Naishi Mbagala Nzasa kwa Mwarabu, katika eneo ninaloishi pamoja na wakazi wenzangu hatuna huduma ya maji ya DAWASA

lufungulo k

JF-Expert Member
Apr 19, 2012
2,546
1,984
Mimi naishi Mbagala Nzasa kwa Mwarabu, katika eneo ninaloishi pamoja na wakazi wenzangu HATUNA huduma hii ya maji.

Mipango ya kikalikenye imefanyika mara kadhaa, wafanyakazi wanaojiita kutoka DAWASCO kupita na kuandikisha majina yetu na kuahidi kupatikana kwa huduma hiyo muda si mrefu.

Tatizo ni nini? Kwann wanatufata na kutusumbua wakati wanachotuletea ni POROJO.!!
Maji tunayotumia ni maji ya visima toka kwa wananchi wenzetu , hivi bila wao sijui INGEKUWAJE? hivi ile NDO aliyotuliwa mama kichwani ni eneo GANI?

HIVI yale mambo ya kuchimba chimba na kupitisha bomba la maji huku mtaani kwetu ni kwa ajili ya NANI?

Ile kauli maji yameisha sambazwa asilimia 90 % hapa nchini huwa INAHESABIWAJE?
 
Mimi naishi Mbagala Nzasa kwa Mwarabu, katika eneo ninaloishi pamoja na wakazi wenzangu HATUNA huduma hii ya maji.

Mipango ya kikalikenye imefanyika mara kadhaa, wafanyakazi wanaojiita kutoka DAWASCO kupita na kuandikisha majina yetu na kuahidi kupatikana kwa huduma hiyo muda si mrefu.

Tatizo ni nini? Kwann wanatufata na kutusumbua wakati wanachotuletea ni POROJO.!!
Maji tunayotumia ni maji ya visima toka kwa wananchi wenzetu , hivi bila wao sijui INGEKUWAJE? hivi ile NDO aliyotuliwa mama kichwani ni eneo GANI?

HIVI yale mambo ya kuchimba chimba na kupitisha bomba la maji huku mtaani kwetu ni kwa ajili ya NANI?

Ile kauli maji yameisha sambazwa asilimia 90 % hapa nchini huwa INAHESABIWAJE?


Ile kauli maji yameisha sambazwa asilimia 90 % hapa nchini huwa INAHESABIWAJE?

😒😒, Maanake hapo, siasa nyingi kuliko utendaji kazi.
 
Mimi naishi Mbagala Nzasa kwa Mwarabu, katika eneo ninaloishi pamoja na wakazi wenzangu HATUNA huduma hii ya maji.

Mipango ya kikalikenye imefanyika mara kadhaa, wafanyakazi wanaojiita kutoka DAWASCO kupita na kuandikisha majina yetu na kuahidi kupatikana kwa huduma hiyo muda si mrefu.

Tatizo ni nini? Kwann wanatufata na kutusumbua wakati wanachotuletea ni POROJO.!!
Maji tunayotumia ni maji ya visima toka kwa wananchi wenzetu , hivi bila wao sijui INGEKUWAJE? hivi ile NDO aliyotuliwa mama kichwani ni eneo GANI?

HIVI yale mambo ya kuchimba chimba na kupitisha bomba la maji huku mtaani kwetu ni kwa ajili ya NANI?

Ile kauli maji yameisha sambazwa asilimia 90 % hapa nchini huwa INAHESABIWAJE?
Wanaweza kuwaletea mabomba ila maji yasiwe yanatoka au yakawa yanatoka mara mbili kwa mwezi

Ushauri: bora mkomae na maji yenu ya visima

Sent from my SM-A013G using JamiiForums mobile app
 
Mimi naishi Mbagala Nzasa kwa Mwarabu, katika eneo ninaloishi pamoja na wakazi wenzangu HATUNA huduma hii ya maji.

Mipango ya kikalikenye imefanyika mara kadhaa, wafanyakazi wanaojiita kutoka DAWASCO kupita na kuandikisha majina yetu na kuahidi kupatikana kwa huduma hiyo muda si mrefu.

Tatizo ni nini? Kwann wanatufata na kutusumbua wakati wanachotuletea ni POROJO.!!
Maji tunayotumia ni maji ya visima toka kwa wananchi wenzetu , hivi bila wao sijui INGEKUWAJE? hivi ile NDO aliyotuliwa mama kichwani ni eneo GANI?

HIVI yale mambo ya kuchimba chimba na kupitisha bomba la maji huku mtaani kwetu ni kwa ajili ya NANI?

Ile kauli maji yameisha sambazwa asilimia 90 % hapa nchini huwa INAHESABIWAJE?
Dawasa Mbagala inatoa maji toka kwenye visima vyake vifupi, maji yamejaa chumvi hayafai kufulia nguo nyeusi kwani zikikauka chumvi inaweka ramani ya Mbagala.
 
Mnaishi kama mpo kijijini hapa ni mjini
Siku nyingine wakija hao jamaa
Kaeni nao bar ...
Kisha myajenge nao kuhusu maokoto
Na nyie kaeni chini undeni umoia wa waathirika wa maji
Kisha waiteni ...muwaonyeshe mzigo ..muone kama wiki itafika
Ukiwa na mgonjwa wako hospital za serikali kisha ukawa bahiri uyo mgonjwa atarudi kwenye sanduku...
Tema mzigo huduma kama ulaya....
 
Mnaishi kama mpo kijijini hapa ni mjini
Siku nyingine wakija hao jamaa
Kaeni nao bar ...
Kisha myajenge nao kuhusu maokoto
Na nyie kaeni chini undeni umoia wa waathirika wa maji
Kisha waiteni ...muwaonyeshe mzigo ..muone kama wiki itafika
Ukiwa na mgonjwa wako hospital za serikali kisha ukawa bahiri uyo mgonjwa atarudi kwenye sanduku...
Tema mzigo huduma kama ulaya....
Hivyo vitu serikali inakataza , kama ni hivyo iweke wazi ili wananchi tuunde vikundi vya uokozi .
 
Back
Top Bottom