AbuuMaryam
JF-Expert Member
- Dec 26, 2015
- 2,537
- 4,517
Baada Tanesco kukiki kwa takribani wiki 2 mtawalia.
Dawasco ameona naye asisahaulike.
Kuna kipindi cha Mzee Magufuli kulikuwa na ukame wa muda mrefu sana, ila umeme wala maji vilipatikana muda wote.
Yale mambo ya kuna marekebisho hatukuyaexperience kabisa.
Tulichokigundua kuwa umeme mnakata makusudi na maji mnakata makusudi kwa roho mbaya zenu. Malengo mnayajua wenyewe.
Rais yuko kama picha ila tunajua kuna kakikundi kanaongoza hii nchi.
Na kakikundi hako ndicho kinachomhakikishia Mama 2025.
Kakikundi hako ndicho kinachowalipa akina Mwijaku.
Dawasco ameona naye asisahaulike.
Kuna kipindi cha Mzee Magufuli kulikuwa na ukame wa muda mrefu sana, ila umeme wala maji vilipatikana muda wote.
Yale mambo ya kuna marekebisho hatukuyaexperience kabisa.
Tulichokigundua kuwa umeme mnakata makusudi na maji mnakata makusudi kwa roho mbaya zenu. Malengo mnayajua wenyewe.
Rais yuko kama picha ila tunajua kuna kakikundi kanaongoza hii nchi.
Na kakikundi hako ndicho kinachomhakikishia Mama 2025.
Kakikundi hako ndicho kinachowalipa akina Mwijaku.