data

  1. robbinhood

    JamiiForums Tanzania UFADHILI WA SAMIA (SAMIA SCHOLARSHIP EXTENDED DS/AI+) KATIKA FANI ZA SAYANSI YA DATA, AKILI UNDE NA SAYANSI SHIRIKISHI

    Hellow , kuna yeyote alieomba huu ufadhili?mchakato upoje hadi Sasa?
  2. Genius Man

    JamiiForums Tanzania Inamaana jf bado imefungiwa na haijui nani ameendeleza kufungia kwani data zinaonesha ni nani kama sio mamlaka haramu isiyo heshimu haki za watu

    Inamaana jf bado imefungiwa na haijui nani ameendeleza kufungia kwani data zinaonesha ni nani kama sio mamlaka haramu isiyo heshimu haki za watu. Hali hii sio solution na haivumiliki nchi imevamiwa na matapeli na wapumbavu hii.
  3. kingphisher

    JamiiForums Tanzania Jinsi gani ya kuwa Data Analyst

    Wakuu, moja kati ya passions nilizonazo ni pamoja na kuwa "data analyst ". Nipo kwenye process ya kumalizia SQL queries course relating to data analytics. Katika research ambayo nimefanya huko YouTube, wanasa ni lazima nizijue zofuatazo. 1. Sql 2. Advanced excel ikiwemo "pivot table and Vlookup...
  4. M

    JamiiForums Tanzania Hivi ni uraibu wa simu au uraibu wa intenet, unaweza kuwa mraibu wa simu bila data ?

    Mimi nilichokiona kusema mtu ni mraibu wa simu kuna vitu vimemiss kwa kiasi kikubwa huwa naona waraibu wa simu huzitumia sana kwenye internet mfano kuperuzi google, mitandao ya kijamii, youtube, whatsapp groups, downloading, n.k.
  5. Mfinanga agness

    JamiiForums Tanzania Exploring Opportunity in Sales, HR, and Administration Personal assistant, Receptionist,Sales, Customer Service and Enumerator( data collection)

    Hello, I am 25 yrs old, holder of Bachelor degree of human resource management. I am actively seeking roles in any sector and am highly skilled and experienced in Personal assistant, Receptionist, Sales, Customer Service, Enumerator(data collection ) and General Administration/HR. If anyone...
  6. Kang

    JamiiForums Tanzania Ni muhimu kukumbuka Data Zinaoza!

    Hili ni kumbusho kuwa karibia hifadhi zote za data zinaoza baada ya muda fulani, kitu ambacho ni muhimu kuzingatia. HDD (Hard Disk Drive) Zile mechanical ambayo haitumiki zinaoza baada ya miaka 2-20 kutegemea na ubora wa drive na hasa mazingira iliyohifadhiwa, mazingira ya TZ ya joto na...
  7. M

    JamiiForums Tanzania Nipo naangalia clips za mzee Mwandambo huku nikitengeneza database (Kanzu Data), panapo majaliwa nikimaliza video zake nitaweka faili humu.

    Mzee kajua kuufunga mwaka
  8. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania GE2025 Mwenyekiti wa TEF, Balile: Watu mtandaoni wanajizima data au sijui hamnazo? Tanzania kuna maendeleo hadi vjijini

    Deodatus Balile, Mwenyekiti wa Jukwaa la Wahariri Tanzania (TEF) akizungumza na Clouds TV leo, Septemba 29, 2025 amesema; "Wakati tunakua miaka ya 70 hadi 80 tulikuwa tunaoga mtoni pale kijijini kwetu. Mimi natokea Bukoba Vijijini kuna kijiji kinaitwa Nyanga. "Nina ndugu zangu wapo kijiji...
  9. N

    JamiiForums Tanzania Tatizo linalokula data za watu bila mtu kufahamu hapa kwenye pagination ya chapisho

    Habari, Pagination ni nini ? kitaalamu pagination ni zile buttons za next and prev hizi zinakuwezesha kuona comment zaidi zilizo hide mfano 1, 2, 3, 4, 5, 7 ambapo hapa jamiiforums zipo pale kwenye comment section tupo pamoja. Mfumo wa pagination unaotumika sasa hivi kwenye JamiiForums (ule...
  10. Jamii Opportunities

    JamiiForums Tanzania Data Protection Officer at Yas August 2025

    Job Opportunity: Data Protection Officer at Yas [NEW VACANCY] Let’s grow together, become our Data Protection Officer at Yas. If this description corresponds to you, grow with us by applying before September 03, 2025. Job Overview A degree in law, information technology, computer science, data...
  11. excel

    JamiiForums Tanzania No internet Connection, Kwanini wakati Data ipo active?

    Wakuu wa Tech nakutana na hii changamoto karibu wiki sasa wakati Nina Mb 400 zinasoma Madhara nayaona maana nikiingia Google Play huko hakusomeki. Shida ni nini salio la kifurushi
  12. Tabutupu

    JamiiForums Tanzania Breach of Pension Payments Data in Tanzania: An Urgent Concern

    It has come to our attention that a few weeks ago, there was a breach of pension payment data. This breach has led to a situation where some beneficiaries have been abducted, with the abductors demanding the pension money they were recently paid. For example, one woman was abducted at Mlimani...
  13. OLS

    JamiiForums Tanzania NBS na TAMISEMI mnajua data za BEST hazipatikani?

    Data za elimu ziko TAMISEMI kwenye kiungo cha Basic Education Statistics (BEST). Nimejaribu kuingia kuangalia kitu lakini data zote zinaonesha kuna shida. Hebu jaribuni kuongea na webmaster wa Open University atuwekee data tuendelee na analysis. Jaribu kuangali data za BEST hapa Allbest | PO-RALG
  14. stakehigh

    JamiiForums Tanzania Petabytes 633 ndo kiwango cha data kilichotumika na wananchi 2024/2025. Lakini mpaka leo huna cha kuuza mtandaoni

    https://www.tcra.go.tz/uploads/text-editor/files/Takwimu%20za%20Mawasiliano%20za%20Robo%20ya%20Mwaka%20Inayoishia%20Juni%202025_1752572004.pdf
  15. Traxtion

    JamiiForums Tanzania Hizi data za average IQ za Africa mzipuuze

    Hizi IQ tests zimefanywa kwa upendeleo tu na kuziwekea nchi za kizungu namba kubwa kwenye IQ tests ili tuzidi kuwaona ni superior, hii ndio tabia za hawa watu weupe. Vipimo vya IQ vilivuofanywa na Wechsler Adult Intelligence Scale (WAIS) na Stanford Binet Intelligence Scales vyote vimefanyika...
  16. M

    JamiiForums Tanzania Uboreshwaji wa data za wanandoa hasa kwa dini ya Kikristo

    Habari.. Kumekuwa na udanganyifu kwenye baadhi ya ndoa za kikristo. Kwa sheria na taratibu zao imeruhusiwa ndoa moja tu. (Nyingine zitafungwa ikiwa mwanandoa mmoja amefariki au ndoa kubatilishwa na kanisa) Nimeshahudia kesi za watu watatu wakristo, mmoja alifunga ndoa na mwanamke ambaye...
  17. Z

    JamiiForums Tanzania Cuba na Urusi kuna nini, zama zilee za mwalimu, wasomi wetu walio enda kusoma nchi hizo walirudi wakiwa wamechanganyikiwa (data)

    Huo ndio ukweli, watu wa miaka ya zamani watakumbula kuwa, wasomi wetu walio somea Cuba au Urusi walikuwa wamechanganyikiwa! Kwa miaka ya hivi karibuni mtamkumbuka Dr. Shika sasa marehemu, ambaye pia alisomea huko Urusi alirudi akiwa amedata. Wapo wengi tunawajua wengime wametangulia mbele za...
  18. the_pythonman2016

    JamiiForums Tanzania Data Analysis with Python

    Hey Guys Are you looking to pursue a career in Data Analytics or simply want to upgrade your data skills using Python? You're welcome to join me on this learning journey! YOU WILL LEARN: 1. Data Preparation 2. Data Cleaning / Data Wrangling 3. Pandas 4. Loops in Pandas 5. Data...
  19. Jamii Opportunities

    JamiiForums Tanzania Consultant for quarterly media monitoring: Data collection and preparation on mis-/disinformation, hate speech and OGBV at JamiiAfrica

    Position: Consultant for quarterly media monitoring: Data collection and preparation on mis-/disinformation, hate speech and OGBV Location: Tanzania (Dar es Salaam) Duration: 23rd July 2025 – 30th November 2027 Application Deadline: 17th July 2025 Required Languages: English and Kiswahili...
  20. S

    JamiiForums Tanzania Mzee wa Msoga ni kweli anajizima data au anamvika tu Mama kilemba cha ukoka huku nyuma ya pazi akishirikina na wanaompinga Mama?

    Sometimes nikimtazama huyu mzee, sitakia kuamini kuwa yuko tofauti sana na wale wanaompinga Mama. Nachohisi, huenda anatumia akili kubwa katika kuhakikisha Mama hatoboi huku akijifanya yuko karibu nae. Tofauti na hapo, Rizmoja anaandaliwa kurithi .mikoba ya Mama hapo 2030 wakiamini chama cha...
Back
Top Bottom