Habari wanajamii, naombeni connection za upatikanaji wa ajira za data clerk, data collection na zingine zinaxohusiana na maswala ya data. Ninauzoefu wa matumizi ya komputer na elimu ya diploma ya project management.
Asanteni
Habari wana jF
Majina: Rashid
Jinsia: Kiume
Elimu: Diploma IT, Driving Certificate
Mahali ninapoishi: Dar Es Salaam
Natafuta kazi yoyote ya halali nje ya Field yangu ya IT, ili niweze kujikwamua na uchumi.
Nina Uzoefu Sehemu hizi
1. Graphics Designing and large Formating Printing Skills
2...
Habarini wakuu,
Naomba msaada wa Data Recover ambazo kwa Bahati Mbaya nili fomati hivyo taarifa za kwenye Folder and Files zimepotea zote.
Hivyo kama kuna namna au kuna Software inaweza fanikisha au mtaalamu wa kuweza kufanikisha zoezi tafadhali msaada wake unahitajika.
Nipo Dar Es salaam...
Wafanyabiashara watano huko Accra wamekamatwa na polisi kwa kushindwa kujiandikisha kwenye Tume ya Ulinzi wa Data (DPC) na kuvunja Sheria ya Ulinzi wa Data.
Wafanyabiashara hao ni wawakilishi wa CareFlight Ghana, kampuni inayotoa huduma za kliniki na ambulensi, Embassy Gardens, kituo cha...
Position: Data and Accountability Officer
Location: Kibondo, Tanzania
Location: Kibondo
Reports to: MEAL Coordinator – PlayMatters
Level: 12
Plan International is an independent development and humanitarian organisation that advances children’s rights and equality for girls.
We believe in...
Position: Service Data Clerk
Job Identification: 227192
Schedule: Full time
Location: Kahama, Shinyanga
Responsibilities:
Ensure safe work practices, i.e., attending compulsory safety courses and meetings, use of required PPE, incident/accident reporting and ensuring total adherence to all...
Siku zote najua tunaibiwa data na MAKAMPUNI ya simu lakini sikujua Kama ni wezi kiasi hicho.
Mara nyingi naweka kifurushi cha wiki lakini hata simu yangu ilizima charge kwa kukosa umeme kifurushi huwa kinakaa siku moja tu na so zaidi.
Leo sijui imekuwaje nimezima data baadae nikaangalia salio...
Wakuu nimepata changamoto katika Google Pixel 6 yangu kama ifuatavyo; simu yangu baada ya kuifayia factory reset imeleta hiyo error.
Nimejaribu kuwa contact google kwenye email yao kama nilivyoelekezwa kwenye picha hapo chini lakini nimeshindwa.
Hii simu ni simu yangu wakuu na nimeitumia miezi...
Position: ICT Innovations and Data Management Manager
Reports to: Director of Strategy and Performance Management
Supervise: ICT system analyst, ICT system Administrator, Digital Solutions Partner
Department: Strategy and Performance Management
Duty Station: Head Office -Dar es Salaam
Key...
Position: Senior Data Manager
Reports to: VACS Project Director
Position Location: Dar es Salaam, Tanzania
Overall Job Function
Reporting to the VACS Project Director, the VACS senior data manager will ensure quality data of high standard are collected, analyzed and reported. The VACS senior...
Position: VACS ICT Data Manager
Reports to: Senior Data Manager
Position Location: Dar es Salaam, Tanzania
Overall Job Function
The VACS ICT Data Manager is responsible to ensure good storage and maintenance of tablets in the entire duration of the survey. S/he will be expected to...
Position: Specialist; Fraud Control & Data Analytics
Location: Head Office, HQ
Main Responsibilities:
Utilizing advanced data analytics techniques to closely monitor and analyze data, identify patterns and trends indicative of fraudulent activities, and promptly respond to any suspicious...
The Tanzania Intelligence and Security Service is the national intelligence and security agency of Tanzania. The Agency works closely with other National and International intelligence agencies and security organs in the promotion and maintenance of peace, safety and security in and outside...
Wanajamii, kwa mwenye uhitaji wa hizi huduma zifuatazo, anicheki Whatsapp mawasiliano 0676245401:
1) Data Analysis
2) Kupika data
3) Kutengeneza Logo
4) Kutoa ban whatsapp
5) Translation of articles/books/magazines(kutafsiri vitabu,majarida n.k) eng-kisw na kisw-eng
6) Kutengeneza card za...
Katika siku za hivi karibuni kumekuwa na ungezeko la gharama za vifurushi vya internet DATA.
Ebu tushauriane hapa njia zipi hasa zitasaidia kupunguza matumizi ya DATA.
Mimi huwa najiuunga Gb9.5 kifurushi cha mwezi ila mara zote huisha ndani ya wiki mbili tu.
Nimejaribu kupata apps ambazo...
Wanajukwaa mnaotumia laini ya TIGO kama mimi naomba msaada.Mimi data nikiingia internet zinakwanguliwa faster sana.Issue hii imeanza juzi je ?na kwa wengine iko hivi au kuna nini?
Lakini kwenye mtandao wa Airtel data consumption kawaida tu. Changamoto airtel internet kwa maeneo nilipo ni slow...
Kwa wataalam wa IT upande wa software engineering watakubaliana na Mimi kuwa udukuzi ni kitu cha kawaida kabisa katika tasinia ya technologia.
Udukuzi hufanywa Mara nyingi sana. Lakini Kuna iana mbili za udukuzi.
1.Udukuzi wa faida(kujikinga na magaidi na kurinda Usalama)
2.Udukuzi wa...
Hii ni offline app niliyoitengeneza kwa ajili ya matumizi binafsi kwa lengo la kukokotoa jumla ya mauzo ya siku katika fremu yetu ndogo. Nimeiweka Playstore ili kushare na wengine wanaohitaji. Kwa kifupi unavyoanza siku mpya ya biashara unagusa button [J] ili kufungua jalada mpya na utaona...
Job Title: Data Clerk – 38 Positions (Temporary)
Reports to: Strategic Information (SI) Regional Lead
Duration of the Contract: June – Sept 2023
Start Date: Mid-June 2023
Location: Mbeya Region
Specific Task Job Description
Data Clerk will work at facility level to assure timely entry of...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.