daladala

Dala dala are minibus share taxis in Tanzania. Often overcrowded and operated at unsafe speeds, these minibuses developed as a response to an insufficient public transport system in the country. While the name may be a corruption of the English word "dollar", they are also referred to as thumni.Before minibuses became widely used, a truck with benches placed in the bed was the typical Tanzanian privately owned public transport. Called chai maharagwe, these were popular c. 1990.While dala dala may run fixed routes picking up passengers at central locations, they will also stop anywhere along their route to drop someone off or allow a prospective passenger to board.In contrast to most of these minibuses, in Dar es Salaam some dala dala are publicly operated as of 2008.

View More On Wikipedia.org
  1. N

    JamiiForums Tanzania Stendi ya daladala Morogoro

    Kwani Sisi waafrika tuna laana gani jamani? Hivi ni akili gani pale Morogoro kugeuza kituo cha daladala parking na kuacha daladala zishushe abiria sehemu ambayo hakuna kituo? Ni nani aliyeturoga jamaniiiiiii!!!!!!!
  2. Dogoli kinyamkela

    JamiiForums Tanzania Kitambi kikifikia level fulani nunua gari lako sio unakaa kwenye daladala kama una jiko la mkaa miguuni

    Kitambi kikifikia level fulani nunua gari lako sio unakaa kwenye daladala kama una jiko la mkaa miguuni.
  3. Masalu Jacob

    JamiiForums Tanzania Makondakta ni wahasibu wana haki ya kulipa Kodi na Tozo hapa Tanzania

    Habari Tanzania ! Ujambo; NBAA, TRA na Wizara ya Fedha !. Makondakta wa magari ni Maafisa Hesabu wanaofanya miamala ya fedha kwenye Daladala na Mabasi ndani na nje ya Mikoa; na nje ya Nchi ni wadau wenu nyinyi hasa NBAA, TRA na Wizara ya Fedha. 1. Naomba ikiwapendeza muwaunde kwenye...
  4. ommytk

    JamiiForums Tanzania Ushauri kwa serikali kupunguza aya mateso ya UDART waruhusu njia hizo kuwe na daladala

    Ushauri kwa serikali kuhusu mfumo wa biashara hii ya mabus uwepo ushindani na mabasi ya daladala yawepo alafu mwananchi ataamua mwenyewe apande lipi tofauti na sasa
  5. The Watchman

    JamiiForums Tanzania Lori lagonga daladala Mwenge mataa, watu watano wanadaiwa kujeruhiwa

    Mapema leo mida ya Saa 12 asubuhi EATV imepokea taarifa ya kutokea kwa ajali ya gari kwenye makutano ya barabara ya Bagamoyo na Sam Nujoma, maeneo ya Mwenge Mataa ambapo Lori lililokuwa linatoka barabara ya Bagamoyo kuelekea Makumbusho linasemekana kuwa limegonga daladala inayofanya safari zake...
  6. J

    JamiiForums Tanzania Nashukuru Mungu amenisaidia nisiaibike Leo kwenye daladala

    Habarini wakuu Back to the topic,Leo nimeamka zangu asubuh na mvua mvua za dar hizi plus uchovu wa Jana kwenye kuchek fainali ya Portugal..mzee nikajiandaa chap mida flan ivi ya saa mbili asubuhi niwahi kituo Cha daladala Ili niende zangu job .kufika nikapata daladala imejaza kinoma imetoka...
  7. P

    JamiiForums Tanzania KERO Barabara ya mwanza mataa, tuta la stendi ya daladala makoroboi

    Pale makoroboi stand ya dalala, kuna tuta(bump) kubwa, baada ya tuta hilo kuna mashimo makubwa sana katikati ya barabara. Cha ajabu kwenye tuta hilo na chini ya tuta hilo utakuta zimepaki dalala juu ya tuta, zinapaki daladala tatu hadi nne kwa upana na kuacha sehemu ndogo sana ya barabara...
  8. mudytawaleni1802

    JamiiForums Tanzania Matukio katika jamii zetu, Mabinti wawili wakipiga story ndani ya daladala

    Mabinti wawili walikua wanapiga story ndani ya daladala: Binti 1: je ungependa mume wa aina gani ? Binti 2: Awe bilionea ..! 🙄 Binti 1: Je ukimkosa ? 🤔 Binti 2: Awe milionea ..! 🙄 Binti 1: Je asipopatikana ? 🤔 Binti 2: Awe japo na laki tano ..! 🙄 Ghafla mvuta bangi mmoja akiwa kajilaza...
  9. Shark

    JamiiForums Tanzania KERO Daladala za Kigamboni zagoma kusafirisha abiria kutokana na ubovu wa barabara eneo la kwa Mchina

    Daladala zinazofanya biashara ya kusafirisha abiria kati ya Kigamboni kwenda Kongowe -> Mkuranga -> Toangoma kupitia Mjimwema zimegoma kufanya kazi baada ya kuwa na kipande kibovu hivyo kulazimika kupitia uchochoroni ambapo napo pameharibika. Kipande huko kibovu ni pale kwa Mchina kilianza...
  10. DogoWaNjombe

    JamiiForums Tanzania KERO Stendi ya Daladala Makumbusho ipo kwenye hali mbaya, inazidi kuchoka, Ushuru unatozwa lakini hakuna ukarabati

    Stendi ya makumbusho ni kati ya Stendi ambazo zimekuwa zikipokea daladala nyingi kutoka maeneo mbalimbali ya Jiji la Dar es salaam, lakini stendi hiyo imekuwa ikipoteza hata ubora mdogo iliyokuwanao awali, ambapo kwa sasa imechakaa na imekuwa kero kwetu madeleva wa daladala. Licha ya daladala...
  11. Roving Journalist

    JamiiForums Tanzania Daladala zinazokatisha Ruti, zikikamatwa kuanza kufungwa kifaa cha VTS ili kufuatiliwa

    Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA) imesema magari ya usafiri wa Umma yatakayokatisha au kubadili “ruti” kinyume na Leseni zao, yatachukuliwa hatua na kufungwa kwa kifaa cha VTS ambacho kinafuatilia Mwenendo wa Magari. Hayo yamesemwa na Mkurugenzi Udhibiti Usafiri wa Barabara kutoka...
  12. nzalendo

    JamiiForums Tanzania Mamlaka tafadhali tunawasihi mtoe ruhusa daladala Mbezi....Muhimbili

    Jambo hili lichukuliwe kama dharura,,,,Kwa sasa mwendokasi si rafiki kwa watu wenye changamoto za kiafya na wengi wetu hatuna mbadala wa usafiri toka maeneo husika uelekeo Muhimbili. Kwa kweli tunawaomba, tena tunawasihi... si kuangalia ! bali kuruhusu,si daladala tu,...bali hata usafiri...
  13. A

    JamiiForums Tanzania KERO Vijana wanaowahi siti kwenye daladala na kisha kuziuza wadhibitiwe

    Habari watanzania, shukrani za dhati ni kwa Mungu mwenyezi kwa kutupenda upeo hata akamtoa mwana wake wa pekee ili atukomboe kwa wale watakao muamini (yohan 3;16) Niende moja kwa moja kwenye hoja yangu, ya Adha katika usafiri wa dala dala za Temeke-Mbezi na maeneo mengine hasa wakati wajioni...
  14. Mhafidhina07

    JamiiForums Tanzania Ulishawahi kupanda daladala ya madereva wanaokimbizana?

    Kuna muda ni vyema kuyakubali mabadiliko ili kileta tija na ushindani katika sekta zetu za maisha,wakati mwengine akili ya binadamu ipo based on benefits bila ya kucompare athari ya hatua anazozichukua. Jana nimepanda daladala ya kutoka mbezi - Karikoo mida flani ya saa 7, kulikuwa na gari 2...
  15. Mwanongwa

    JamiiForums Tanzania Mbeya: Baada ya mgomo wa daladala kutolipa ushuru, hatimaye Stendi ya Nanenane yaanza kurekebishwa

    Baada ya malalamiko ya muda mrefu na baadae kusababisha madereva kugoma kulipa ushuru , hatimaye halmashauri ya Jiji la Mbeya imeanza kurekebisha barabara za stand hiyo. Ni muda mrefu Sasa stand hiyo na Nanenane imekuwa na miundombinu mibovu ya Barabara. Halmashauri ya jiji jitahidi kufanya...
  16. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Kampeni ya 'Mama Asemewe' yaadhimisha miaka 4 ya Rais Samia kwa ziara kwenye daladala

    Katika kuazimisha Wiki ya Mama, ambayo inatambua na kuenzi juhudi za Rais Samia Suluhu Hassan, Viongozi na wanachama wa Kampeni ya Mama Asemewe walifanya ziara ya kipekee kwa abiria wa daladala mkoani Dar es Salaam, wakijumuika na wananchi kuzungumza na kuwafahamisha kuhusu mafanikio ya Rais...
  17. LIKUD

    JamiiForums Tanzania Askari afa kwenye ajali ya gari njia ya Chanika. Alikuwa kwenye gari dogo lagongwa na daladala

    Ajali imetokea maeneo ya Kisumo( katikati ya Gongo la mboto na Pugu) Daladala( minibus) la Chanika to Machinga Complex laacha njia ( inasemekana lilikuwa linatanua) na kugongana uso kwa uso na gari ndogo ambayo ilikuwa imepaki pembeni ya barabara na ambalo ndani yake alikuwemo askari mwenye...
  18. Paspii0

    JamiiForums Tanzania Vijana wa Dar, wakiwaona wazee kwenye daladala, wanajifanya wamelala

    Vijana wa Dar, wakiwaona wazee kwenye daladala, wanajifanya wamelala, lakini wakiona kijana mwingine wanajua kupiga haraka speed za 'Formula 1'!" 🤗
  19. boniuso

    JamiiForums Tanzania Vituko ndani ya daladala

    Vip watafutaji, wapambanaji na wawajibikaji? Kwanza niwasilimu na kuwapongeza wote mnaopiga kazi bila kuchoka. Hongeren sana. Sasa ni kawaida kwa mpambanaji kukutana na changamoto kibao za usafiri, hasa za daladala bajaj na boda. Hapa nawazungumzia wapambanaji wachache waliomo humu JF maana...
  20. crabat

    JamiiForums Tanzania Idadi ya Daladala na upcountry buses

    Mamlaka ya usafiri nchini haijui idadi kamili ya dalada kila mkoa nchini. Pia haifahamu idadi ya mabasi ya yaendayo mikoani. Taasisi hii muhimu inapata fedha nyingi sana kutokana na fees na leseni lakini inashindwa kutoa takwimu hizi muhimu. Pia yapo mabasi yanatembea bila ya usajili wa Latra...
Back
Top Bottom