dawasco

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Joannah

    KERO Dawasco kunani?, sisi wakazi wa Mbezi-Goba tunaishi kama tupo kwenye jangwa la Sahara

    Hivi hili shirika DAWASA vipi?Waziri mwenye dhamana ya maji uko wapi? Inakuwaje wakazi wa Mbezi-Goba tunaishi kama tupo jangwa la Sahara? Miezi ya nyuma mlisema kina cha maji kwenye vyanzo vya maji kimepungua, sasa na masika hii bado tu maji hayatoki wiki ya tatu mna maana gani? Huko kwenye...
  2. Mad Max

    KERO DAWASA kwanini mnafunga maji usiku, pakikucha mnafungua?

    Kuanzia Wakurugenzi, Mameneja, Bodi hadi mafundi wote mjitafakari. Mnazingua.
  3. thegreat1510

    Tetesi: Maji ya DAWASCO yanatiwa sumu kudhoofisha afya ya wananchi Dsm

    Kuna tetesi za kuwawekea sumu wananchi kupitia mabomba ya maji kuanzia kesho, Nimepokea hii taarifa kutoka kwa ndugu zangu walio Magomeni. Na watu wengine wanne tofauti, kwakuwa ni jambo linalohusiana na afya ya watu Tunaomba liangaliwe kwa upana zaidi
  4. B

    KERO DAWASCO wanachimba mitaro na kuiacha muda mrefu bila shughuli inayoendelea

    Kumekuwa na tatizo la watu wa DAWASCO kuchimba mitaro na kuiacha kwa kipindi kirefu. Mtaani kwangu njia panda ya Segerea tuna wiki mbili wamechimba na hakuna kingine kimefanyiaka, hii ni kero sababu tunashindwa kutoa magari na kuingiza ndani.
  5. mirindimo

    Aweso: kwanini dawasco wanakata maji ijumaa na jmosi ?

    Kuna kero ya maji sana na Dawasco hawasemi chochote hakuna taarifa rasmi wala maelezo. Kuna namna watendaji wa chini wa serikalini wanafanya kazi kimazoea hii hali iliisha kipindi cha Hayati Magu lakini naona imerudi kwa kasi ya ajabu. Iweje Dawasco wakate maji ijumaa na Jmosi ? Yaani kiufupi...
  6. Mpigania uhuru wa pili

    DOKEZO Kuna bomba kubwa limepasuka Ubungo darajani zaidi ya miaka 4 sasa na Dawasco wanalipita kama hawalioni

    Ukiwa unatokea riverside kuna daraja kubwa la mto chini ya mto utakuta kuna kundi kubwa la kina mama wanafua kupitia bomba kubwa la dawasco lililopasuka. Kupasuka bomba sio ajabu ila chakushangaza lile bomba lina miaka 4 tokea 2020 mpaka leo dawasco hawana mpango wa kuliziba. Kituko kingine ni...
  7. Mpigania uhuru wa pili

    KERO DAWASCO maji wanatoa kwa siku mbili ndani ya wiki na bado imewashinda

    Katika shirika linaloshangaza ni dawasco maji wanatoa siku moja au mbili kwa week lakin bado nako kumewashinda je wangetakiwa kutoa maji 24/7 kama wafanyavyo miji mingine Napokaa hapa maji mara ya mwisho kutoka ni jumapili ile iliyopita sio hii ya juzi ukimuuliza engineer wa dawasco ni ahadi tu...
  8. boyson onlye

    KERO DAWASA, ni lini mtatoa huduma ya maji bila mgao?

    Habari wakuu, Nina miaka kadhaa katika jiji hili la Dar es salaam, na wengine wote wanaoishi katika jiji hili ni mashahidi, Kila nyumba ina vifaa vingi vya kutunzia maji, iwe ndoo, jaba au tank na kuna wakati unakuta maji yote uliyotunza yameisha ndanj na maji hayatoki, hasa kipindi hiki...
  9. Gol D Roger

    KERO Kimara maji ya DAWASA yananuka

    Habarini. Zimepita siku kama tano tumekosa maji ya DAWASA huku kwetu, jana usiku yalivoanza kutoka angalau hapa home tumepata ahueni. Kisima ni muhimu kwakweli. Aisee maji yananuka, sijui huko kwenu, yaan yananuka bila hata kuyanusa, yanatoa harufu flani ivi kama maji ya bahari, ukiingia...
  10. USSR

    KERO Waziri Aweso, DAWASCO Mbezi Mwisho hakuna maji wiki ya pili sasa tatizo nini? Kesho tunaandamana hadi kwa DC wa Ubungo

    Pale njia panda ya goma maji yapo yauzwa kwenye magari na kuzungushwa mitaani ila bombani hakuna mnatuona wajinga? Ile ziara yako nasikia ulifukuza watu pale DAWASCO kimara ndio hawa wanafanya hujuma, wanafanya maksudi haiwezekani majumbani hakuna maji wiki mbili ila wauzaji wako Bize na maboza...
  11. JF Member

    KERO Waziri Aweso, Jiji la Dar Sasa wanakunywa na kuoga maji ya kwenye mifereji. DAWASA pakavu

    Hii ni hakika. Tunetoka kwenye mvua kubwa, mifereji ya Jiji la Dar na vijito bado vinatirisha maji. Wananchi wachota hayo maji kwa matumizi Yao ya kila siku. Bila haya maji, Jiji la Dar liko kwenye hatari ya kindupindu. Aweso changamka kabla mambo hayajawa mabaya zaidi. Waziri wa afya pia...
  12. Mtemi mpambalioto

    Serikali iwape DAWASCO uwezo wafunge mtambo hapo JNHEP na mafuriko yatakuwa historia

    Serikali badala ya kupoteza maji kufungulia na hatimaye kuharibu mashmba na miji huko Rufiji basi wangewapa Dawasco hiyo kazi wafunge mtambo wa maji kuleta Dar huku maji ya ziada tunafyonza tunatumia Dar huku! Hii akili mpaka tuwaambie sisi wanaJF? au mmerogwa jamani?
  13. J

    KERO Kwanini Dawasco hawatoi ratiba ya maji?

    Jamani, mimi sielewi kwanini huku Dar maji yanaweza katika kwa muda mrefu bila taarifa. Maji yanakatikaje wiki mpaka wiki mbili bila taarifa? Ni changamoto tofauti kuwa na uhaba wa maji, lakini changamoto nyingine kabisa kuwepo kwa mgao bila taarifa yoyote. Sijawahi kuona kipindi maji...
  14. A

    KERO Mamlaka ya Maji Kibaha kuna urasimu mkubwa sana

    Ukiomba kupata huduma ya kuunganishiwa maji DAWASCO Kibaha, uwe umejiandaa kifedha. Zoezi linaanza kumpata surveyor, bila elfu hamsini hatafika site. Ukishatoa hiyo hela na surveyor akapima zoezi. linalofuata ni kuingizwa kwenye mifumo yao hatimae upate Control Number kwa ajili ya kulipia...
  15. BARD AI

    Maeneo 38 kukosa huduma ya Maji kwa zaidi ya Saa 36 jijini Dar, kutokana na maboresho ya kuondoa tope kwenye Mtambo wa kuzalisha maji

    Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es Salaam (DAWASA) imetangaza upungufu wa Huduma ya Maji kwa Wateja wanaohudumiwa na mtambo Ruvu Chini, kuanzia Machi 5 hadi Machi 7, 2024 Kwa mujibu wa taarifa ya DAWASA upungufu huo unatokana na maboresho ya msingi yanayofanywa katika mtambo huo...
  16. Doto12

    Dawasco kucheza mdundo wa Tanesco

    Hii idaraya maji inashida Gani?? Nimeona Leo tbc habari
  17. lufungulo k

    Naishi Mbagala Nzasa kwa Mwarabu, katika eneo ninaloishi pamoja na wakazi wenzangu hatuna huduma ya maji ya DAWASA

    Mimi naishi Mbagala Nzasa kwa Mwarabu, katika eneo ninaloishi pamoja na wakazi wenzangu HATUNA huduma hii ya maji. Mipango ya kikalikenye imefanyika mara kadhaa, wafanyakazi wanaojiita kutoka DAWASCO kupita na kuandikisha majina yetu na kuahidi kupatikana kwa huduma hiyo muda si mrefu. Tatizo...
  18. Samia atosha tukutane2030

    Ningekuwa Rais watumishi wote wa DAWASCO ningewafunga miezi 6 jela kisha ningewatoa waendelee na kazi

    Kuna mahali Keko Mwanga karibu na Mkuki house kama unaelekea MSD bomba la DAWASCO lilitoa maji zaidi ya mwaka. Yaani inatokea leakage zaidi ya mwaka wahusika hawajui au wanajua wanapuuzia. Kuna mahali maeneo ya Vingunguti tangu Januari mpaka leo October kuna leakage lakini haijashughulikiwa...
  19. A

    MADALE: Kero ya Kukatiwa maji bila maelezo na kijana wa DAWASCO

    Habari wana JF. Niende moja kwa moja kwenye kelo yangu juu ya Dawasco. Kumekuwa na changamoto ya kukatiwa maji mara kwa mara na baada ya kukata huyu kijana hatoi maelezo kwa mhusika. Akishakata huwa anadai 15000 kurejesha maji. Navyoelewa mteja anatakiwa kupewa taarifa ya mdomo kisha barua ya...
  20. AbuuMaryam

    Dawasco na Tanesco kwenye ushindani mkubwa, zinazoumia ni sisi nyasi

    Baada Tanesco kukiki kwa takribani wiki 2 mtawalia. Dawasco ameona naye asisahaulike. Kuna kipindi cha Mzee Magufuli kulikuwa na ukame wa muda mrefu sana, ila umeme wala maji vilipatikana muda wote. Yale mambo ya kuna marekebisho hatukuyaexperience kabisa. Tulichokigundua kuwa umeme mnakata...
Back
Top Bottom