princemikazo
JF-Expert Member
- Jan 10, 2019
- 2,197
- 2,051
Mwili wa aliyekuwa mfalme wa pop duniani,Michael Jackson huenda ukafukuliwa toka kaburini kwa uchunguzi kufuatia tuhuma za ulawiti, Mtandao wa Radar online umethibitisha kupitia filamu ya 'Leaving Neverland' imeelezwa kuwa Michael Jackson aliwahi kuwalawiti wavulana zaidi ya30 wenye umri mdogo,lakini watatu tayari wamejitokeza kuzungumza,mmoja anaitwa Wade Robson alithibitisha kwenye mitandao kuwa toka ana umri wa miaka7 hadi alipofika14.
Mwengine ni James Safechunk.Mwili wa mfalme huyo wa pop utafukuliwa ili kupima vipimo vya DNA kwenye mabaki ya sehemu za mwili wake ili kubaini kama kuna ukweli.
Nilikuwa naomba akikutwa na hatia ahukumiwe miaka 30 iwe fundisho kwa marehemu wengine wenye tabia hii.
@ChaliiYaKijengeJuu
Mwengine ni James Safechunk.Mwili wa mfalme huyo wa pop utafukuliwa ili kupima vipimo vya DNA kwenye mabaki ya sehemu za mwili wake ili kubaini kama kuna ukweli.
Nilikuwa naomba akikutwa na hatia ahukumiwe miaka 30 iwe fundisho kwa marehemu wengine wenye tabia hii.
@ChaliiYaKijengeJuu