wa mapenzi duniani.
Story ya Diva ni igizo kama igizo la Tunduru. Ukitaka kujua ishu ya Tunduru ni igizo, soma body language ya Mtatiro na mtuhumiwa wa mchongo, soma facial expressions, soma sauti zao, halafu soma macho ya mtuhumiwa (wanasemaga macho ni pazia ya moyo).
Diva lipia tangazo.
Ni hivi, Diva kaandaa hiyo script kwa ajili ya kumpromote mganga wake fake ili ionekane ana uwezo wa kumroga mtu mapenzi, wakati kiuhalisia hakunaga uchawi wa mapenzi duniani.
Story ya Diva ni igizo kama igizo la Tunduru. Ukitaka kujua ishu ya Tunduru ni igizo, soma body language ya Mtatiro na mtuhumiwa wa mchongo, soma facial expressions, soma sauti zao, halafu soma macho ya mtuhumiwa (wanasemaga macho ni pazia ya moyo).
Diva lipia tangazo.