Kiboko ya Jiwe
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 12,705
- 36,157
Kuna mahali Keko Mwanga karibu na Mkuki house kama unaelekea MSD bomba la DAWASCO lilitoa maji zaidi ya mwaka. Yaani inatokea leakage zaidi ya mwaka wahusika hawajui au wanajua wanapuuzia.
Kuna mahali maeneo ya Vingunguti tangu Januari mpaka leo October kuna leakage lakini haijashughulikiwa.
Case kama hizi ziko nyingi, hawa watumishi wa DAWASCO bila kuwaboost na jela kidogo hawawezi kwenda.
Hapo chini ni leakage ya bomba la DAWASCO Vingunguti mataa.
Kule Keko sijui wamesolve au bado maji yanaendelea kumwagika. Maana sijapita ile road kwa kipindi kirefu.
Kuna mahali maeneo ya Vingunguti tangu Januari mpaka leo October kuna leakage lakini haijashughulikiwa.
Case kama hizi ziko nyingi, hawa watumishi wa DAWASCO bila kuwaboost na jela kidogo hawawezi kwenda.
Hapo chini ni leakage ya bomba la DAWASCO Vingunguti mataa.
Kule Keko sijui wamesolve au bado maji yanaendelea kumwagika. Maana sijapita ile road kwa kipindi kirefu.